DAS Kisarawe, Mtela Mwampamba atumbuliwa kwa kutongoza wake za watu

DAS Kisarawe, Mtela Mwampamba atumbuliwa kwa kutongoza wake za watu

Wakuu, huyu dogo yupo wapi? Maana lah mzigo hujala afu unabeba lawama zote ..na kibarua kwishney...aisee mzee baba alikuwa na wivu wa balaa
 
Wakuu, huyu dogo yupo wapi? Maana lah mzigo hujala afu unabeba lawama zote ..na kibarua kwishney...aisee mzee baba alikuwa na wivu wa balaa
Mkuu, ulijuaje kama hakula?
Hata kama kweli hakula, inaezekana mzee baba aliona dalili akawahi
 
Wakuu, huyu dogo yupo wapi? Maana lah mzigo hujala afu unabeba lawama zote ..na kibarua kwishney...aisee mzee baba alikuwa na wivu wa balaa
Kuloweka Ndiyo Changamoto Kubwa Sasa Hivi
 
Muheshimiwa kamuonea kijana ... ajiulize yeye hiyo dhambi hajawahi fanya ... kama ni adhabu si wangeanzia kwenye maofisi wake na Waume za watu wanachukuliwa
Alafu hiyo ni Issue mdogo ya Kiutawala ambayo ingeweza kushughulikiwa kwa utaratibu na kuhifadhi heshima Kadiri ya sheria za utumishi wa umma Kwani hajatembeaa na watoto wa shule bali ni watu wazima wawili wamekubaliana ni masuala Binafsi
Na adhabu zake ni Binafsi na siri ili kulinda heshima
Kwenye mtu kuingia kwenye utumishi toka kijana hadi unakua Rais mabosi zake wangekua wanatoa adhabu kwake na kuzitangaza pengine asingefika mbali ....
Watu wako huko nyuma washabaka hadi watoto wao wakajiuwa kwa kunywa sumu ... wako watu washauwa bila kukusudia ...
iweje leo kijana kwa kosa la ujana tu anadhalilishwa ?
Ufafanuzi mzuri sana huu
 
ila mwegoyo ni kachombo aiseee, hela ninazo ila umri umeenda ...miaka 48 naona hawezi kunikubalia !! nakapenda sana haka katotooo
 
Huyo atakuwa aliingia anga za mtu. Kwani hajui kuna teuzi zinafanyika kulinda maslahi binafsi? Mtela Mwampamba akome kabisa maana kila akiona kinachong'aa anadhani ni halali yake. Aliingia vibaya. DC piga kazi sana kwa utulivu.
Ukute mzee baba kwa umri wake ule na kile ki -betri alikuwa anapapasa papasa tu !! vijana wanataka mtwangoooo ha ha ha ha
 
..... Nakulaaaa kwa machooooooo.....hebu onaaaaaaaaaa......

1652420305947.png
 
Ndo yule alikuwa na Juliana Shonza kipindi kile Chadema.

Ila Jocate kafanya vibaya kumchongea mwenzake. Sasa kuchukua wake za watu kunahusiana nini na kazi yake. Ila serikalini huwa kuna watu wanafki. Mnafanya kazi fresh, halafu ukimpa mgongo anakusema vibaya.

JOCATE ACHA USINITCH.
Serikalini hakufai kabisa, watu wanachomeana sana kwa wakubwa. Yalishanikuta
 
Mambo ni moto

View attachment 1490942
Mtela (katikati) akiteta jambo na Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe

RAIS MAGUFULI AMTENGUA KATIBU TAWALA WILAYA YA KISARAWE

Rais wa John Pombe Magufuli, amemtengua Katibu Tawala wa Kisarawe, Mtela Mwampamba na kumteua Mwanana Msumi, aliyekuwa Afisa Tawala wa Wilaya kuchukua nafasi hiyo.

Rais Magufuli amesema kuwa Katibu Tawala huyo amekuwa akikiuka kimaadili ya viongozi wa umma, hata kuchukua wake za watu.

Ameyasema hayo alipokuwa katika uzinduzi wa mradi wa maji Kibamba-Kisarawe uliogharimu Tsh Bilioni 10.6.

Pia katika uzinduzi huo Rais Magufuli amemsifia Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Joketi Mwegelo kwa kutokomeza ziro.

Soma pia: Mtela Mwampamba aondolewa Ubungo na badala yake awa DAS Kisarawe
Magu hakusema ukweli! Jokate (ngoma yake) alimlalamikia kuwa Mtela anamsumbua baada ya kumwonjesha mara moja! Nawe Jokate tutakushtaki kwa kumsababishia rais kifo wakati akibugia blue pills wakati anajua ana pace maker! Nawe jiwe ulijipomza sana huku- mke wa kariuki, huku jokate, kule Ummy, huko katibu mkuu wa Ummy! kha jiwe ulijiponza
 
Mama amuone na Mtela Mwampamba,ampeleke hata Mtwara,lile kosa la kutembea na wake za watu,ni dogo sana.Jamaa arudishwe kwenye mfumo kama akina Mnyeti tu.
 
Mama amuone na Mtela Mwampamba,ampeleke hata Mtwara,lile kosa la kutembea na wake za watu,ni dogo sana.Jamaa arudishwe kwenye mfumo kama akina Mnyeti tu.
Mbona tayari kitambo !
 
Back
Top Bottom