Empirically
JF-Expert Member
- Oct 27, 2019
- 238
- 87
Binti sayuni yupi mwenye roho mbaya Kama hii mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Binti sayuni yupi mwenye roho mbaya Kama hii mkuu
Akamatwe Huyu Akifikaaa Dar ivi kwanini Ahatarishe Maisha Ya watu Wengine huko Angani kwa Kukiukwa Sheriaa Mbona Anatupanda Vichwani huyuuuuuu KibarakaaWakuu leo ndio hitimisho la kampeni nzito sana za Tundu Lissu zilizovurumishwa nchi nzima , kwa mafanikio makubwa sana , kwa tathmini ya Kisomi niliyoifanya Tundu Lissu anatarajiwa kushinda Urais wa Tanzania kwa angalau 70%...
Roho nzuri ni ipi. Kukuambia ukweli?Binti sayuni yupi mwenye roho mbaya Kama hii mkuu
Kwa hiyo wewe una uhakika Lisu atashindwa
Waated maniiDuh...!!
Haya maajabu, shetani kuwa na huruma kwa binadamu!
Mnasubiriwa kwa hamu sana! Moto mtauona baada ya kampeni kuisha leo! Baada ya hapo hakuna na mchezomchezo!Sheikh Ponda anasema CCM ikikataa kushindwa option ya pili ni kuingia msituni
Anga nyeupe wanga wameshindwa na tumewalegeza mkutano uko pale paleMvua ni baraka mkuu tuifurahie hii mvua kungekuwa na upepo ningesikitika lakini mvua hizi ni baraka kutoka kwa Mungu
Dodoma mvua haikunyesha zindiko la Magufuli limefeli.Anga nyeupe wanga wameshindwa na tumewalegeza mkutano uko pale pale
live
Nchi sio Mali ya jiweAkamatwe Huyu Akifikaaa Dar ivi kwanini Ahatarishe Maisha Ya watu Wengine huko Angani kwa Kukiukwa Sheriaa Mbona Anatupanda Vichwani huyuuuuuu Kibarakaa
Labda hali ya hewa ya tumboni kwako kwa sababu ya kula viporo vilivyochacha. Dar mbingu ziko safi.Mpaka mida hii hali ya hewa Dar mbaya tena mno hata wavuvi msasani na wa ferry hawaendi na mitumbwi baharini
Leo sijui mambo yanaendaje aiseeee!
Nilitegemea mitandao ya kijamii mambo yawe moto.
So far network inasumbua sana ktk hii mitandao ya kijamii, hata mimi hapa natumia server ya nchi ya nje ndo maana napeta.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuu, usiache kwenda kupiga kura
Mkuu kuna watu wanhitaji kuhurumiwaLabda hali ya hewa ya tumboni kwako kwa sababu ya kula viporo vilivyochacha. Dar mbingu ziko safi.
Hali ya hewa ya tumboni kwako ndiyo mbaya kwa kufakamia vyakula vilivyochachaJamani hali ya hewa ni mbaya sana leo, so mshaurini Lissu asisafiri kwa helikopta kwani ni hatari sana kwa usalama wake. Thank me later!
Unasemaje wewe taahira?Ponda anawafuraisha wapuuzi wenzake.