Magufuli alikuwa mwamba kwa kweli haters wajiandae kwenda labour wakajifungue mimba za chuki!Hili nilikuwa sina wasiwasi nilijua litaisha on time na kwa kiwango cha juu maana kulikuwa hakuna pua ya mswahili iliyogusa au kuona pesa za hiyo project, pesa ilitolewa na Mkorea na akalipwa contractor moja kwa moja na kazi ikasimamiwa na mkorea 100%, model iliyotumika ni sumu kwa mafisadi, Congratulations to the late President JPM
Tungekuwepo wakina sisi lisingeishaa
Ova
Hilo lilianza na JKAll Credit to the Late JOHN POMBE MAGUFULI, jamaa alibana pesa ila tulijionea kwa macho pesa zikitengeneza na kuboresha miundombinu…
Aendelee kupumzika kwa Amani na kwa heshima yake ningependekeza liitwe Magufuli Bridge…
Maskini jeuri wa Bongo.... Mnasumbua sana......!!Kwani Tsh 10,000/ ni shida yaani mlo mmoja wa mchana tu!
Kama wewe huwezi usishindane na wengine. Jua yakwako!
Ujenzi wa mchongomchongo tuSi umeona mwendo kasi mbagala?
😂😂😂Nyie wavimba macho tena
Wabishi
Ova
Wakishua kama nakuona vile kutoka obey/masaki mpaka posta ni mwendo mdundo. Hamna foleni tena ya Salander bridgeDah nalitamania sana
Nyie watu mna matatizo ya akili sanaMagufuli alikuwa mwamba kwa kweli haters wajiandae kwenda labour wakajifungue mimba za chuki!
Alisimamia nani hilo, mama kafanya lipi kubwa mpaka sasaNyie watu mna matatizo ya akili sana
Kwa iyo magufuli ndo amejenga ilo daraja? Kivipi?
Pesa watoe wakorea alafu unaropoka tu Magufuli!
Vic has wakubwa nyie
Magu hakutoa hata mia,hilo daraja JK alizawadiwa na wakorea kwa kumuunga mkono Ban Ki Moon.Ahsante sana Hayati Magufuli Kwa daraja hili ngoja timu Msoga waje na mapambio Moto Moto.
Ok basi waweke kuvuka 20000Kwani Tsh 10,000/ ni shida yaani mlo mmoja wa mchana tu!
Kama wewe huwezi usishindane na wengine. Jua yakwako!
Sawa?nani kalisimamiaaMagu hakutoa hata mia,hilo daraja JK alizawadiwa na wakorea kwa kumuunga mkono Ban Ki Moon.
Pesa atoe mkorea, kujenga ajenge mkorea alafu hongera unatoa kwa magufuliHili nilikuwa sina wasiwasi nilijua litaisha on time na kwa kiwango cha juu maana kulikuwa hakuna pua ya mswahili iliyogusa au kuona pesa za hiyo project, pesa ilitolewa na Mkorea na akalipwa contractor moja kwa moja na kazi ikasimamiwa na mkorea 100%, model iliyotumika ni sumu kwa mafisadi, Congratulations to the late President JPM
SamiaSawa?nani kalisimamiaa
Ova
Kama kusimamia ndo kumpa mtu sifa basi sifa apewe Samia maana Samia kaanza Urais March 2021 na kwa kipindi chake ndo sehemu kubwa ya daraja imejengwa hadi kumalizika!Alisimamia nani hilo, mama kafanya lipi kubwa mpaka sasa
Anakimbiza nini? Mwenge?Ujenzi wa mchongomchongo tu
Jpm kiukweli alikuwa anakimbizaaa
Ova
Acheni chuki za kishamba idea ndio msingi wa mradi! Usimamizi ndio unafataKama kusimamia ndo kumpa mtu sifa basi sifa apewe Samia maana Samia kaanza Urais March 2021 na kwa kipindi chake ndo sehemu kubwa ya daraja imejengwa hadi kumalizika!
Acheni ukichaa na ushamba wa kuabudu mizimu nyie wajinga