we kamanda gasho leo waume zako wamehujumu nchi intanet ipo down sana picha zinagoma kupandishaUtazipata?? Sijui hakuna watu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
we kamanda gasho leo waume zako wamehujumu nchi intanet ipo down sana picha zinagoma kupandishaUtazipata?? Sijui hakuna watu
Simpi Kura si Kwa sababu ninachuki naye, hapanaa, Bali karudi akiwa amebadilika na haeleweki kabisa kiasi cha kusema, ni dhahili katumwa na amekwisha chukua chake tayari kutufanya kuwa koloni la Mabeberu tena!!
Kwa nini kupoteza Kura yako ewe Mtanzania???
Mpe JPM Kura yako Ili tujenge Taifa lisilotegemezi
Ashakata tiketi mapemaa kurudi huko amegundua watz hawataki ujingaKesho tunakwenda kumalizana na huyu kibaraka wa wazungu.
Mlisema mwaka huu Chadema itakuwa imekufa, kiko wapi???Ha ha ha ha, kuna watu mmepungukiwa akili kwelikweli. Watanzania sio wajinga, hawawezi chagua utopolo kwenda ikulu never. Sio anti pas, sio maalim bali hata madiwani tu mtapata kwa mbindeSana. 2025 hili genge la Mbowe litakuwa kama ADC, AFP, CHAUMA etc.
Unaandika vitu visivyoelewekaMnasubiriwa kwa hamu sana! Moto mtauona baada ya kampeni kuisha leo! Baada ya hapo hakuna na mchezomchezo!
Sauti ya Zege Halima Mdee kiboko "kwamba Rashida ataitwa joyce"
Kesho atatutambua wa Kawe! Hatuna mpango na Mdee kabisaaaa! Angalia watu waliohudhuria mkutano wao hapo Kawe leo. Kiduchuuu!!
Na wewe utapandwa.Kesho atapata kura nyingi sana za mashoga
Ana ukimwiHuyu Askofu Anakulaga Kweli mbona Afya kama Mgogoro hahahaha
Laana ya milele ikutafune wewe na kizazi chakoAna ukimwi
Lissu anaondoka hivi karibuni kurudi Ulaya kuendela na mradi wake wa kuchuma pesa kutoka kwa akina Amsterdam kama mwanaharakati wa kujitegemea wa haki za mashoga, vinginevyo, hana njia mbadala ya kusurvive Ubelgiji kama diaspora. Huu ndio mwisho wa Lissu KISIASA!Lissu ni kwa 2025 sahivi anaandaa njia tu!