David Kafulila: 35% tu ya kipato Cha mwanaume kinafika nyumbani tofauti na 90% ya Mwanamke

David Kafulila: 35% tu ya kipato Cha mwanaume kinafika nyumbani tofauti na 90% ya Mwanamke

View attachment 3263356

Katika salama zake za siku ya Wanawake Dunia Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila kwanza amewapongeza wanawake wote kwa kuzaliwa wanawake.

Pili, David Kafulila amerejelea Utafiti uliofanywa na UNAC ya nchi Marekani uliokuwa na majibu kwamba Wanaume sio watu wanaozijali sana familia ukilinganisha na wanawake Kwa ni 35% tu ya kipato Cha mwanaume ndio kinafika nyumbani wakati ni 90% ya kipato cha mwanamke ndio kinafika nyumbani.

Tatu, Mkurugenzi huyo amezishauri familia ziachane na imani potofu badala yake zipeleke watoto wa kike shuleni kwani wakisoma wanafaida zaidi kwenye familia zao pengine kuliko hata wanaume.



===
Kafulila anachonivutia ni kueleza mambo yake kwa takwimu
 
View attachment 3263356

Katika salama zake za siku ya Wanawake Dunia Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila kwanza amewapongeza wanawake wote kwa kuzaliwa wanawake.

Pili, David Kafulila amerejelea Utafiti uliofanywa na UNAC ya nchi Marekani uliokuwa na majibu kwamba Wanaume sio watu wanaozijali sana familia ukilinganisha na wanawake Kwa ni 35% tu ya kipato Cha mwanaume ndio kinafika nyumbani wakati ni 90% ya kipato cha mwanamke ndio kinafika nyumbani.

Tatu, Mkurugenzi huyo amezishauri familia ziachane na imani potofu badala yake zipeleke watoto wa kike shuleni kwani wakisoma wanafaida zaidi kwenye familia zao pengine kuliko hata wanaume.



===
Kafulila anachonivutia ni kueleza mambo yake kwa takwimu
 
Haya mambo ya kujipendekeza kisa Mkubwa ni mwanamke yanatia kinyaaa.

Hawa hawa wanawake hela zao ambazo zinaliwa na Manabii na Waganga?
Hawa hawa wanawake hela zao ni kwajili ya mama zao na familia zao?

Mtu una ishi na mwanamke ambae ana kazi ila atakuomba hadi hela ya saluni.

Ada, kodi, vyakula , usafiri zote zina muhusu baba.

Ni wanawake wachache sana wanatumikia familia kwenye hela yake .
Ukweli lazima usemwe acha usemwe ukweli
 
Haya mambo ya kujipendekeza kisa Mkubwa ni mwanamke yanatia kinyaaa.

Hawa hawa wanawake hela zao ambazo zinaliwa na Manabii na Waganga?
Hawa hawa wanawake hela zao ni kwajili ya mama zao na familia zao?

Mtu una ishi na mwanamke ambae ana kazi ila atakuomba hadi hela ya saluni.

Ada, kodi, vyakula , usafiri zote zina muhusu baba.

Ni wanawake wachache sana wanatumikia familia kwenye hela yake .
Ukweli lazima usemwe acha usemwe ukwel
 
Inawezekana ni huko USA ila kwa hapa, 99% ya kipato cha mwanaume mwenye familia inaishia kwenye familia!

Wachache wanaotumia kilevi, pengine ndo hiyo 1% anaitumia kwake binafsi kwenye kilevi na vitobo kama ni mtumiaji wa mara kwa mara.

Aache uchawa wa kike...inasikitisha kuona wanaume wamegeuka kuwa wanawake ili kutetea ugali wao.
Yote ni kweli hata hivyo
 
View attachment 3263356

Katika salama zake za siku ya Wanawake Dunia Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila kwanza amewapongeza wanawake wote kwa kuzaliwa wanawake.

Pili, David Kafulila amerejelea Utafiti uliofanywa na UNAC ya nchi Marekani uliokuwa na majibu kwamba Wanaume sio watu wanaozijali sana familia ukilinganisha na wanawake Kwa ni 35% tu ya kipato Cha mwanaume ndio kinafika nyumbani wakati ni 90% ya kipato cha mwanamke ndio kinafika nyumbani.

Tatu, Mkurugenzi huyo amezishauri familia ziachane na imani potofu badala yake zipeleke watoto wa kike shuleni kwani wakisoma wanafaida zaidi kwenye familia zao pengine kuliko hata wanaume.



===
Uenda kweli ni TUMBILI
 
65 % kinaenda site kwenye ujenzi na Ada za watoto yupo sahihi kabisa.
 
Hebu atuache kidogo upeleke zote siku ukipigwa na kitu kizito unaponea wapi au ukizeeka....maza fanta. Zinazoenda zinaenda na zingine nawekeza likitokea la kutokea Wakili atawapa taarifa zilipo.
 
View attachment 3263356

Katika salama zake za siku ya Wanawake Dunia Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila kwanza amewapongeza wanawake wote kwa kuzaliwa wanawake.

Pili, David Kafulila amerejelea Utafiti uliofanywa na UNAC ya nchi Marekani uliokuwa na majibu kwamba Wanaume sio watu wanaozijali sana familia ukilinganisha na wanawake Kwa ni 35% tu ya kipato Cha mwanaume ndio kinafika nyumbani wakati ni 90% ya kipato cha mwanamke ndio kinafika nyumbani.

Tatu, Mkurugenzi huyo amezishauri familia ziachane na imani potofu badala yake zipeleke watoto wa kike shuleni kwani wakisoma wanafaida zaidi kwenye familia zao pengine kuliko hata wanaume.



===
Hawakukosea kumbatiza lile jina. Na yeye abadili jinsia kama anaona wanawake wanafaidi
 
View attachment 3263356

Katika salama zake za siku ya Wanawake Dunia Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila kwanza amewapongeza wanawake wote kwa kuzaliwa wanawake.

Pili, David Kafulila amerejelea Utafiti uliofanywa na UNAC ya nchi Marekani uliokuwa na majibu kwamba Wanaume sio watu wanaozijali sana familia ukilinganisha na wanawake Kwa ni 35% tu ya kipato Cha mwanaume ndio kinafika nyumbani wakati ni 90% ya kipato cha mwanamke ndio kinafika nyumbani.

Tatu, Mkurugenzi huyo amezishauri familia ziachane na imani potofu badala yake zipeleke watoto wa kike shuleni kwani wakisoma wanafaida zaidi kwenye familia zao pengine kuliko hata wanaume.



===
Hiyo ndio piipipii?
 
Back
Top Bottom