Ushauri wa marehemu Dr omary through kitwana kondo
Hutaki hulazimishwiKitwana Kondo akiwa Mbunge wa Kigamboni anamshauri Makamu wa Rais Hayati Dr. OMAR amwambie Rais Mteue Ramadhani Dau awe DG wa NSSF tena Rais mwenyewe Mkapa!!! HAHAHAH. Baada ya kuwakosoa kuwa Dau hakuteuliwa na Kikwete hapahapa mnabadilika mnakuja na ngonjera mpya japo umesahau kusema Kikwete alimshauri Kitwana kondo amwambie Dr.Omar amwambie Mkapa amteue Dau. Upo radhi kutuaminisha kuwa Mkapa alikuwa Rais karatasi na kusingizia hata mtu aliekufa ili kuonesha tu kuwa alishinikizwa kumteua Dr.Dau!
kuna watu wanalipwa kwa kutetea maovu hapo wataingiza sababu nyingine kabisa sio dau ni watu wengi wakishambuliwa kwa tuhuma za uovu unakuta watu bila kujadili hayo maovu anayotuhumiwa wanakaa kumteteaSijaelewa kwanini kila uzi, unaoelezea maovu ya Dr. Dau unapata watetezi wengi
..nachotaka kukujuza ni kwamba Cheti cha ISO hakitolewi kwa magumashi kama unavyodhani
Na siyo Nssf pekee ambao wana cheti cha ISO ..ni makampuni meengi private na goverment ambayo wamefanikiwa kupata hiko cheti baada ya hayo makampuni kufanyiwa ukaguz
Mfano PSPF..KCMC..Bahkhera Groups na mengine meengi
Cheti hiko ni cha kimataifa huwez kukipata kwa magumashi
Ficha upumbavu wako
Hutaki hulazimishwi
Ngoja watoke kuswahili swala ijumaa,utajuta kuzaliwa.Uzi huu umeuleta siku mbaya sana ! subiri moto wake , sema mimi nakuombea ulinzi wa Mungu tu .
Imani yake na watu waliofaidi uwepo wake pale si haba
Hivi kuna hoja yoyote hapo???Pamoja na kwamba siungi mkono hoja iliyo mbele yetu. Nakuomba uwe mstahamilivu kidogo maana hoja hujibiwa kwa hoja si matusi.
sitaki kutetewa na wanafiki .Kutetea dini ya Mwenyezimungu ni pamoja na kutetea ukweli.kwanini hupendi Dau akitetewa jee mwenye kutetewa anatakiwa awe vipi? Sio Dau tu hata Nehemea Mchechu huwa namtetea sana to dhidi ya Uongo na Fitna na hata wewe ukisingiziwa nitakutetea.
Siku ukweli wote kuhusu ufisadu Wa dau utawekwa wazi nchi itatikisika. Mfano uhusiano Wa dr dau na kampuni ya derm yenye majengo manne marefu pale makumbusho, ni balaa tupu. Huyu jamaa anatakiwa asiwe uraiani, wanafungwa maisha waliosafirisha murungi 20kg!The big show unapanic nn bro au kisa mtu wenu kaguswa acheni kumtisha mleta uzi, ni bora ukafa kwa kusema ukweli kuliko kufa na ukimwi,siku ikijulikana kuwa ni kweli hizi tuhuma tunaomba uje umwage hiyo mitusi yako tena humu kama ulivyofanya leo humu .
kwa taarifa yako mie ni mwenzako si mkristo. Bali hoja yangu ni watu kuwa wastahimilivu kidogo hata Kama umekereka. Fikiria wewe ukiitwa kafiri utajisikaje? Mjibu kiuataarabu si matusi. Kawaida hapa JF kumekuwepo Na wimbi la wakurupukaji wa kukanusha ila inauma pale ukweli unapojidhihirisha. Kumbuka hizi ni tetesi na zinatakiwa kuthibitishwa. Pole sanaHivi kuna hoja yoyote hapo???
Kuna hoja isiyo na ushahidi hata mmoja??
Katika tuhuma zote mleta mada alizo ziweka kuna ushahidi hata wa kuunga unga???
Mbona makafiri mna tapatapa sana???
Attached Files:
KumekuchaEwe kafiri Ficha upumbavu wako, unaweza kuthibitisha hayo madai yako au unahorojoka usicho kujua???
Wakati tukiwa bado tunasubiri ripoti za wizi ulifanya na kiongozi huko Nssf,tayari kuna taarifa kuwa kampuni nyingine zinazofanya kazi na NSSF zina uhusiano na Dr. Dau.
Hizi ni pamoja na kampuni ya ulinzi inayolinda majengo na ofisi za NSSF,pia kuna taarifa kuwa kuna kampuni ya mtoto wake aliyeko Uingereza imepewa kazi ya kuiwezesha NSSF kupata cheti cha ubora ie ISO.
Kampuni hiyo imemtuma mwakilishi wake ambaye analala hotelini ya bei ghali na kulipiwa na NSSF kwa zaidi ya miaka miwili sasa. Mabilion ya pesa yameshatumika kuilipa hiyo kampuni ya mwanae Dau.
Pia inasemekana NSSF waliingia mkataba na wawakilishi feki wa Real Madrid kwa ajili ya kujenga chuo cha mambo ya mchezo na gharama kubwa imeshatumika huku kukiwa na sintofahamu baada ya Real Madrid kudai hawahusiki ktk hilo suala na sasa NSSF wameshtakiwa kwa kutumia jina hilo bila idhini yao.
Nitakuja nawapakulia jinsi ntavyozidi kuzinyaka.
Mi huwa sielewi kwa nini iwe NSSF na si Chombo kingine suala la udini halijaanza leo ndani ya hicho Chombo cha umma . Hata mchakato wa ajira ndizo zilikuwa nyimbo . Hatuangalii Kama mhusika ni wa dini gani ila kwa Enzi tulipo nazo watu wa hivi ni hata nyumba kumi hawafaiHuyu ni moja ya kambi pinzani ya Dr Dau, yaani hili sakata la NSSF ni burdani tupu.
Hapa bado watetezi wa Dr Dau hawajaja kwa wingi, nadhani kwa sababu ya siku yenyewe hii.
Amin mkuu wahenga walisema subira yavuta kheri?Swadaktaa tusiwe wepesi wa kuhukumu
Ushahidi huo una nguvu vijiweni kwenye System ilishafuatiliwa ikagundulika kwenye
1) Management level (Directors hawajafikia 50%) na hata humu Management ya NSSF iliwekwa.
2) Kwenye kazi za kila siku (Operation level) Waislam NSSF ni 41%.
3) Kwenye Zabuni walizopewa Waislam hazifiki 35%
4) Kwenye Corporate Social Responsibility (CSR) na Miradi mingine ya kimaendeleo iliangaliwa pia kama kuna upendeleo kwa maana ya kuangalia maeneo ya Waislam kupewa kipaumbele pia hakuna hilo.
5) Hoja ya kusema hupati Field bila ya kuvaa Hijabu huhitaji kumuuliza Rafiki yako nenda ofisi yoyote ya NSSF halafu omba kuwaona wanafunzi wa Field tazama kama wasichana/Wanawake wote wamevaa hijabu? Tuwe tunajiongeza sometime ni sawa na mimi niende CRDB Azikiwe nione hakuna Binti kwenye Hijabu niende kusema Kimei Mdini. Kuna Waislam wengi wameomba kazi NSSF na wamekosa jee nao walalamikie "Udini" wa Dr. Dau?.