DAR: Sheikh wa Mkoa, Mussa Alhad atangaza mwisho wa Mange Kimambi kutukana, kushughulika na JamiiForums kisheria

Ambao huwa hatuendi nchi ya Insta tunakosa mengi, ngoja nifanye mpango wa kupata passport mpya ya kielektroniki.
 
Utaratibu wao hauna tofauti sana na ule wa chama1
Ni zaidi ya ule,, sijuwi wanachaguliwa muda gn,, nadhani ingekuwa wachaguliwe kwa kura za waislam, na sio pendekezo LA SERIKALI
 
Amchambe tu amekosa kazi za kufanya anaita press kujibu mambo ya insta.
 
S
Subirini muone.... Time wll tell
 
Nimekuelewa sana mkuu ...tatizo linakuja ...BAKATWA imeundwa kwa sheria gani?Na kama hamna sheria kwa nn Waislamu wengine msijiunge kwa uwazauwazi mkapingana na BAKWATA...sababu unasema Bakwata haiwakilishi waislamu wakati huohuo wao wanajitangaza na wanaoperate kama chombo halali kabisa cha waislamu.....Kwa nn msiisusie Bakwata waziwazi..au mkaipinga kwa hoja kwa mijadala au mkaenda hata mahakamani ili mahakama itangaze kuwa Bakwata haiko kwa ajili ya waislamu na muombe mahakama iwaruhusu kuunda chombo kingine ambacho kitakidhi vigezo vyenu kama mnavyodai....

Mkuu kwa hii issue ni sawasawa na mtu una mke, mnalala kitanda kimoja, mnaenda wote kwenye sherehe mbalimbali, anasimama na kusema kwa niaba yako.....Then unawaambia watu unajua huyu mwanamke sio mke wangu..nipo tu naishi nae....lkn sio mke wangu....mke wangu yupo.....Haaa..mpe taraka bac..
Na nyie hivohivo Hiyo Bakwata ipeni taraka.....amasivyo hao viongozi wake wenye hayo makashfsa wanawachafua wote aisee...
 
Hii thread inapoteza utamu bila takwimu na majedwali mbalimbali toka kwa wahusika...
Mwenye taarifa kamili aweke humu tujionee.
 
Nimefuatilia sana thread zako zimejaa unafiki,wanadamu wanaofurahia mwanadam mwenzio kupigwa risas hata kama ni viongozi wa dini hawafai kusujudiwa
 
Huyo sheikh mnafiki sana,, yaani ni katika watu ambao wananikera sana tangu siku nyingi sana...
 
Maisha haya nyie acheni tuu

Unaweza kukwepa kutibiwa na dokta shika afu ukaenda kuombewa na nabii Tito [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

By dada mange

Na mimi nasema halafu ufundishwe na mtemi deo kisandu
 
Maisha haya nyie acheni tuu

Unaweza kukwepa kutibiwa na dokta shika afu ukaenda kuombewa na nabii Tito [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

By dada mange
Na mimi nasema halafu ufundishwe na mtemi deo kisandu
 
Nimefuatilia sana thread zako zimejaa unafiki,wanadamu wanaofurahia mwanadam mwenzio kupigwa risas hata kama ni viongozi wa dini hawafai kusujudiwa
Naona hunielewi kwa sasa lakini iko siku utanielewa, hakuna mwalimu mzuri kama DUNIA!
 
Naona shehe anataka kupambana na mzinga wa nyuki, kaingia 18 za Mange ....mi simooooooooooo
Msimpe tu kichwa hii dunia ndogo saana nyiny nyiny mnao mpa sapoti mange IPO siku mtasema ulikuwa ujinga wake wenyewe kuingiria faragha ya mtu kisheria ni kosa.Mange asijifanye yuko state hapo watu wana uwezo wa kumfukunyua hapo hapo alipo sema watu hawana tym nae ILA TIME WILL TELL US
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…