David Kafulila: Ajabu ni ipi Tanzania yenye ziada ya umeme kununua umeme?

David Kafulila: Ajabu ni ipi Tanzania yenye ziada ya umeme kununua umeme?

Kafulila yupo sahihi.. ni ujinga kusafirisha umeme kutoka rufiji mpaka kagera. Maelfu ya kilometa.

Huku ukiwa kagera unaweza kununua umeme uganda ukafika kagera kwa urahisi maana pafupi sana
Kwani unabebwa kichwani, nyie kashangilieni Simba na Yanga nahisi hayo ndo mnajua Sana wa TZ
 
Tayari wale machawa anaolipa wamsifie wameshakuja kujibu , bado zile ID zake mbili sasa hazijaja kujibu.
 
Bado kafulila hujaeleweka
TANESCO tumieni wataalam
Wenu walieleze hili suala,wananchi waelewe
Wanasiasa hawana utaalam wanalipoka tu
Watanzania washazoea kuona upigaji ukitokea ndomana hakuna
Kuaminiana

Ova
 
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila hivi ndivyo alivyoandika baada ya baadhi ya Watanzania kushangaa kauli ya Rais Samia Suluhu kuhusu Tanzània kununua Umeme nje ya nchi, Ethiopia.

Mkurugenzi Kafulila anasema pamoja na kwamba nchi kubwa na tajiri duniani kama Marekani ( USA ), Ujerumani, Norway, Sweden au Australia wanaumeme mwingi kiasi Cha kuuza nje ya nchi zao bado na wao kwa Upande mwingine wa nchi zao wananunua umeme kutoka nje ya nchi zao.

Soma Pia: Rais Samia: Serikali itanunua Umeme nje maalum kwa Mikoa ya Kaskazini

Kafulila anasema kuwa baadhi ya maeneo ya nchi yetu hasa maeneo ya mipakani gharama ya kuzalisha, kusafirisha na kufikisha umeme maeneo hayo ni kubwa pengine kuliko gharama ya kuuvuta na kuununua umeme toka nchi za jirani.

Kafulira ni jalala.
 
Kafulia and all those who cheer support this arrangement should tell Tanzanians and Answer this Question: what is Cheaper" : i.e Receiving Power via a 1,700 Kms transmission line from Ethiopia via Kenya or from a 600 Kms transmission Line within Tanzania from Nyerere Hydro Power station to the Northern Cites of Tanzania? We should take note that the longer the transmission line , the more voltage loss/waste along the line. Ethipoia hawalipwi kwa hela yetu ya madafu bali Forex, ambazo tunazo haba !
Please give us an answer. The Transmission line infrastructure are all already in place to get power to the so called ' Northern Parts of Tanzania" ,It doesn't sound much convincing .
 
Kafulila yupo sahihi.. ni ujinga kusafirisha umeme kutoka rufiji mpaka kagera. Maelfu ya kilometa.

Huku ukiwa kagera unaweza kununua umeme uganda ukafika kagera kwa urahisi maana pafupi sana
Lakini kaa ukijua kwamba umeme unaokuja Kagera hautoki Kalisizo wala Kyotera close to other side of the border ,bali unatoka Owen Falls around Jinja in Uganda, some 300 Km away wakati already Kagera imeunganishwa kwenye Grid ya Taifa na kuna Rusumo hydropower with 81 Mega Wats .
 
Kwamba Ethiopia ameweza kusambaza umeme ndani ya nchi yake, akavuka mpaka na kumletea mkenya, na sasa anauvusha kenya kuuleta Tanganyika. Huku Tanganyika imeshindwa kusambaza umeme ndani ya Tanganyika na imeona inunue umeme wa masafa marefu ambao wenyewe haupotei njiani maana una gps...

Lakini kaa ukijua kwamba umeme unaokuja Kagera hautoki Kalisizo wala Kyotera close to other side of the border ,bali unatoka Owen Falls around Jinja in Uganda, some 300 Km away wakati already Kagera imeunganishwa kwenye Grid ya Taifa na kuna Rusumo hydropower with 81 Mega Wats .

Rusumo hydropower sio yetu peke yetu.

Burundi, rwanda na Tanzania tunagawana 80 MW ambapo kila mmoja anapata kama 27 hivi
 
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila hivi ndivyo alivyoandika baada ya baadhi ya Watanzania kushangaa kauli ya Rais Samia Suluhu kuhusu Tanzània kununua Umeme nje ya nchi, Ethiopia.

