DAS Kisarawe, Mtela Mwampamba atumbuliwa kwa kutongoza wake za watu

Wakuu, huyu dogo yupo wapi? Maana lah mzigo hujala afu unabeba lawama zote ..na kibarua kwishney...aisee mzee baba alikuwa na wivu wa balaa
 
Wakuu, huyu dogo yupo wapi? Maana lah mzigo hujala afu unabeba lawama zote ..na kibarua kwishney...aisee mzee baba alikuwa na wivu wa balaa
Mkuu, ulijuaje kama hakula?
Hata kama kweli hakula, inaezekana mzee baba aliona dalili akawahi
 
Wakuu, huyu dogo yupo wapi? Maana lah mzigo hujala afu unabeba lawama zote ..na kibarua kwishney...aisee mzee baba alikuwa na wivu wa balaa
Kuloweka Ndiyo Changamoto Kubwa Sasa Hivi
 
Ufafanuzi mzuri sana huu
 
ila mwegoyo ni kachombo aiseee, hela ninazo ila umri umeenda ...miaka 48 naona hawezi kunikubalia !! nakapenda sana haka katotooo
 
Huyo atakuwa aliingia anga za mtu. Kwani hajui kuna teuzi zinafanyika kulinda maslahi binafsi? Mtela Mwampamba akome kabisa maana kila akiona kinachong'aa anadhani ni halali yake. Aliingia vibaya. DC piga kazi sana kwa utulivu.
Ukute mzee baba kwa umri wake ule na kile ki -betri alikuwa anapapasa papasa tu !! vijana wanataka mtwangoooo ha ha ha ha
 
Serikalini hakufai kabisa, watu wanachomeana sana kwa wakubwa. Yalishanikuta
 
Magu hakusema ukweli! Jokate (ngoma yake) alimlalamikia kuwa Mtela anamsumbua baada ya kumwonjesha mara moja! Nawe Jokate tutakushtaki kwa kumsababishia rais kifo wakati akibugia blue pills wakati anajua ana pace maker! Nawe jiwe ulijipomza sana huku- mke wa kariuki, huku jokate, kule Ummy, huko katibu mkuu wa Ummy! kha jiwe ulijiponza
 
Mama amuone na Mtela Mwampamba,ampeleke hata Mtwara,lile kosa la kutembea na wake za watu,ni dogo sana.Jamaa arudishwe kwenye mfumo kama akina Mnyeti tu.
 
Mama amuone na Mtela Mwampamba,ampeleke hata Mtwara,lile kosa la kutembea na wake za watu,ni dogo sana.Jamaa arudishwe kwenye mfumo kama akina Mnyeti tu.
Mbona tayari kitambo !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…