DAS Kisarawe, Mtela Mwampamba atumbuliwa kwa kutongoza wake za watu

DAS Kisarawe, Mtela Mwampamba atumbuliwa kwa kutongoza wake za watu

Mheshimiwa kila akitokea kwenye media watu lazima wakalale na viatu kitandani
 
Mzee kasema;
"Ukiharibu hapo,unaharibikia hapo hapo" 😂 😂 😂 😂
 
Imeisha hiyo....jamaa lazima alishapita apo
Haihitaji PhD kugundua hilo. Sura huwa zinasema mengi
IMG_20200628_143938.jpg
 
Mumshauri sasa aviondoe na hivyo vyeo visivyo na umuhimu wowote kiasi cha kuwafanya hao wateule kutumia muda wao mwingi kutongoza 'wake' za watu/wakubwa.
 
Raisi ameshindwa hata kumstiri jamaa.
Angeweza kusema kwa utovu wa nidhamu ili kumstiri mshikaji.
Simpangii Raisi ila hii ishu kwa busara angemtumbua jamaa na kutaja tuu sababu za jumla kwamba ni utovu wa nidhamu.
Sasa hii mbona aibu kubwa sana aisee.
Huu tunauita "mzigo wa mavi" aibu kubwa sana hii.
Anataka amvunjie na ndoa.
 
(DAS) ni District Administrative Secretary.
Yaani Katibu Tawala wa Wilaya.

Kule kuna Jokate jamani anapiga kazi balaa tuwe makini ohoooo.

Shauri yako Mtela, Umeona Sasa huruhusiwi kufanya kazi kisarawe, Utapangiwa popote ila sio kisarawe, Jaffo na Mkuchika wameshapokea maagizo.
 
Ndo yule alikuwa na Juliana Shonza kipindi kile Chadema.

Ila Jocate kafanya vibaya kumchongea mwenzake. Sasa kuchukua wake za watu kunahusiana nini na kazi yake. Ila serikalini huwa kuna watu wanafki. Mnafanya kazi fresh, halafu ukimpa mgongo anakusema vibaya.

JOCATE ACHA USINITCH.

Jokate ndio kamchongea?
 
...DAS ana jifanya ye lijali kuzidi wanaume wenzie ...Mwamba kampaa za chemba amelalia viatu saivi alipo huko ndugu zake wakaribu wamuangalie sije akajitundika na shuka kwa mambo aliyo onywa kumbe
 
WATU WANATUMBULIWA KWA KUPIGA MADILI YEYE ANATUMBULIWA KWA SABABU YA KUENDEKEZA K... fal kbsa

Ova
Fala kweli ni lodge zake za bei rahisi alipojichanganya ni kutumia lodge ya mtu wa karibu wa baba sijuii alikuwa haelewi kile chumba no 13 jakicha pale

Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom