Uchaguzi 2020 Dar: Yaliyojiri Kawe kwenye Mkutano wa kufunga kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu

Uchaguzi 2020 Dar: Yaliyojiri Kawe kwenye Mkutano wa kufunga kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu

Kwa hiyo Lisu akisema tutaruka kwa nguvu yeye rubani? Dar hewa imechafuka kuna mvua na upepo wa kufa MTU halafu mbona kuna majimbo ya wagombea wabunge Dar hajaenda? wanakogombea Dar mfano Suzan Lyimo mbona kawe anarudi Mara mbili wakati hajanadi mgombea ubunge wa ubungo na kinondoni?
 
Kwa hiyo Lisu akisema tutaruka kwa nguvu yeye rubani? Dar hewa imechafuka kuna mvua na upepo wa kufa MTU halafu mbona kuna majimbo ya wagombea wabunge Dar hajaenda? wanakogimbea Dar mfano Suzan Lyimo mbona kawe anarudi Mara mbili wakati hajanadi mgombea ubunge wa ubungo na kinondoni?
Hii Hali ya hewa Hapa, inaujumbe mkubwa Sana Kwa kila mwenye mapenzi mema na Taifa letu,

Huyu mgombea kakataliwa duniani na mbinguni pia

Tukampe JPM Kura zote Watanzania
 
Mpaka mida hii hali ya hewa Dar mbaya tena mno hata wavuvi msasani na wa ferry hawaendi na mitumbwi baharini
 
Jamani tujuzeni mliopo uwanjani hapo, Rais hajafika tu??? maana nasikia CCM walishaanza figisu baada ya kuona mambo ni magumu mno kwao.
 
Kwa hiyo Lisu akisema tutaruka kwa nguvu yeye rubani? Dar hewa imechafuka kuna mvua na upepo wa kufa MTU halafu mbona kuna majimbo ya wagombea wabunge Dar hajaenda? wanakogombea Dar mfano Suzan Lyimo mbona kawe anarudi Mara mbili wakati hajanadi mgombea ubunge wa ubungo na kinondoni?
Naona unatamani Sana kusikia Lissu anapata shida au hata kufa. Una asili ya uchawi.
 
Hii Hali ya hewa Hapa, inaujumbe mkubwa Sana Kwa kila mwenye mapenzi mema na Taifa letu,

Huyu mgombea kakataliwa duniani na mbinguni pia

Tukampe JPM Kura zote Watanzania
Takwinu zinaonyesha wazi kwamba Lissu ana ushindi wa asilimia 71 hadi hivi sasa.
 
Back
Top Bottom