Sio “hanasa“ na wewe. Wamekuambia “anasa”. Bado umekomaa na “hanasa”. Nyie vijana wa 2000 + mnaharibu kiswahili.yote ni madudu tu daraja linatakiwa kufungwa kwa ajili ya ukarabati na matengenezo tu na si mambo ya hanasa
"Muhache mwenzio hajidai na luga ya kiswahili.Hau hunamuhonea wivu"?Teh!Teh!Sio “hanasa“ na wewe. Wamekuambia “anasa”. Bado umekomaa na “hanasa”. Nyie vijana wa 2000 + mnaharibu kiswahili.
Na pembeni Heineken inapromotiwa.Mjini shule.Halafu wanatoa kisingizio cha kutangaza utalii huku wakijikosha kwa kusema wataweka muvi ya roho tua
jamani hivi mnatuonaje sisi watalii?
Yaani mtu upo Tunduru vijijini halafu unalalamikia daraja kufungwa.Hili suala la kufunga daraja kwa ajili ya mechi ya uefa limekaaje kitaalam mbna kama haliko sawa hivi
Serikali iko wapi maana hili sio la kufumbia macho .
Huduma muhimu zinasitishwa kwa ajili ya hanasa .
Je? daraja lilijengwa ili iwe ni sehemu ya kuangalizia mpira.
Watumishi wanavyopenda kujipendekeza, walivyoambiwa royo tuwa, kama nawaona tena hakuna mtu aliye reason, siyo watu wa OSHA wala NEMC wala TANROADS, nahisi vibali viligongwa muhuri Kwa speed ya radi!Halafu wanatoa kisingizio cha kutangaza utalii huku wakijikosha kwa kusema wataweka muvi ya roho tua
jamani hivi mnatuonaje sisi watalii?
Umenielewa lakini nilichomaanisha naomba usome vizuri alafu ifafanue hio sentence ndio utaelewa nilicho maanisha . Kiufupi tu sisi ni maskini lakini atutaki kujifunza kwa matajiri Jinsi ya kuwa serious dhidi ya miundombinu ya nchi na tunataka kuwa Kama matajiri lakini atutaki kuiga userious wao hao watajiriMazuri ni kufunga daraja??
Kwanini wasipeleke viwanja vya michezo screens Taifa, Karume basi!? Na mechi ikaangaliwa huko!?
Kwenye miundo mbinu yote yenye kuzingatia afya na usalama!? Kuanzia mahali pa kukaa mpaka vyoo!
Open public spaces zote wameziuza, badili matumizi, kiholela..!
Kwamba viongozi wa CCM umesahau vibweka vyao Mkuu?Aiseee mi siamini, hadi nipate udhibitisho, WatZ hatujafikia stage ya kuchanganyikiwa kiasi hicho
Ni sahihi kabisa... shida ipo wapi hapo?Wewe unaona kitendo hicho ni sahihi?
Tuombe Mungu watu wa aina yako wasiwe kwenye decision-making tables manake kama umeona huu ni ubunifu, una tatizo mahali!Wewe si mbunifu that's why umetoa hayo maoni yako ya kwenda mbugani
Hinabidi hushangahe mpaka na yeye hashangazwe na mushangaho wako.Teh!ndo namimi nashangaha watanzaniha atuna uo wivu
Yako ikoje?akili mgando
Pamoja! Nime read between the lines!Umenielewa lakini nilichomaanisha naomba usome vizuri alafu ifafanue hio sentence ndio utaelewa nilicho maanisha . Kiufupi tu sisi ni maskini lakini atutaki kujifunza kwa matajiri Jinsi ya kuwa serious dhidi ya miundombinu ya nchi na tunataka kuwa Kama matajiri lakini atutaki kuiga userious wao hao watajiri
Hivi ni "ATI" au "ETI" ?Ati nini?!! Hii habari haiwezi kuwa ya kweli, daraja lipi hilo linafungwa?!!