Ndumbayeye
JF-Expert Member
- Jan 31, 2009
- 7,413
- 4,020
We jamaa acha nongwa mitaani tunafunga mitaa kwa kucheza rusha rohoMazuri ni kufunga daraja??
Kwanini wasipeleke viwanja vya michezo screens Taifa, Karume basi!? Na mechi ikaangaliwa huko!?
Kwenye miundo mbinu yote yenye kuzingatia afya na usalama!? Kuanzia mahali pa kukaa mpaka vyoo!
Open public spaces zote wameziuza, badili matumizi, kiholela..!
Hakuna mwenye anamiliki standard ya kufiikiria...kila mtu anauwezo wake katika kupambanua mambo..so usimuoverate au kumuunderate mwenzako...Tuombe Mungu watu wa aina yako wasiwe kwenye decision-making tables manake kama umeona huu ni ubunifu, una tatizo mahali!
Mkiambiwa ukweli nongwa!We jamaa acha nongwa mitaani tunafunga mitaa kwa kucheza rusha roho
Akikujibu nitag Mkuu.Kabla ya daraja mlipita wapi?
Ukarabati upi daraha halijamaliza hata nusu mwakayote ni madudu tu daraja linatakiwa kufungwa kwa ajili ya ukarabati na matengenezo tu na si mambo ya hanasa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndio uone ujinga wa sie watanzania....mbona wao hawaonyeshi mechi zetu kwenye madaraja yao....alafu wakituita manyani tunalalamika
Sijui watakunya wapi [emoji23][emoji23][emoji23] au ndio wataleta mobile toiletMazuri ni kufunga daraja??
Kwanini wasipeleke viwanja vya michezo screens Taifa, Karume basi!? Na mechi ikaangaliwa huko!?
Kwenye miundo mbinu yote yenye kuzingatia afya na usalama!? Kuanzia mahali pa kukaa mpaka vyoo!
Open public spaces zote wameziuza, badili matumizi, kiholela..!
Kunywa Pepsi naja kulipaEleza vizuri, dalaja gani? Wapi? Nani kasema? Si watanzania wote wameskia hiyo habari unayolalamikia.
Basi tugeuze kibanda umiza mazima tuanze fanya harusi pia na mikutano ya adharaUnadhani ni shillingi ngapi ambayo itaingia kwa leo tu kwa kuuza bia pale na serikali itavuta chake??? kupewa kibari unadhani imelipiwa shilingi ngapi? polisi kusimamia usalama unadhani wanafanya bure? Ajira za muda ni ngapi zimetengenezwa kama kuuza vyakula? mambo ya usafiri kama bajaj na bodaboda na wale wa little ride au bolt!
Uzuri kuna option ya barabara sio kwamba ndio tegemeo tu!
Kwa watu wanaopenda mpira wala hawana wasi wasi juu ya ili lakini wasiokunywa bia lazima wawe na makasiriko sana!! kwa kuwa niko kwenye creativity nampongeza aliyetoa idea
Hazijawahi kuzuia binadamu kutoharibu mazingira,Sijui watakunya wapiau ndio wataleta mobile toilet
Huu ni ubunifu au uharibifu wa rasimali muda ya daraja?Uo ubunifu wa Masoud Kipanya ndo kauleta.
Hilo daraja siyo muhimu sana kwani kuna njia mbadala.tanzanite/salenda leo jioni litafungwa na kugeuzwa kiwanja cha kuangalizia mechi ya uefa final