Dar: Washukiwa wa biashara ya dawa za kulevya watiwa mbaroni

Mkuu usione watu wanavimba hapa mjini ukaona wanapesa nyingi kuna siri kubwa katika pesa
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo Jamaa White kama Namuonaga Upanga vile mitaa ya Don Bosco...!
 
Aise hao jamaa walikuwa wanalala na bilioni kadhaa hapo. Anyway Hongera bwana Kaji kwa kazi nzuri.

Pole kwa waliokamata maana uthibitisho upo mikononi on spot hapo wasubili kifungo cha maisha jela.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inside10,
Huyu mtoto wa marehemu Prof Mbele,si alikuwa anafanya kazi UDSM aliondoka kumbe yupo Aghakani. Mshahara haumtoshi ?Si afanye biashara halali ?Sasa sheria ichukue mkondo wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…