DAS Kisarawe, Mtela Mwampamba atumbuliwa kwa kutongoza wake za watu

DAS Kisarawe, Mtela Mwampamba atumbuliwa kwa kutongoza wake za watu

Alionywa hakusikia.

Muheshimiwa kamuonea kijana ... ajiulize yeye hiyo dhambi hajawahi fanya ... kama ni adhabu si wangeanzia kwenye maofisi wake na Waume za watu wanachukuliwa
Alafu hiyo ni Issue mdogo ya Kiutawala ambayo ingeweza kushughulikiwa kwa utaratibu na kuhifadhi heshima Kadiri ya sheria za utumishi wa umma Kwani hajatembeaa na watoto wa shule bali ni watu wazima wawili wamekubaliana ni masuala Binafsi
Na adhabu zake ni Binafsi na siri ili kulinda heshima
Kwenye mtu kuingia kwenye utumishi toka kijana hadi unakua Rais mabosi zake wangekua wanatoa adhabu kwake na kuzitangaza pengine asingefika mbali ....
Watu wako huko nyuma washabaka hadi watoto wao wakajiuwa kwa kunywa sumu ... wako watu washauwa bila kukusudia ...
iweje leo kijana kwa kosa la ujana tu anadhalilishwa ?
 
Ndo yule alikuwa na Juliana Shonza kipindi kile Chadema.

Ila Jocate kafanya vibaya kumchongea mwenzake. Sasa kuchukua wake za watu kunahusiana nini na kazi yake. Ila serikalini huwa kuna watu wanafki. Mnafanya kazi fresh, halafu ukimpa mgongo anakusema vibaya.

JOCATE ACHA USINITCH.

Labda alikula Alafu Akala na walimu wanaokuja kuomba uhamisho au kupangiwa shule Nzuri au aliingia kwenye waya wa mtu mwenye nguvu
 
Kigogo anajua kilichotokea ngoja tusubiri[emoji3][emoji3]
 
Bora Raisi kasema ukweli hadharani hii kuficha ficha ni unafiki wa wabongo kuficha uchafuzi
cariha tulia uwaze kwanza afu ndio uandike

Yawezekana umeandika Fasta piga picha ndio mshua wako anaumbuka hivyo mbele ya kadamnasi kesho unatimba school class zima wanakusema kuwa mshua wako noma, Maza huko saloon ataona soo

Haya kwa mfano mke wa mtu ana namba ya mtumbuliwa kwa maongezi ya kawaida tu hapo mume akiiona hiyo namba ndani msala, yaani kifupi maisha ya mtumbuliwa kwenye jamii yatakuwa noma, ngoja tusubiri na magazeti ya kesho.
 
NAJUA WAZINZi mko WENGI HUMU
NGOJA TUPONYANE ROHO KWA MAANDIKO
 
cariha tulia uwaze kwanza afu ndio uandike

Yawezekana umeandika Fasta piga picha ndio mshua wako anaumbuka hivyo mbele ya kadamnasi kesho unatimba school class zima wanakusema kuwa mshua wako noma, Maza huko saloon ataona soo

Haya kwa mfano mke wa mtu ana namba ya mtumbuliwa kwa maongezi ya kawaida tu hapo mume akiiona hiyo namba ndani msala, yaani kifupi maisha ya mtumbuliwa kwenye jamii yatakuwa noma, ngoja tusubiri na magazeti ya kesho.
Mshua wangu decent kwa kweli Ila mtu akifanya ujinga lazima uwe tu hadharani, iwe fundisho kwa wengine imagine huyo DAS cheo chake na ufuska kiliathiri kazi plus conflict of interests, Hilo ni kosa kubwa Sana tu kwenye taasisi, hzo aibu nyingine si za kujali, hivi kwanini uone aibu kwa madudu ya mwingine kila mtu atabeba mzigo wake mwenyewe
 
Afu itakuwa huyo katibu tawala amemtongoza mke wa mkubwa..nimtaje ?
Ndo yule alikuwa na Juliana Shonza kipindi kile Chadema.

Ila Jocate kafanya vibaya kumchongea mwenzake. Sasa kuchukua wake za watu kunahusiana nini na kazi yake. Ila serikalini huwa kuna watu wanafki. Mnafanya kazi fresh, halafu ukimpa mgongo anakusema vibaya.

JOCATE ACHA USINITCH.
 
Jamii Forums mnatupeleka wapi? Kwanini mumefuta maoni yetu kuhusiana na hili suala la fumanizi?
 
WATU MUHIMU UPINZANI MNASHINDIA MITANDAONI WAKATI WENZENU WAKO MAJIMBONI WAKIPIGA KAZI.

AFU OKTOBA MKISHASHINDWA MTAFUNGUA MAJIMBO MAPYA YA SHILAWADU.
Unadhani kwanini TUME HURU inakataliwa?
Unafikiri ni kwasababu wapinzani wanashinda mitandaoni au ni hofu ya watawala?
 
NAIMBA ZILEPICHA MKIWEKA MUWEKE KWA UPENDO MJADILI KWAUPENDO

KUNA SARE WALIVAA NAONA MAKELELE YAMEZAGAA NA HIO VITENGE ANGALIEN
Screenshot_20200629-013228.png
NA WANYUMA NAE ANA KITENGE
 
Pamoja na kuhimiza Maendeleo kisalawe Jokate ni mtoto Wa viwanja, hawezi kufugika UDC hautoshi kumpa furaha baada ya kazi ubinadamu unabaki palepale, kosa la Mwampamba ni kutaka kila mtu ajue na hata alipojulikana bado alishupaza shingo ameliwa kihalali ila! Angalizo " unaweza kufanya mengi makubwa mazuri ya kutukuka halafu kajambo kadogo kakakupaka doa na kukuharibia kuiona mbingu, ya duniani yanapita tusisahau iko hukumu"
 
Mambo ni moto

View attachment 1490942
Mtela (katikati) akiteta jambo na Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe

RAIS MAGUFULI AMTENGUA KATIBU TAWALA WILAYA YA KISARAWE

Rais wa John Pombe Magufuli, amemtengua Katibu Tawala wa Kisarawe, Mtela Mwampamba na kumteua Mwanana Msumi, aliyekuwa Afisa Tawala wa Wilaya kuchukua nafasi hiyo.

Rais Magufuli amesema kuwa Katibu Tawala huyo amekuwa akikiuka kimaadili ya viongozi wa umma, hata kuchukua wake za watu.

Ameyasema hayo alipokuwa katika uzinduzi wa mradi wa maji Kibamba-Kisarawe uliogharimu Tsh Bilioni 10.6.

Pia katika uzinduzi huo Rais Magufuli amemsifia Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Joketi Mwegelo kwa kutokomeza ziro.

Soma pia: Mtela Mwampamba aondolewa Ubungo na badala yake awa DAS Kisarawe
NAMPA HONGERA MH.RAIS KWA KUMTUMBUA NDUGU MTELA MWAMPAMBA NA USHAULI WANGU ASIPANGIWE KAZI NYINGINE.

MIMI NINGEPENDA KUONA NDUGU MTELA MWAMPAMBA AKITUMIA FURSA ZA KILIMO,UFUGAJI,BIASHARA KUJIAJIRI

MAANA HAWA NDUGU ZETU VIJANA TUSIO NA AJIRA HUWA WANATUHASISHA SANA TUJIAJIRI SASA NI MUDA RASMI YEE KUJIAJIRI
 
Back
Top Bottom