Mzee ni kiboko maana si kumtumbua tu bali kumhamisha kabisaaaa ili wasiwe karibu karibu maana yaonekana alikoleanamo.Hiyo imenikumbusha hadithi ya "penzi kitovu cha uzembe"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee ni kiboko maana si kumtumbua tu bali kumhamisha kabisaaaa ili wasiwe karibu karibu maana yaonekana alikoleanamo.Hiyo imenikumbusha hadithi ya "penzi kitovu cha uzembe"
Mkuu, vipi kuhusu hizo pesa wamemuachia au walizikomba pia?Gambo kaiga Makonda Style yamemkuta ......kakutwa na minoti kibao ..walimuweka mahali salama kidogo...watakua wamemuachia kukwepa fedheha ya kisiasa kuelekea uchaguzi mkuu ....mipesa aliyokuwa analazimisha kupewa na matajiri wakiwamo wachimbaji wa mawe longido na mererani ...
How and why? Mexence is there for usJF is no longer free
ipo thread nimeweka, wakati ule ukimwi ilikua kuupata kazi sana plus jamaa alikua anachepuka mostly na vibikraWeka picha zao mkuu
Kuku ya zebengo hakuwaachia LUKU kweli?
Pengine huyo unaemuita snitch ndio kaliwa na ndie chanzo cha DAS kupigwa mtama.Ndo yule alikuwa na Juliana Shonza kipindi kile Chadema.
Ila Jocate kafanya vibaya kumchongea mwenzake. Sasa kuchukua wake za watu kunahusiana nini na kazi yake. Ila serikalini huwa kuna watu wanafki. Mnafanya kazi fresh, halafu ukimpa mgongo anakusema vibaya.
JOCATE ACHA USINITCH.
Kala mama ya mkulu itakuwa, anachezea anga za NASA?Kagusa pasipogusika kudadeki ! usicheze na vya wakubwa utaumia .
Usnitch wake unakuja,kila mkulu akimuuliza yeye anamsingizia DAS kuwa ndo anamng'ang'ania,kumbe DC nae kakolea. Akiwa na Das mabusu kibao. Akiwa kwa mukulu anamponda Das kuwa hasikii kumfuatafuata.Pengine huyo unaemuita snitch ndio kaliwa na ndie chanzo cha DAS kupigwa mtama.
Hahahah sema mkulungwa ana wivu sana. Alishamuonya jamaa aache kuchezea mali yake jamaa akakaza kichwa.Usnitch wake unakuja,kila mkulu akimuuliza yeye anamsingizia DAS kuwa ndo anamng'ang'ania,kumbe DC nae kakolea. Akiwa na Das mabusu kibao. Akiwa kwa mukulu anamponda Das kuwa hasikii kumfuatafuata.
Hahahhaha mapenzi ni maradhi yanayoathiri ubongo.Penzi huleta madhara kwa kuathiri kazi na shughuli za kiuchumi. Kwa kumtumia Mazoea na Ngoswe kwenye kitabu cha Penzi kitovu cha uzembe eleza ni namna gani penzi litavyomuathiri jamaa kijaamii na kiuchumi.
Hahahah sasa DAS na DC wagombanie wanaume? Hilo lina make sense kwako?Umemsikia Rais alivyomwambia DAS mpya ?Kamwambia sasa wakagombanie wanaume na DC. That means Jocate na Mtela walikuwa wanagombana.
hakutoka bali alifukuzwa Chadema akawa anatumiwa na Mwigulu kuchora mawe.Hivi si ni yule alietokaga CHADEMA. Sijui ni Mtela Mwampamba.
2020
Kumbe Mtela yupo Kisarawe?!
Halafu Jojo nae yupo wapi vile?!
Halafu haya mambo tunatongazana halafu tunasemeana kwa Bosi sio kabisa!
Si ungeninyima tu?! Halafu ndo nini... yaani unataka boss ndo akuone tunda lake peke yake, au?! Halafu achane unafiki nyie watu... eti mke wa mtu! Mmefunga ndoa lini?!
Live broadcast
HahahaPenzi kitovu cha uzembe! RIP Mitomingi.
Kagusa pasipogusika kudadeki ! usicheze na vya wakubwa utaumia .
Hahahaaaa.......kila zama na kitabu chake bwashee!Ila kama nchi tulipitia magumu sana😂😂😂