DAS Kisarawe, Mtela Mwampamba atumbuliwa kwa kutongoza wake za watu

DAS Kisarawe, Mtela Mwampamba atumbuliwa kwa kutongoza wake za watu

Mambo ni moto

View attachment 1490942
Mtela (katikati) akiteta jambo na Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe

RAIS MAGUFULI AMTENGUA KATIBU TAWALA WILAYA YA KISARAWE

Rais wa John Pombe Magufuli, amemtengua Katibu Tawala wa Kisarawe, Mtela Mwampamba na kumteua Mwanana Msumi, aliyekuwa Afisa Tawala wa Wilaya kuchukua nafasi hiyo.

Rais Magufuli amesema kuwa Katibu Tawala huyo amekuwa akikiuka kimaadili ya viongozi wa umma, hata kuchukua wake za watu.

Ameyasema hayo alipokuwa katika uzinduzi wa mradi wa maji Kibamba-Kisarawe uliogharimu Tsh Bilioni 10.6.

Pia katika uzinduzi huo Rais Magufuli amemsifia Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Joketi Mwegelo kwa kutokomeza ziro.

Soma pia: Mtela Mwampamba aondolewa Ubungo na badala yake awa DAS Kisarawe
Wajinga wengi wanamuiga Makonda hawajui kama ana kinga ya ziada, hongera kwa kufukuzwa.
 
Magufuli aache wivuu Janet mkewe si yupo?
Yaani Mkuu anasema alipata hadi muda wa kumuonya { kumpiga dogo mkwara] aache Mali za watu .......kama ana muda wa kufuatilia mpaka personal affiliations za maofisa wadogo kama DAS ambao wana mabosi wanao report kwao kama .....DC , RAS, RC , Maofisa Mkoani na Utumishi Wizarani Dodoma , Wakurugenzi Wizarani, Katibu Mkuu , Waziri ......yaaani wote hao hawakutosha kumuonya mtumishi kwa hiererchy hadi yeye wa juu kabisa ahusike , basi hawafanyi kazi zao ...hawatoshi ....huyu aliyetongozewa mke ana nguvu gani hadi imebidi bosi mkubwa kabisa ahusike kuonya na kumuondoa na taratibu za nidhamu za utumishi zipo....Je kuna watu wangapi ndani ya utumishi serikalini waandamizi na hata wasio waandamizi wanatembea na wake au waume za watu ....wamechukuliwa hatua gani ....
 
Wajinga wengi wanamuiga Makonda hawajui kama ana kinga ya ziada, hongera kwa kufukuzwa.
Gambo kaiga Makonda Style yamemkuta ......kakutwa na minoti kibao ..walimuweka mahali salama kidogo...watakua wamemuachia kukwepa fedheha ya kisiasa kuelekea uchaguzi mkuu ....mipesa aliyokuwa analazimisha kupewa na matajiri wakiwamo wachimbaji wa mawe longido na mererani ...
 
Mambo ni moto

View attachment 1490942
Mtela (katikati) akiteta jambo na Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe

RAIS MAGUFULI AMTENGUA KATIBU TAWALA WILAYA YA KISARAWE

Rais wa John Pombe Magufuli, amemtengua Katibu Tawala wa Kisarawe, Mtela Mwampamba na kumteua Mwanana Msumi, aliyekuwa Afisa Tawala wa Wilaya kuchukua nafasi hiyo.

Rais Magufuli amesema kuwa Katibu Tawala huyo amekuwa akikiuka kimaadili ya viongozi wa umma, hata kuchukua wake za watu.

Ameyasema hayo alipokuwa katika uzinduzi wa mradi wa maji Kibamba-Kisarawe uliogharimu Tsh Bilioni 10.6.

Pia katika uzinduzi huo Rais Magufuli amemsifia Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Joketi Mwegelo kwa kutokomeza ziro.

Soma pia: Mtela Mwampamba aondolewa Ubungo na badala yake awa DAS Kisarawe
Si alisema tuzaane atasomesha! Huyo anasaidia kuzalisha paliposhindikana ili kuongeza idadi ya wanafunzi.
 
Ndugu huyu boss ndivyo alivyo na kwa kuwa hakuna wa kumpangia,chochote anachotaka atakifanya tu kwangu hilo ni dogo tu ktk mengi alioyafanya.
Ila Abul Aaliyah tuende mbele turudi nyuma. Huu utawala una matatizo sana. Ni aibu kubwa sana kwa Rais wa nchi kusimama hadharani na kumsimanga DAS eti anatembea na wake za watu. Kwani alibaka? Kwani kuna official case kuwa alibaka? Sasa huo ushahidi kaupata wapi? Nakwanini asifanye kiofisi akamtimua tu taratibu? Kwanini Mkuchika na Jafo wasimalize hilo suala mpaka anakuja kutamka hadharani hayo mambo? Anajua madhara yake kwa familia ya aliyemtuhumu? Ndugu zake je? Mke na watoto je? Haya mambo haya.
 
