citizensindevelopment18
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 1,636
- 830
Amejitakia mwenyewe. Kweli wanawake wote hao wasio na waume Hawaoni?Hebu elezea vizuri tukuelewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amejitakia mwenyewe. Kweli wanawake wote hao wasio na waume Hawaoni?Hebu elezea vizuri tukuelewe
Hahaha. funguka tu mkuuBased on my intellectual capacity and my vast knowledge, tactically and tentatively, right from the beginning of times especially in the light of Ecclesiastes evolution I have come to a concrete, definite and profound conclusion that I actually have nothing to say.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyo kashaupitia mzigo tayari...kwa hali hiyo mmmmhhhhSi hana, atakua amekula hii kitu ya watu. Alijifanya kidume akaingia hadi huku, akasahau kuwa yeye ni wa moja tu
Ndio huyo huyo,naona mmoja mmoja wanaanza kupukutishwa.Hivi si ni yule alietokaga CHADEMA. Sijui ni Mtela Mwampamba.
2020
Ila we dada unawakiaga sana kwenye gia. Vitu kibao unakuwaga hauna uhakika navyo ila unavokiongelea kwa confidence utasema ndo ukweli halisi. Naanza kupata wasiwasi utakuwa saa mbovuNdo yule alikuwa na Juliana Shonza kipindi kile Chadema.
Ila Jocate kafanya vibaya kumchongea mwenzake. Sasa kuchukua wake za watu kunahusiana nini na kazi yake. Ila serikalini huwa kuna watu wanafki. Mnafanya kazi fresh, halafu ukimpa mgongo anakusema vibaya.
JOCATE ACHA USINITCH.
Hahahahahhah dah Haya mambo haya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyo kashaupitia mzigo tayari...kwa hali hiyo mmmmhhhh
Ndo yule alikuwa na Juliana Shonza kipindi kile Chadema.
Ila Jocate kafanya vibaya kumchongea mwenzake. Sasa kuchukua wake za watu kunahusiana nini na kazi yake. Ila serikalini huwa kuna watu wanafki. Mnafanya kazi fresh, halafu ukimpa mgongo anakusema vibaya.
JOCATE ACHA USINITCH.
Bila samahani.Acha kuonesha upumbavu wako hadharani.Samahani lakini
Tena mbovu².Ila we dada unawakiaga sana kwenye gia. Vitu kibao unakuwaga hauna uhakika navyo ila unavokiongelea kwa confidence utasema ndo ukweli halisi. Naanza kupata wasiwasi utakuwa saa mbovu
Wenye wake wanalia kudai haq.Ndo yule alikuwa na Juliana Shonza kipindi kile Chadema.
Ila Jocate kafanya vibaya kumchongea mwenzake. Sasa kuchukua wake za watu kunahusiana nini na kazi yake. Ila serikalini huwa kuna watu wanafki. Mnafanya kazi fresh, halafu ukimpa mgongo anakusema vibaya.
JOCATE ACHA USINITCH.
wakati wa Mobutu, kuna ndugu yake Mobutu alimpenda mume wa mtu, huyo jamaa alikua ni mtangazaji wa habari, basi huyo ndugu yake Mobutu akamchukua jamaa kwa nguvu licha ya kuwa jamaa kaoa, mke wa jamaa alistukia tu mumewe kaenda kazini hakurudi na alipomtafuta alipewa onyo akae mbali nae, jamaa akateuliwa kuwa balozi wa Zaire huko Africa ya kusini nk mpaka akafa baada ya miaka hakuwahi tena kuonana na mkewe akaenda kumuoa ndugu yake Mobutu
mkewe hakuwahi hata kuona kaburi lake
Basi kuanzia leo nmemchukia jokate kumharibia mtu ugari wake dah!
Ww nani kakuambia jokate ndo kamsnitch ?Ndo yule alikuwa na Juliana Shonza kipindi kile Chadema.
Ila Jocate kafanya vibaya kumchongea mwenzake. Sasa kuchukua wake za watu kunahusiana nini na kazi yake. Ila serikalini huwa kuna watu wanafki. Mnafanya kazi fresh, halafu ukimpa mgongo anakusema vibaya.
JOCATE ACHA USINITCH.