Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio alitokaga alifukuzwa yeye na Juliana shozaHivi si ni yule alietokaga CHADEMA. Sijui ni Mtela Mwampamba.
2020
Hiyo ndio maana yakeSio kweli.. huyo ndo imetoka
Jamaa yangu leo ataenda toa sadaka ya shukrani.Huyu jamaa kavunja ndoa yake.
MaadiliNdo yule alikuwa na Juliana Shonza kipindi kile Chadema.
Ila Jocate kafanya vibaya kumchongea mwenzake. Sasa kuchukua wake za watu kunahusiana nini na kazi yake. Ila serikalini huwa kuna watu wanafki. Mnafanya kazi fresh, halafu ukimpa mgongo anakusema vibaya.
JOCATE ACHA USINITCH.
mkuu, ni kwanini uliamua uweke Avatar ya fisi ?Mobutu Sese Seko Kuku Ngbendu Wa Za Banga[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Acha anyooshwe na atapangiwa Kazi ya chini[emoji23][emoji23]Kagusa pasipogusika kudadeki ! usicheze na vya wakubwa utaumia .
... issue nyingine ni "ana uwezo mdogo" ndivyo alivyosema mwenye nchi na ameagiza apangiwe kazi "inayoendena na uwezo wake"! Hii ni fedheha kubwa sana kwa jamaa; ubongo wa kuku Mtela Mwampamba ulionywa tangu ukiwa Chadema hukutaka kubadilika.
Kabla hajagombea achungulie list ya Magu, mshikaji asha andaa list ya wabunge wakeTeh teh teh π€£π€£ π€£ huyu jamaa aliondoka Chadema na kina Shonza wakati mmoja?
Teh teh teh akagombee ubunge sasa πππ
Hivi si ni yule alietokaga CHADEMA. Sijui ni Mtela Mwampamba.
2020
Hili pozi la Disii linatia shaka sana. Jamaa atakuwa alimmegea aisee. Ingekuwa mimi ungeenda jela! Yani huogopi kabisa kabisa!
Mkuu hayakuhusu nilikuwa nawasiliana na rafiki yangu sio weweUna uhakika au unaongea tuu?