DAS Kisarawe, Mtela Mwampamba atumbuliwa kwa kutongoza wake za watu

DAS Kisarawe, Mtela Mwampamba atumbuliwa kwa kutongoza wake za watu

Kumbe Mtela yupo Kisarawe?!

Halafu Jojo nae yupo wapi vile?!

Halafu haya mambo tunatongazana halafu tunasemeana kwa Bosi sio kabisa!

Si ungeninyima tu?! Halafu ndo nini... yaani unataka boss ndo akuone tunda lake peke yake, au?! Halafu achane unafiki nyie watu... eti mke wa mtu! Mmefunga ndoa lini?!
 
Based on my intellectual capacity and my vast knowledge, tactically and tentatively, right from the beginning of times especially in the light of Ecclesiastes evolution I have come to a concrete, definite and profound conclusion that I actually have nothing to say.
Hahaha. funguka tu mkuu
 
Hili ni fundisho kwa watu wanaopewa dhamana za uongozi...
 
Ndo yule alikuwa na Juliana Shonza kipindi kile Chadema.

Ila Jocate kafanya vibaya kumchongea mwenzake. Sasa kuchukua wake za watu kunahusiana nini na kazi yake. Ila serikalini huwa kuna watu wanafki. Mnafanya kazi fresh, halafu ukimpa mgongo anakusema vibaya.

JOCATE ACHA USINITCH.
Ila we dada unawakiaga sana kwenye gia. Vitu kibao unakuwaga hauna uhakika navyo ila unavokiongelea kwa confidence utasema ndo ukweli halisi. Naanza kupata wasiwasi utakuwa saa mbovu
 
Acha kuonesha upumbavu wako hadharani.Samahani lakini
Ndo yule alikuwa na Juliana Shonza kipindi kile Chadema.

Ila Jocate kafanya vibaya kumchongea mwenzake. Sasa kuchukua wake za watu kunahusiana nini na kazi yake. Ila serikalini huwa kuna watu wanafki. Mnafanya kazi fresh, halafu ukimpa mgongo anakusema vibaya.

JOCATE ACHA USINITCH.
 
Ndo yule alikuwa na Juliana Shonza kipindi kile Chadema.

Ila Jocate kafanya vibaya kumchongea mwenzake. Sasa kuchukua wake za watu kunahusiana nini na kazi yake. Ila serikalini huwa kuna watu wanafki. Mnafanya kazi fresh, halafu ukimpa mgongo anakusema vibaya.

JOCATE ACHA USINITCH.
Wenye wake wanalia kudai haq.
 
Nasikia wanaume wote wa kisarawe ambao wake zao walitafunwa kesho wanaandamana kupongeza kutumbuliwa kwa mtela aliekua anatafuna wake zao
 
Ndio shida ya kugawa vyeo kwa mirengo ya kichama. Huyu Das alie tumbuliwa alikuwa mpambe wa Ccm mitandaoni yeye na Juliana. Shonza. Hakuna vetting ni kugawana madaraka tuu kisa Ccm ilimuamini. Hongera kwa kutumbuliwa.. Sasa atapewa job gani zaidi ya kurudi Lumumba akabidhiwe tena bk 7??
 
wakati wa Mobutu, kuna ndugu yake Mobutu alimpenda mume wa mtu, huyo jamaa alikua ni mtangazaji wa habari, basi huyo ndugu yake Mobutu akamchukua jamaa kwa nguvu licha ya kuwa jamaa kaoa, mke wa jamaa alistukia tu mumewe kaenda kazini hakurudi na alipomtafuta alipewa onyo akae mbali nae, jamaa akateuliwa kuwa balozi wa Zaire huko Africa ya kusini nk mpaka akafa baada ya miaka hakuwahi tena kuonana na mkewe akaenda kumuoa ndugu yake Mobutu
mkewe hakuwahi hata kuona kaburi lake

Mobutu Sese Seko Kuku Ngbendu Wa Za Banga[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Ndo yule alikuwa na Juliana Shonza kipindi kile Chadema.

Ila Jocate kafanya vibaya kumchongea mwenzake. Sasa kuchukua wake za watu kunahusiana nini na kazi yake. Ila serikalini huwa kuna watu wanafki. Mnafanya kazi fresh, halafu ukimpa mgongo anakusema vibaya.

JOCATE ACHA USINITCH.
Ww nani kakuambia jokate ndo kamsnitch ?
 
Picha hizi zinasema mengi. Kijana kesha tafuna na mzee baba kashindwa kuvumilia machungu ya tunda kuliwa.
yerickonyerere___CB-eBMOlwcf___.jpg
 
Back
Top Bottom