DAS Kisarawe, Mtela Mwampamba atumbuliwa kwa kutongoza wake za watu

DAS Kisarawe, Mtela Mwampamba atumbuliwa kwa kutongoza wake za watu

Magufuli Baba Lao .
Namkubali sana.

Magufuli anaijenga nchi yetu kuelekea kwenye Maendeleo ya haki na ya kweli.

Uhuni uhuni wa kina Mbowe uishie huko huko kwenye vyama vya siasa lakini sio kwenye majukumu ya Serikali.

Kwa Muda mrefu haya mambo ya kuchanganya mapenzi na kazi yametukwamisha sana.
Wamehitimu wasomi wengi hasa wa Elimu ya juu wenye vyeti vinavyotokana na mahusiano ya kingono badala ya uwezo wa kitaaluma.
Wale wa Elimu za chini wengi wamefelishwa kwa sababu ya kukataa kutumika kingono.
Kuna uozo mwingi sana kwenye taasisi za umma na hata binafsi.
Kuna watu wengi wanaume kwa wanawake wanakosa haki zao kwa sababu ya kukataa kutoa miili yao kutumika kama vyombo vya kuwastarehesha wenye madaraka.

Namshauri Mh. Rais asiishie hapo aende Mbali zaidi kwenye kila taasisi. Dhulma nyingi chanzo chake ni kuendekeza Umalaya kwenye maofisi ya umma.
Kama mtu anaona anaweza sana uhuni basi ajiweke pembeni waje watu waadilifu.

Miaka ya 2000 kurudi nyuma kulikua na wizi sana wa mitihani mashuleni na kuiba majina ya watu na kufiji vyeti.
Wasomi wengi wenye umri huo ni zao la wizi wa mitihani na wizi wa vyeti na majina ya watu.
Hawa ndio wengi wao hawana maadili ya utumishi wa umma.
Nafasi walizo Nazo ni zao la uhalifu wao na udanganyifu.

Kipindi hicho watu waadilifu wengi walikata tamaa ya kushindana na wezi wa mitihani na vyeti vya watu.
Hawa ndio waliosalia wanaosumbua wake za watu na mademu za watu na nyumba ndogo za watu kwa kutumia nafasi zao.

Tunataka ofisi za umma wakabidhiwe watu waadilifu na waheshimu umma na tujenge jamii yenye maadili.
Hili la kisarawe ni alarm kwa wengine.

Enzi ya serikali za awamu ya kwanza na ya Pili.
Awamu ya Tatu ilianza mageuzi makubwa na kuanza kuwajengea wanawake uwezo wa kujiamini . Lakini awamu ya kwanza na ya pili Hapakua na mitandao yenye kufichua ufuska wa viongozi wa umma.
Wanawake walinyanyasika sana maofisini. Ilikua ni kama halali ya kila buso kumchukua mwanamke yeyote anayemtaka ambaye yupo chini yake kwa wazi kama anavyofanya Mbowe kule Chadema.

Tumuunge mkono Rais mana jamii isiyo na maadili haiwezi kustaarabika.
 
Teh teh teh [emoji1787][emoji1787] [emoji1787] huyu jamaa aliondoka Chadema na kina Shonza wakati mmoja?

Teh teh teh akagombee ubunge sasa [emoji23][emoji23][emoji23]
Hapo akienda kugombea ubunge tu,hapiti kwa kura za maoni kwani kumpitisha tu itakuwa ni kupuuza tuhuma zilizotolewa na mkuu wa nchi,ili tuhuma hizo zibaki kuwa valid,inabidi jamaa asithubitu kugombea, otherwise atapata aibu zaidi...

Labda agombee mwa 2025...baada ya kujisafisha

Sent from my Z9 using JamiiForums mobile app
 
Ushauri wangu: Ukiwa una nafasi ya juu ya kufanya maamzi usijaribu kujiingiza katika Mahusiano na watumishi wako. Vinginevyo utajikuta umetimua wanaume wote. Kwa sababu Mara zote chakula Cha Moto ndo kinawahi kuisha kwenye sahani.
 
Ndo yule alikuwa na Juliana Shonza kipindi kile Chadema.

Ila Jocate kafanya vibaya kumchongea mwenzake. Sasa kuchukua wake za watu kunahusiana nini na kazi yake. Ila serikalini huwa kuna watu wanafki. Mnafanya kazi fresh, halafu ukimpa mgongo anakusema vibaya.

JOCATE ACHA USINITCH.
watu wengine ndo wamemchongea tu na jocket ndo wako dam dam dingilay kashituka
 
Huu uzi naona post kibao zimefutwa hasa picha zilizokuwa zimewekwa humu ndani.
 
FB_IMG_1593362011667.jpg
 
kama aliwahi kuonywa na raisi lkn bado akaendelea na tabia za kihuni basi huyu alikuwa hafai kabisaaa,
una onywa na kiongozi wako halafu unakaidi !!
kwa hatua aliyo chukuliwa dhidi yake na hakika hajaonewa
 
Back
Top Bottom