mkombengwa
JF-Expert Member
- Dec 4, 2011
- 3,173
- 3,443
Nani anataka kuyaona mapango ya amboniLissu akipata hata 10% tu mimi navua nguo hadharani. In other words, Lissu hawezi pata hata 10%.
Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani anataka kuyaona mapango ya amboniLissu akipata hata 10% tu mimi navua nguo hadharani. In other words, Lissu hawezi pata hata 10%.
DodomaHivi mkutano wa Magufuli na CCM kufunga kampeni uko wapi. Kila nikioekua sipati information au JF wamesusia cc Pascal Mayalla
huko kwenye foleni hata wangeku..f.ra kbs ni sawa huna maanaNimeshinda kufika, foleni ilikuwa kubwa
Inakuuma Nini..?unataka wewe ndo uwe nyumba ndogo?Sio Ukonga tu hata kinondoni na ubungo hajakanyaga lakini karudi Mara mbli kwa nyumba yake ndogo Halima Mdee
Mungu siyo AmsterdamMlisema mwaka huu Chadema itakuwa imekufa, kiko wapi???
Amini nakwambia, kama Mungu aishivyo, Ccm ndo inakufa na Chadema haitokufa kamwe
Mbona wewe mbogamboga mungu wako ni Pombe?Mungu siyo Amsterdam
Inawezekana wameshindwa kufanya mkutano ndiyo maana walikuwa wanamfanyia gigisufigisu Lissu Ali adhindwe Kuja Dar.Yule wa CCM atafungia wapi. Tetesi pesa za kusomba watu hakuna thus uenda asifunge
Nani aone utupu wako mchafu, hata vuvuzela hujanyoa, kamuonesha chakubanga LumumbaLissu akipata hata 10% tu mimi navua nguo hadharani. In other words, Lissu hawezi pata hata 10%.
Mbona hauko live JF kama kawaida....!!Dodoma
Kesho hatutakuwa hewani😂, wenye porojo zao waziseme haraka maana tukirudi tutapokea nyuzi za malalamiko tu na si vinginevyo.Nahisi kesho mitandao yote ya kijamii haitakuwa hewani kama ilivyokuwa 2015.
Mungu ibariki CHADEMA na wagombea wake wote , Mungu mbariki Tundu Lissu, Mungu wabariki watu wa usalama wa Taifa, Mungu ibariki Tanzania kwa matendo ya HAKI.
Lisu yuko Live JF?Mbona hauko live JF kama kawaida....!!
Na Mungu sio magufuliMungu siyo Amsterdam
Hapana ni mke mwenza wa mke wa mke wa LisuHalima Mdee ni mke mwenza wako?
Stream one ina kata sana wala huwezi kumsikia vizuri.Mtupe matangazo live leo basi. Ni muhimu to keep your supporters energized to the end. Bora msingekuwa na matangazo live mwanzoni halafu yakawepo mwishoni. Na siyo the other way around.
Sasa wew kavu unauchi gani wakuangaliwa🤔🤔 yaani hata ukinivulia sidd***h🤣🤣🤣Lissu akipata hata 10% tu mimi navua nguo hadharani. In other words, Lissu hawezi pata hata 10%.