DAS Kisarawe, Mtela Mwampamba atumbuliwa kwa kutongoza wake za watu

DAS Kisarawe, Mtela Mwampamba atumbuliwa kwa kutongoza wake za watu

Hivi ukimfumania mkeo unamwadhibu mwivi pekee ama wote wanastahili adhabu?
 
JAMAN ANGESAMEHEWA KAMA YULE RPC NA WALE WA TAKUKURU JAMANII ..AMA ATPAANGIWA KAZI NYINGINE SIJAONA HILO NENO ..MOLA AMSAIDIE MAHAKAMA ISIMUHUSU LOH ATALIA
Waunga juhudi wote hiyo ndio stahili yao
 
Ila Abul Aaliyah tuende mbele turudi nyuma. Huu utawala una matatizo sana. Ni aibu kubwa sana kwa Rais wa nchi kusimama hadharani na kumsimanga DAS eti anatembea na wake za watu. Kwani alibaka? Kwani kuna official case kuwa alibaka? Sasa huo ushahidi kaupata wapi? Nakwanini asifanye kiofisi akamtimua tu taratibu? Kwanini Mkuchika na Jafo wasimalize hilo suala mpaka anakuja kutamka hadharani hayo mambo? Anajua madhara yake kwa familia ya aliyemtuhumu? Ndugu zake je? Mke na watoto je? Haya mambo haya.
Mkuu, shetani hana rafiki. Vijana wa CCM tunawaeleza hapa kila siku lakini hawati kusikia.
 
Nitamtumia ticket na invitation letter aje hapa Detroit tule maisha. Bongo huko vumbi ukizingatia anapelekwa katavi huko.
Nakujua wewe ni muumini wa show za kibabe pamoja na mizigo iliyoshiba
 
Binafsi sisikitii kutenguliwa kwa DAS.

Ninachojiuliza kwa mleta uzi, kwenye tukio kubwa la kihistoria kama hili, hivi umeona kutumbuliwa DAS ndio headilne kuu kwenye tukio hilo?

Mbona hauipongezi Wizara ya Maji kupitia DAWASA kufanikiwa kutkeleza mradi mkubwa wa maji na kutatua kero ya ukosefu wa maji Wilayani Kisarawe iliyodumu kwa muda mrefu tangu kuanzishwa kwa wilaya hiyo kwa zaidi ya miaka 100 iliyopita.
Kwanini umpongeze anaetimiza wajibu wake? na kama ni muhimu kwanini nawewe usianzishe uzi wa hayo unaita tukio la kihistoria
 
Ila Abul Aaliyah tuende mbele turudi nyuma. Huu utawala una matatizo sana. Ni aibu kubwa sana kwa Rais wa nchi kusimama hadharani na kumsimanga DAS eti anatembea na wake za watu. Kwani alibaka? Kwani kuna official case kuwa alibaka? Sasa huo ushahidi kaupata wapi? Nakwanini asifanye kiofisi akamtimua tu taratibu? Kwanini Mkuchika na Jafo wasimalize hilo suala mpaka anakuja kutamka hadharani hayo mambo? Anajua madhara yake kwa familia ya aliyemtuhumu? Ndugu zake je? Mke na watoto je? Haya mambo haya.
Ukiaa na roho mbaya unakuwa unapenda kuinflict wounds tu .Unamfukuza mtu kazi hadharani,unamdhalilisha na bado unataka moto uwake nyumbani.Akina Kangi wanasamehewa alafu huyu unasema apewe nafasi ndogo.
 
Ndo yule alikuwa na Juliana Shonza kipindi kile Chadema.

Ila Jocate kafanya vibaya kumchongea mwenzake. Sasa kuchukua wake za watu kunahusiana nini na kazi yake. Ila serikalini huwa kuna watu wanafki. Mnafanya kazi fresh, halafu ukimpa mgongo anakusema vibaya.

JOCATE ACHA USINITCH.
Itakuwa amemuonea wivu jamaa anavokamua mizigo ..

Hivi hata wanawake huwa mnaonaga wivu mwanaume akila vitu vitamu?
 
Ndio shida ya kugawa vyeo kwa mirengo ya kichama. Huyu Das alie tumbuliwa alikuwa mpambe wa Ccm mitandaoni yeye na Juliana. Shonza. Hakuna vetting ni kugawana madaraka tuu kisa Ccm ilimuamini. Hongera kwa kutumbuliwa.. Sasa atapewa job gani zaidi ya kurudi Lumumba akabidhiwe tena bk 7??
Sio habari ya ccm kuamini hii ni mbinu aliyoingia nayo jiwe yakununua wapinzani akiamini ataumaliza kachemka
 
Nitamtumia ticket na invitation letter aje hapa Detroit tule maisha. Bongo huko vumbi ukizingatia anapelekwa katavi huko.

Na kweli, tena akifika huko mtafutie kazi ya kumsifia Trump, aanze kumuita ni Yesu wa US.
 
MWANAUME RIJALI LAZIMA AWE MALAYA SOMENI VYEMANNYAKATI

SHIDA MLAYA UNAUFANYIA WAPI HILO N TATIZO NJOONI KULE JUKWAAAA TUWAPE SOMO VIJNAA IKISIMAMA UWEZI GONGA W ANDAN PEKEYAKE NA LAZIMA ULIENAE UGONGEWE PRINCIPLE OF ARCHM...
 
Mbona hauipongezi Wizara ya Maji kupitia DAWASA kufanikiwa kutkeleza mradi mkubwa wa maji na kutatua kero ya ukosefu wa maji Wilayani Kisarawe iliyodumu kwa muda mrefu tangu kuanzishwa kwa wilaya hiyo kwa zaidi ya miaka 100 iliyopita.
Anzisha uzi wako jombaaaaa
 
Tena hiyo nafasi ulio itaja ni kubwa sana, amepangiwa kuwa katibu kata
Sasa hivi atataka tu atake asitake si anapelekwa katavi huko kuwa mwalimu wa secondary. Hivyo atakubali tu. Ng'ombe hazeeki maini.
 
WATU MUHIMU UPINZANI MNASHINDIA MITANDAONI WAKATI WENZENU WAKO MAJIMBONI WAKIPIGA KAZI.

AFU OKTOBA MKISHASHINDWA MTAFUNGUA MAJIMBO MAPYA YA SHILAWADU.

Ww lazima utakuwa ni mzee, hivyo unadhani mitandaoni ni mkoa fulani ambao lazima uende, ndio uweze kuchat.
 
Ndo yule alikuwa na Juliana Shonza kipindi kile Chadema.

Ila Jocate kafanya vibaya kumchongea mwenzake. Sasa kuchukua wake za watu kunahusiana nini na kazi yake. Ila serikalini huwa kuna watu wanafki. Mnafanya kazi fresh, halafu ukimpa mgongo anakusema vibaya.

JOCATE ACHA USINITCH.
Ni mambo ya usaliti tu yanajirudia, ukiuwa kwa upanga utakufa kwa upanga
 
Back
Top Bottom