DAS Kisarawe, Mtela Mwampamba atumbuliwa kwa kutongoza wake za watu

DAS Kisarawe, Mtela Mwampamba atumbuliwa kwa kutongoza wake za watu

DAS bhana.
Haya hadi watanzania wote tumejua eti unachukua wake za watu.
πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Raisi ameshindwa hata kumstiri jamaa.
Angeweza kusema kwa utovu wa nidhamu ili kumstiri mshikaji.
Simpangii Raisi ila hii ishu kwa busara angemtumbua jamaa na kutaja tuu sababu za jumla kwamba ni utovu wa nidhamu.
Sasa hii mbona aibu kubwa sana aisee.
Huu tunauita "mzigo wa mavi" aibu kubwa sana hii.
 
0AEA5289-AE84-4681-81B0-BAE379346634.jpeg
 
Ndo yule alikuwa na Juliana Shonza kipindi kile Chadema.

Ila Jocate kafanya vibaya kumchongea mwenzake. Sasa kuchukua wake za watu kunahusiana nini na kazi yake. Ila serikalini huwa kuna watu wanafki. Mnafanya kazi fresh, halafu ukimpa mgongo anakusema vibaya.

JOCATE ACHA USINITCH.
Maadili

Ova
 
Huyo ni toilet paper tayari.....mbwa kabisa ndio mwisho wake laana ya usaliti hii
 
... issue nyingine ni "ana uwezo mdogo" ndivyo alivyosema mwenye nchi na ameagiza apangiwe kazi "inayoendena na uwezo wake"! Hii ni fedheha kubwa sana kwa jamaa; ubongo wa kuku Mtela Mwampamba ulionywa tangu ukiwa Chadema hukutaka kubadilika.

Hapa kwenye uwezo mdogo inafikirisha sana..
 
Teh teh teh 🀣🀣 🀣 huyu jamaa aliondoka Chadema na kina Shonza wakati mmoja?

Teh teh teh akagombee ubunge sasa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kabla hajagombea achungulie list ya Magu, mshikaji asha andaa list ya wabunge wake
 
Jokate ana option mbili aolewe kama anataka kuendelea na siasa au aingie kwenye serious relationship which is public, ili watu waache kumchukulia poa.

Kama anaona hayuko tayari kuolewa au kumuonyesha mtu ambae yupo serious nae ajiingize tu kwenye shughuli zingine za kusaidia jamii kama past beauty queens wenzake nje ya siasa. Anayo exposure na connection za kutosha kuweza kupata funds za kufanya social activities sijui entrepreneurship zinazomgusa.

Kubaki Jokate kama pin up girl yule yule ambae jamii wana associate nae huku akiendelea na siasa ajivike moyo wa chuma, sidhani kama atachukuliwa serious.

Watu wapo tofauti mnaweza kuwa bar watu mia kesho yake akaonekana alie lewa mmoja tu, inawezekana kuna ma DC kibao single na wana mambo kushinda Jokate lakini awavumi. Kuna wakati mtu lazima ukubali for some reason unaonekana zaidi na lazima ujue unajikinga vipi.

Tatizo lenyewe she is so political ambitious ni vigumu kumkatalia yanayosemwa juu yake.
 
Huyu DC alijua anatumbuliwa leo na alikuwa mtu ksandaliwa kabisa kuchukua nafasi iyo.
 
Back
Top Bottom