Dar: Polisi wakamata watu 32 kwa wizi wa Bil 2.082, ndani ya benki ya NMB

Ukiishi kama zamani usasa hauwezi kukupata OSAMA BINLADEN,lkn pia kua na elimu ndogo sio sababu maana wasingeweza hata kutokomea na huo mzigo isipokua mipango baada ya kupiga haikua madhubuti
polisi wetu nao hawako modern sana ndio mana jamaa walifanikiwa kufika mbali sema hayo ma shilingi nayo yamewaangusha siku hizi mchakato wa kuyabadili umekua mgumu so ukienda nayo nje ya nchi hamna mtu anayataka ingekua enzi za beura de change wangezibadili ziwe dola then unaingia zako Zambia hapo au Zimbabwe maisha yanaendelea huku ukisubili mtiti upoe
 
Kampuni zote za Ulinzi Zina Bima, Ndiyo maana kampuni ikipigwa Inaenda Bima inalipwa, Na Walinzi wanajua Hilo, Kampuni yetu ilipigwa M.l 800. Lakini ililipwa ndani ya mwezi mmoja na Bima.

Ila hii Bima haiwazuii Polisi kuacha kazi yao kupambana na uhalifu.
 
Majamaa ni mafala sana
 
Hii siyo movie kweli ?
 
Duh,,,ni hatari
 
Makampuni ya ulinzi waanze kutumia gari ambazo zitakua na chemba za kuhifadhia hela, ambazo hizo chemba zitakua zinafunguliwa kwa password ambayo itakua siri kati ya pesa inapotoka na inapokwenda bila wasafirishaji kuijua.
 
Makampuni ya ulinzi waanze kutumia gari ambazo zitakua na chemba za kuhifadhia hela, ambazo hizo chemba zitakua zinafunguliwa kwa password ambayo itakua siri kati ya pesa inapotoka na inapokwenda bila wasafirishaji kuijua.
Watu wanaenda kukata hiyo chemba kwa moto wa gesi wanavuta mkwanja kama kawaida.
Kumbuka hapo wao ndiyo walinzi hivyo hakuna wa kuwastua au kuwahisi ni wezi ni vile unasikia wanafanikiwa kuchepuka route na kwenda kutelekeza gari mbali na sehemu waliyotakiwa kupeleka pesa.
 
Nilipofikia kwenye kununua power tila nikakumbuka kuna mafala Fulani zamani waliteka ndege na bastola toy na embe ndio Bomu πŸ™„πŸ™„πŸ™„
Watu wanadhani mgao wao ulikuwa mkubwa, hapo kuna mlolongo mrefu wa wahusika wa mchezo sasa ukija kuigawa hiyo milioni 700Tsh unapata pesa ndogo tu. Kumbuka wahusika ni watu 32. Najua wengine wanahusishwa kwa uzembe tu.

Walitakiwa wapige yote bilioni 2 wasepe mazima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…