peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Majira ya muda wa saa 11 alfajiri ya leo ,moto umewaka na kuteketeza soko la wamachinga wauza mabegi karume.
Matukio ya picha
View attachment 2179975
Moto bado unaendelea kuwaka huku vikosi vya zimamoto na uokoaji vikiendelea na harakati ya kuuzima
View attachment 2179976
Hii mioto hadi raha sasa.. Utafikiri inaambizana leo tukachome wapi!Majira ya muda wa saa 11 alfajiri ya leo ,moto umewaka na kuteketeza soko la wamachinga wauza mabegi karume.
Matukio ya picha
View attachment 2179975
Moto bado unaendelea kuwaka huku vikosi vya zimamoto na uokoaji vikiendelea na harakati ya kuuzima
View attachment 2179976
Hapo vyombo vya ulinzi na usalama tu vyote viwajibishwe tu.Hilo jeshi la zimamoto na uokoaji lifumuliwe na lenyewe.
Yaani eneo moja linaungua kwa interval ya miezi ila kila siku eneo linateketea?
Huu si utoto huu?
Au basi acheni kufanya jeshi liajiri 4 za mwisho pekee.
Na zile kamati zilizoundwa members wakamatwe.
Ni upande wa pili tofauti na ule ulioungua mwezi wa january ambao ulikuwa ukiuzwa nguo na viatuSoko la mabegi si ndio hapohapo wanauza viatu, na nguo nyingine mbona umeleta habari ya soko lamabegi tu RIRO
Kinachoendelea Tz tumuombe Mungu tu wanataka kutengeneza tofauti kubwa ya mtajiri na maskini ifike wkt chochote anachosem tajiri unaitika ili uishi wamefeli kwenye chanjo hyo ni njama mupewe mikopo kwa sharti la chanjo dunia hii Rip MaguMajira ya muda wa saa 11 alfajiri ya leo ,moto umewaka na kuteketeza soko la wamachinga wauza mabegi karume.
Matukio ya picha
Moto bado unaendelea kuwaka huku vikosi vya zimamoto na uokoaji vikiendelea na harakati ya kuuzima
Report ya profesa wa mavi na mikojo ya ng'ombeChanzo ni Vita ya Urusi na Ukraine kombola la Urusi limekosea njia.
Kwani samia yupo Jf??Please my president Samia, rudisha vikosi vyote vya uookaji including Fire Brigade kwa local government's, kila Halmashauri iwe na kikosi chake cha uookaji na ondoa uaskari kwenye vikosi hivi, hii itaongeza ufanisi wa huduma hizi
Nani amewachomea moto?Vijana wanjinyima wanapata rizki bado wanachomewa moto mitaji yao, mnataka wawe majambazi?
Wana familia, wana watoto, wana ndugu na jamaa wanawategemea.
Hii nchi ipo siku vijana uvumilivu utawaisha.
Labda hujawahi kupita mitaa ya karume saa 11 ni kumejaa wauzaji na wateja kibaoKwa Nini limeungua moto umetoka wapi na walinzi walikuwa wapi?