Dar: Washukiwa wa biashara ya dawa za kulevya watiwa mbaroni

Baba yake alifariki. Ila Alistair anafanya kazi Libraly pesa ya kuendesha maisha haimpigi chenga,sema labda alitaka maisha ya u don.
 
Pesa haijawahi kutosha hata siku moja na kadili unavyopata pesa ndio unavyozidi kupata mzuka wa kupata nyingine na muda mwingine unaweza kufanya, ukajisemea moyoni huu mzigo nikiwin naacha ila hauachi hakuna pesa tamu kama pesa haramu.
Baba yake alifariki. Ila Alistair anafanya kazi Libraly pesa ya kuendesha maisha haimpigi chenga,sema labda alitaka maisha ya u don.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu tulia,yawezekana ametumiwa tu na system kufikia malengo yakumnasa mtuhumiwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…