Dar: Yaliyojiri kuagwa kwa Mwili wa Hayati Dkt. Jonh Magufuli Uwanja wa Uhuru

Dar: Yaliyojiri kuagwa kwa Mwili wa Hayati Dkt. Jonh Magufuli Uwanja wa Uhuru

MAPAMBIO ya dakika za mwisho mwisho haya!! Baada ya hapo, mnaanza safari yenu isiyo na mwisho ya kuishi kwa kushindia malimao, ndimu na chumvi!

Hakuna atakaye wajali tena! Au kuyasikiliza haya mapambio yenu! Hata hao watu wangetandika mashuka au mablanketi, bado haitasaidia chochote! Ukishakua umekufa, ndiyo umekufa mazima! Hakuna kitakacho ubadilisha huo uhalisia.
 
Barabara Leo wazitandikie khanga kesho na sisi tukiandamana wakati wa kusaka Katiba na Tume huru tuachwe.

Kutesa kwa zamu
 
Tupac, Biggie, Nipsey wote wanamsubiri magufuli kwenye Thugz mansion
 
chizi ww, kwani hawezi kuwa mbunge???? Attorney general ni mbunge wa wapi had aliteuliwa kushika ule wadhifa
Sidhani kama una akili, AG ni nafasi ya kitaalam na PM ni nafasi ya kisiasa(inamlazimu awe mbunge),haya jikune masaburi yako
 
Nyie mlofurahia furahieni lakini wengi wetu tumejeruhiwa tunajua hawezi pendwa na wote ila ni dhahiri awamu yake ilkua ya sisi wachumia tumbo kutamba tuliheshimiana sana nyie mkaminywa maumivu mliyoyapitia miaka 5 na miezi 5 sisi tumeyapitia zaidi ya nusu ya maisha yetu ndiyo maana watu tunalia sababu tunajua muda wa wanyonge kuhisi thamani yao umekwisha
 
Back
Top Bottom