Praise team yatima hadeki.Si mlikua mnasema hapendwi...mnaumbuka sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Praise team yatima hadeki.Si mlikua mnasema hapendwi...mnaumbuka sasa
Una chuki za ajabu kabisa!Kama umeishiwa hoja umeanzisha uzi wa nini kama sio kuleta vihoja kama hivi.
Yatima anadeka kwa Robert Amsterdam!Praise team yatima hadeki.
Itakusaidia nini.jiandae lolote linaweza kukutokea kuanzia sasa na wewe ukawa non existent
Umeishiwa hoja. Bye.Yatima anadeka kwa Robert Amsterdam!
Juu ya kreti za bia nikisema Hiiiiiiiiiiiiiiiiiii,Wewe umekaa juu ya nini?
Leo lazima awachane wafuasi wa marehemu Kinjekitile.Barakoa kama tatu hivi..safi sanaa
We wasemaUyo mama aliyeshika briefcase ndo msaidizi wa Askofu J.T Ruwaichi?
Kudeki lami ilisaidia nini?Itasaidia nini?
Picha zinakuja kuanzia magomeni hadi keko barabarani ni nguo tupu zimetandikwa.Huu Uzi bila picha haujanogaa.
Idadi ya watu wanaokuja kukuzika, ni ishara tosha ya namna ulivyoishi na watuK
Kwani kumuaga marehemu ni ishara ya kumpenda?, badirikeni.
Swali zuri sana!Kudeki lami ilisaidia nini?
Sidhani kama una akili, AG ni nafasi ya kitaalam na PM ni nafasi ya kisiasa(inamlazimu awe mbunge),haya jikune masaburi yakochizi ww, kwani hawezi kuwa mbunge???? Attorney general ni mbunge wa wapi had aliteuliwa kushika ule wadhifa