pasi padinde
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 281
- 299
Na alivyo katolewa ubungo alitolewa cos kulikuwa na Joketi pia?
Supreme court . Everything with one wings
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na alivyo katolewa ubungo alitolewa cos kulikuwa na Joketi pia?
Kweli kabisa yeye Aliona K diliMkuu umesahau mtu maskini mahitaji yake hua ni:
-Pombe
-Chakula
-K....
inawezekana Jojo aliona mwamba anawachanganya mno!........ nadhani nimeeleweka!Ndo yule alikuwa na Juliana Shonza kipindi kile Chadema.
Ila Jocate kafanya vibaya kumchongea mwenzake. Sasa kuchukua wake za watu kunahusiana nini na kazi yake. Ila serikalini huwa kuna watu wanafki. Mnafanya kazi fresh, halafu ukimpa mgongo anakusema vibaya.
JOCATE ACHA USINITCH.
Oohoo mwana kulitakaaaa...View attachment 1491160
TeyariiiiiiUzi umeisha?
Ndo yule alikuwa na Juliana Shonza kipindi kile Chadema.
Ila Jocate kafanya vibaya kumchongea mwenzake. Sasa kuchukua wake za watu kunahusiana nini na kazi yake. Ila serikalini huwa kuna watu wanafki. Mnafanya kazi fresh, halafu ukimpa mgongo anakusema vibaya.
JOCATE ACHA USINITCH.
Umemsikia Rais alivyomwambia DAS mpya ?Kamwambia sasa wakagombanie wanaume na DC. That means Jocate na Mtela walikuwa wanagombana.
UmeanzaItakuwa Mtela hana shughuli ndogo.
Hahaha, Mkuu hebu fafanua kidogo hapo.Itakuwa Mtela hana shughuli ndogo.
Jamaa anatongoza wake za wakubwa,hahaha
Naomba number za Mtela kama unazo. Maana mnyakyusa yule atakuwa zaidi ya sukari.......Umeanza
Mambo ni moto
View attachment 1490942
Mtela (katikati) akiteta jambo na Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe
RAIS MAGUFULI AMTENGUA KATIBU TAWALA WILAYA YA KISARAWE
Rais wa John Pombe Magufuli, amemtengua Katibu Tawala wa Kisarawe, Mtela Mwampamba na kumteua Mwanana Msumi, aliyekuwa Afisa Tawala wa Wilaya kuchukua nafasi hiyo.
Rais Magufuli amesema kuwa Katibu Tawala huyo amekuwa akikiuka kimaadili ya viongozi wa umma, hata kuchukua wake za watu.
Ameyasema hayo alipokuwa katika uzinduzi wa mradi wa maji Kibamba-Kisarawe uliogharimu Tsh Bilioni 10.6.
Pia katika uzinduzi huo Rais Magufuli amemsifia Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Joketi Mwegelo kwa kutokomeza ziro.
Soma pia: Mtela Mwampamba aondolewa Ubungo na badala yake awa DAS Kisarawe
Hebu elezea vizuri tukuelewe
Hivi si ni yule alietokaga CHADEMA. Sijui ni Mtela Mwampamba.
2020
Wewe hapo kwa Mbowe una uhakika bwashee?!Ndiyo mjue nyinyi wategemea mbeleko kuwa hamna uhakika na kibarua mlicho saidiwa kwa hisani