Dar: Serikali yalifunga Kanisa la Nabii Suguye

waigizaji wapo wengi,
pepo wanatolewa online, kikubwa bando

Embu njoo tuyajenge ase mimi ninasauti ya kichungaji pili nimesoma psychology itakuwa kazi sio ngumu
 
Kuna jamaa anahubiria mpaka muda huu saa Saba kasoro usiku so walioko jirani naye nadhani hawalali. Yaani bana Hawa wakristo wansali wasikwie na watu Kama kutaka their ego to be nurtured. Na yesu akikataa tuwe tusipayuke kuwa tusitake kusiika na mataifa Kama kutaka thawabu
 

Wafike serikali za mtaa waseme kero yao
 
Kinachoitwa huduma ya kiroho kiroho si kingine bali hujuma ya kiroho ambapo matapeli huwachezea akili wajinga na wapumbavu waliokata tamaa na kuwaibia. Yesu hakuhubiri upuuzi wanaohubiri. Hata hivyo, serikali ilichelewa kuwashukia wezi hawa wa kiroho wenye kujaa roho mtakakitu.
 
Mawazo ya kidikteta, hakuna mtu au taasisi yenye hatimiliki na dini. Nani kakuambia TEC au umoja wa makanisa ya kipentekoste ndio n.k ndio vipimo sahihi vya dini ya Kikristo ?
 
Makanisa yote wanakusanya. Kuuza mafuta na maji ya upako ni aina ya biashara walizochagua wao.
Hakuna makanisa ya makanjanja
Wakusanya sadaka,wauza mafuta,maji ya upako huko

Ova
 
Kwani umesoma sababu ya kufunguwa toka kwa mtoa mada? Amekiuka masherti ya usajili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…