IDEGENDA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 4,505
- 5,343
Matusi hayatamuokoa Lisu na aibu ya kushindwatustiri na uchafu wa kuona uchi wako mpendwa. Kaa nao mwenyewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Matusi hayatamuokoa Lisu na aibu ya kushindwatustiri na uchafu wa kuona uchi wako mpendwa. Kaa nao mwenyewe.
Anawafurahisha wajinga wenzie.Hujamuelewa Sheikh Ponda Issa Ponda
LIVE MKUTANO WA CHADEMA KAWE
Huwezi kuvua nguo hadharani kwa sababu wewe siyo chizi, kamuulize Lugola atakuambia jinsi ilivyo ngumu kwa mtu mwenye akili timamu kufanya kitendo kama hicho.Lissu akipata hata 10% tu mimi navua nguo hadharani. In other words, Lissu hawezi pata hata 10%.
unataka akuwekee video nyuma wakati ww ni ke nadhani mbele ndio sahihAnayechukua video anafanya makusudi, anachukua video kiujanja tu. Hatuoni watu, anaonyesha mbele tu. Huu ni uhuni
Au watu hakuna?
Yule wa CCM atafungia wapi. Tetesi pesa za kusomba watu hakuna thus uenda asifunge
kashafika Dar we endelea kukenua hapoJamani hali ya hewa ni mbaya sana leo, so mshaurini Lissu asisafiri kwa helikopta kwani ni hatari sana kwa usalama wake. Thank me later!
Ndoto hizi zitakoma kesho.Tunamtakia Kila la Heri Rais wetu wa awamu ya sita Mh Tundu A. Lissu......Watanzania walio wengi wameumizwa sana na utawala unaomaliza muda wake ila wanyonyaji wachache tu ndiyo hawaelewi...
akili ndogo mtaji wa ccmChama Cha Demokrasia Na Maendeleo Ya Mashoga (CHADEMA)
Uko sahihi. Mimi pia nawaza kitendo tu cha kumuweka mwisho kwenye karatasi wakati mtu anascrow down akiona demokrasia makini anaweka tick na kuondoka.Hivi kwa hila za Tume-ccm kwenye karatasi halisi ikatokea kwamba jina la mwisho likawa la Lipumba + cuf na jina la Lissu + chadema kuwekwa chini ya "chama cha demokrasia makini" ili kuvuruga wapiga kura kuna hatua zozote za kisheria za kuweza kuchukuliwa?..
Leo sijui mambo yanaendaje aiseeee!Utazipata?? Sijui hakuna watu