[SUP]walizidisha usista du na ubraza kazini. Mtela c ndio alikuwa big braza wakati ule? Na joke si mwanamitindo? Wafungue kampuni ya fasheni serekalini kuna namna yake tofauti.walikuwa wanarlekea kuharibu kazi....kuna pic moja mtela namkuu wako na maza mmoja....wao hawamuamini wanaongea kwa signio za macho[/SUP]
 
Gambo kaiga Makonda Style yamemkuta ......kakutwa na minoti kibao ..walimuweka mahali salama kidogo...watakua wamemuachia kukwepa fedheha ya kisiasa kuelekea uchaguzi mkuu ....mipesa aliyokuwa analazimisha kupewa na matajiri wakiwamo wachimbaji wa mawe longido na mererani ...
Walio salama ni Makonda na Nyati wengine waache kuiga wataumia
 
Yaani Mkuu anasema alipata hadi muda wa kumuonya { kumpiga dogo mkwara] aache Mali za watu .......kama ana muda wa kufuatilia mpaka personal affiliations za maofisa wadogo kama DAS ambao wana mabosi wanao report kwao kama .....DC , RAS, RC , Maofisa Mkoani na Utumishi Wizarani Dodoma , Wakurugenzi Wizarani, Katibu Mkuu , Waziri ......yaaani wote hao hawakutosha kumuonya mtumishi kwa hiererchy hadi yeye wa juu kabisa ahusike , basi hawafanyi kazi zao ...hawatoshi ....huyu aliyetongozewa mke ana nguvu gani hadi imebidi bosi mkubwa kabisa ahusike kuonya na kumuondoa na taratibu za nidhamu za utumishi zipo....Je kuna watu wangapi ndani ya utumishi serikalini waandamizi na hata wasio waandamizi wanatembea na wake au waume za watu ....wamechukuliwa hatua gani ....
Kuna kidosho hapo hajaolewa Mkuu, na wewe tumia akili kidogo basi
 
Muheshimiwa kamuonea kijana ... ajiulize yeye hiyo dhambi hajawahi fanya ... kama ni adhabu si wangeanzia kwenye maofisi wake na Waume za watu wanachukuliwa
Alafu hiyo ni Issue mdogo ya Kiutawala ambayo ingeweza kushughulikiwa kwa utaratibu na kuhifadhi heshima Kadiri ya sheria za utumishi wa umma Kwani hajatembeaa na watoto wa shule bali ni watu wazima wawili wamekubaliana ni masuala Binafsi
Na adhabu zake ni Binafsi na siri ili kulinda heshima
Kwenye mtu kuingia kwenye utumishi toka kijana hadi unakua Rais mabosi zake wangekua wanatoa adhabu kwake na kuzitangaza pengine asingefika mbali ....
Watu wako huko nyuma washabaka hadi watoto wao wakajiuwa kwa kunywa sumu ... wako watu washauwa bila kukusudia ...
iweje leo kijana kwa kosa la ujana tu anadhalilishwa ?
Na wewe utakuwa na tabia kama yake, hawa wateule wakiteuliwa wanakuwa na dharau sn, amevuna alichopanda. Hongera Rais
 
wakati wa Mobutu, kuna ndugu yake Mobutu alimpenda mume wa mtu, huyo jamaa alikua ni mtangazaji wa habari, basi huyo ndugu yake Mobutu akamchukua jamaa kwa nguvu licha ya kuwa jamaa kaoa, mke wa jamaa alistukia tu mumewe kaenda kazini hakurudi na alipomtafuta alipewa onyo akae mbali nae, jamaa akateuliwa kuwa balozi wa Zaire huko Africa ya kusini nk mpaka akafa baada ya miaka hakuwahi tena kuonana na mkewe akaenda kumuoa ndugu yake Mobutu
mkewe hakuwahi hata kuona kaburi lake
Heee makubwa!
Dunia hii jmn

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alishasema hadharani kwamba anafuatilia (kudukua) mawasiliano ya mawaziri,wakuu wa mikoa na wilaya,sasa inawezekana alikuwa anacheki tu inbox za jamaa na kucheka iiiiiiiiiii,inaweza ikawa hata hakumpa onyo na hamna aliyelalamika ila anafuatilia mawasiliano ya mdochi wake
 
Sidhani kama Jocate kamchongea, kuna watu wa usalama chungu mzima wanaofuatilia mienendo ya watumishi wa umma (hususani waandamizi Wilayani)

JPM ametaja kuwa jamaa anachukua wake za watu

Pia ametaja uwezo mdogo wa DAS (amesema apangiwe kazi nyingine ya chini inayoendana na uwezo wake)
Kumbe atapangiwa kazi nyingine,sio mbaya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mambo ni moto

View attachment 1490942
Mtela (katikati) akiteta jambo na Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe

RAIS MAGUFULI AMTENGUA KATIBU TAWALA WILAYA YA KISARAWE

Rais wa John Pombe Magufuli, amemtengua Katibu Tawala wa Kisarawe, Mtela Mwampamba na kumteua Mwanana Msumi, aliyekuwa Afisa Tawala wa Wilaya kuchukua nafasi hiyo.

Rais Magufuli amesema kuwa Katibu Tawala huyo amekuwa akikiuka kimaadili ya viongozi wa umma, hata kuchukua wake za watu.

Ameyasema hayo alipokuwa katika uzinduzi wa mradi wa maji Kibamba-Kisarawe uliogharimu Tsh Bilioni 10.6.

Pia katika uzinduzi huo Rais Magufuli amemsifia Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Joketi Mwegelo kwa kutokomeza ziro.

Soma pia: Mtela Mwampamba aondolewa Ubungo na badala yake awa DAS Kisarawe
hata ningekuwa mimi nisingeweza kuvumilia namna hii laaah bora NITUMBULIWAGE ijulikane moja - Mwampamba umekufa kiume aisee!!

Jicho limeongea kila kitu....
 
Back
Top Bottom