DAS Kisarawe, Mtela Mwampamba atumbuliwa kwa kutongoza wake za watu

DAS Kisarawe, Mtela Mwampamba atumbuliwa kwa kutongoza wake za watu

Mambo ni moto

View attachment 1490942
Mtela (katikati) akiteta jambo na Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe

RAIS MAGUFULI AMTENGUA KATIBU TAWALA WILAYA YA KISARAWE

Rais wa John Pombe Magufuli, amemtengua Katibu Tawala wa Kisarawe, Mtela Mwampamba na kumteua Mwanana Msumi, aliyekuwa Afisa Tawala wa Wilaya kuchukua nafasi hiyo.

Rais Magufuli amesema kuwa Katibu Tawala huyo amekuwa akikiuka kimaadili ya viongozi wa umma, hata kuchukua wake za watu.

Ameyasema hayo alipokuwa katika uzinduzi wa mradi wa maji Kibamba-Kisarawe uliogharimu Tsh Bilioni 10.6.

Pia katika uzinduzi huo Rais Magufuli amemsifia Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Joketi Mwegelo kwa kutokomeza ziro.

Soma pia: Mtela Mwampamba aondolewa Ubungo na badala yake awa DAS Kisarawe
Shida ni kujaza vijamaa vya kutoka kwenye kitengo ambavyo havijakomaa kimaadili or kuaminishwa wanaweza kufanya chochote.
Ushauri: Baadhi ya nafasi serikalini, umri, weledi, uzoefu na nidhamu vitangulie kwanza na si vinginevyo kupunguza hii hali ya kutumbua kila mara huku madhara makubwa tayari yametokea katika sehemu ya kazi.
 
Tatizo la huyu Bwana ni kupenda kudhalilisha watu, wakati yeye hapendi kuguswa hata Kwa tuhuma za kweli. Pengine tabia hii inakuzwa na wateule wake serikalini wanaopenda kumuita 'Baba' badala ya kumchukulia katika mukhtadha wa mahusiano ya kiofisi; urais. Lakini tusisahau siku Jemedari Goliath alipoadhirika mbele ya kijana Daudi. Kudhalilisha watu, hata kama umewaajiri wewe, si Jambo jema hata kidogo.
 
Eti ampangie kazi nyingine! Mtu mkware kwenye utumishi wa umma hana nafasi. Kama unamtaka kakae nae kwako.
 
Jokate alikuwa akiulizwa anasema kamuonya hataki. Kumbe Jocate mwenyewe ndo alinogewa kwa Mtela. Akienda kwa Magu anasema Mtela anamng'ang'ania. Imenikumbusha issue ya Abby Majige. Magufuli alimuonya sana kijana mmoja aliekuwa anakula Abby. Magufuli tatizo shughuli haiwezi yeye nguvu yake ni pesa tu. Ndo maana vijana wanamsaidia.
Mzee kumbe anatumia pesa sana?
 
Hakuna tena wa kumkubalia kumpatia mzigo Mwampamba maana sasa anaenda kuwa katibu kata tena huko maporini tu hata umeme atausikia tiibiisiii
Dah! Sema kulamba miguu ndio shida, ningekuwa mie ningekataa.. huwezi nitupa porini
 
Mambo ni moto

View attachment 1490942
Mtela (katikati) akiteta jambo na Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe

RAIS MAGUFULI AMTENGUA KATIBU TAWALA WILAYA YA KISARAWE

Rais wa John Pombe Magufuli, amemtengua Katibu Tawala wa Kisarawe, Mtela Mwampamba na kumteua Mwanana Msumi, aliyekuwa Afisa Tawala wa Wilaya kuchukua nafasi hiyo.

Rais Magufuli amesema kuwa Katibu Tawala huyo amekuwa akikiuka kimaadili ya viongozi wa umma, hata kuchukua wake za watu.

Ameyasema hayo alipokuwa katika uzinduzi wa mradi wa maji Kibamba-Kisarawe uliogharimu Tsh Bilioni 10.6.

Pia katika uzinduzi huo Rais Magufuli amemsifia Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Joketi Mwegelo kwa kutokomeza ziro.

Soma pia: Mtela Mwampamba aondolewa Ubungo na badala yake awa DAS Kisarawe
Waliokutumia wakishajilidhisha kwamba umeisha lazima utupwe hizo ni salamu kwa waunga juhudi wote
 
Safi sanaa, sio tu wake za watu hata kutongoza tongoza wanawake sio vizuri ni matumizi mabaya ya nafasi uliyonayo.
 
Ila Abul Aaliyah tuende mbele turudi nyuma. Huu utawala una matatizo sana. Ni aibu kubwa sana kwa Rais wa nchi kusimama hadharani na kumsimanga DAS eti anatembea na wake za watu. Kwani alibaka? Kwani kuna official case kuwa alibaka? Sasa huo ushahidi kaupata wapi? Nakwanini asifanye kiofisi akamtimua tu taratibu? Kwanini Mkuchika na Jafo wasimalize hilo suala mpaka anakuja kutamka hadharani hayo mambo? Anajua madhara yake kwa familia ya aliyemtuhumu? Ndugu zake je? Mke na watoto je? Haya mambo haya.
Hilo ndiyo tatizo kubwa lililopo kwa sasa, lkn hiyo inaletwa na ni jinsi gani hiyo ajira ya mhusika ilipatika vipi.
 
Nimeishi sana Maneromango shule aliyosoma Jaffo, weekend kama hii kule ni ngoma kwa kwenda mbele, ukiwa na tamaa kama za akina Mwampamba lazima ule familia nzima! Nadhani ndio yaliyotokea, kala kila kitu na hawajui kusema hapana
 
Nimeishi sana Maneromango shule aliyosoma Jaffo, weekend kama hii kule ni ngoma kwa kwenda mbele, ukiwa na tamaa kama za akina Mwampamba lazima ule familia nzima! Nadhani ndio yaliyotokea, kala kila kitu na hawajui kusema hapana
Aaah...! Ndio maana huyo uliemsema ana wake 4?
 
Back
Top Bottom