johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kwani wewe hilo sweta la Chadema ulilovaa linakusaidia nini?Kusema itasaidia nini ni chuki we TAGA.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani wewe hilo sweta la Chadema ulilovaa linakusaidia nini?Kusema itasaidia nini ni chuki we TAGA.
Huyu jamaa ana roho mbaya sana!Quinine ni kati ya watu ambao wamefurahi ajabu
Kama umeishiwa hoja umeanzisha uzi wa nini kama sio kuleta vihoja kama hivi.Kwani wewe hilo sweta la Chadema ulilovaa linakusaidia nini?
Mfuateni, kunywa juisi ya Maji ya betriiMagufuli Son of Africa soil,
Tuna uchungu haulezeki.
Si mlikua mnasema hapendwi...mnaumbuka sasaWatandike na chip zao........Usilete mambo ya buku 7
Ujinga.Quinine ni kati ya watu ambao wamefurahi ajabu
Ngoja akakutane na kina Ben Saanane huko wamkaribishe vizuri!Magufuli John Pombe atakumbukwa daima
Mzalendo wa Tanzania na Shujaa wa dunia, wanaweza wasiseme leo lakini utabaki kwenye historia ya karne hii
Pumzika kwa amani mwamba💔😢🙏
Msijali mtajifungua tuMagufuli Son of Africa soil,
Tuna uchungu haulezeki.
Wapande juu ya nguzo za umeme au ghorofa kisha wajirushe chini ili kudhihirisha majonzi yao.Kiukweli Magomeni washikwa na simanzi kuu kumpoteza kipenzi chao aliyekuwa Rais wa JMT Dr Magufuli...
Wewe umekaa juu ya nini?W
Wapande juu ya nguzo za umeme au ghorofa kisha wajirushe chini ili kudhihirisha majonzi yao.
Kiongozi niache nimuombolezee shujaa huyu,usiongeze shubiri.wewe endelea kucelebrate.Mfuateni, kunywa juisi ya Maji ya betrii
Kama umeishiwa hoja umeanzisha uzi wa nini kama sio kuleta vihoja kama hivi.