Mkurugenzi Kafulila anasema pamoja na kwamba nchi kubwa na tajiri duniani kama Marekani ( USA ), Ujerumani, Norway, Sweden au Australia wanaumeme mwingi kiasi Cha kuuza nje ya nchi zao bado na wao kwa Upande mwingine wa nchi zao wananunua umeme kutoka nje ya nchi zao.

Soma Pia: Rais Samia: Serikali itanunua Umeme nje maalum kwa Mikoa ya Kaskazini

Kafulila anasema kuwa baadhi ya maeneo ya nchi yetu hasa maeneo ya mipakani gharama ya kuzalisha, kusafirisha na kufikisha umeme maeneo hayo ni kubwa pengine kuliko gharama ya kuuvuta na kuununua umeme toka nchi za jirani.

Tumbili ktk ubora wake
 
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila hivi ndivyo alivyoandika baada ya baadhi ya Watanzania kushangaa kauli ya Rais Samia Suluhu kuhusu Tanzània kununua Umeme nje ya nchi, Ethiopia.

Mkurugenzi Kafulila anasema pamoja na kwamba nchi kubwa na tajiri duniani kama Marekani ( USA ), Ujerumani, Norway, Sweden au Australia wanaumeme mwingi kiasi Cha kuuza nje ya nchi zao bado na wao kwa Upande mwingine wa nchi zao wananunua umeme kutoka nje ya nchi zao.

Soma Pia: Rais Samia: Serikali itanunua Umeme nje maalum kwa Mikoa ya Kaskazini

Kafulila anasema kuwa baadhi ya maeneo ya nchi yetu hasa maeneo ya mipakani gharama ya kuzalisha, kusafirisha na kufikisha umeme maeneo hayo ni kubwa pengine kuliko gharama ya kuuvuta na kuununua umeme toka nchi za jirani.



Ethiopia ziada Yao wanatuuzia sisi je sisi ziada yetu ya umeme tunauza wapi?
 
Kafulila yupo sahihi.. ni ujinga kusafirisha umeme kutoka rufiji mpaka kagera. Maelfu ya kilometa.

Huku ukiwa kagera unaweza kununua umeme uganda ukafika kagera kwa urahisi maana pafupi sana

Tatizo wanafanya maamuzi kama Tanzania ni inchi ya Familia
 
Kafulia and all those who cheer support this arrangement should tell Tanzanians and Answer this Question: what is Cheaper" : i.e Receiving Power via a 1,700 Kms transmission line from Ethiopia via Kenya or from a 600 Kms transmission Line within Tanzania from Nyerere Hydro Power station to the Northern Cites of Tanzania? We should take note that the longer the transmission line , the more voltage loss/waste along the line. Ethipoia hawalipwi kwa hela yetu ya madafu bali Forex, ambazo tunazo haba !
Please give us an answer. The Transmission line infrastructure are all already in place to get power to the so called ' Northern Parts of Tanzania" ,It doesn't sound much convincing .
Andika tu kwa Kiswahili mkuu
 
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila hivi ndivyo alivyoandika baada ya baadhi ya Watanzania kushangaa kauli ya Rais Samia Suluhu kuhusu Tanzània kununua Umeme nje ya nchi, Ethiopia.

Mkurugenzi Kafulila anasema pamoja na kwamba nchi kubwa na tajiri duniani kama Marekani ( USA ), Ujerumani, Norway, Sweden au Australia wanaumeme mwingi kiasi Cha kuuza nje ya nchi zao bado na wao kwa Upande mwingine wa nchi zao wananunua umeme kutoka nje ya nchi zao.

Soma Pia: Rais Samia: Serikali itanunua Umeme nje maalum kwa Mikoa ya Kaskazini

Kafulila anasema kuwa baadhi ya maeneo ya nchi yetu hasa maeneo ya mipakani gharama ya kuzalisha, kusafirisha na kufikisha umeme maeneo hayo ni kubwa pengine kuliko gharama ya kuuvuta na kuununua umeme toka nchi za jirani.

Huyu kenge tangu aanze kuvimbisha makalio, anaongea pumba tu, umeme unazalishwa kusini mwa TZ, tunaambiwa utasafirishwa uuzwe Kaskazini, Kenya, Ila kuupeleka mikoa ya Kaskazini, tunaambiwa ni gharama kubwa!
Hqpo ndio shida,
Ngoja ni wasaidie, kama, kinachofanyika hi hiki:
Unazalisha umeme Kusini, unautia kwenye gridi, unausafirisha, mpaka Arusha, kwa, vile Arusha ni mbali, na miundombinu ni duni,kunakuwa na upotevu wa umeme njiani maana umeme wote wa Kaskazini unstoka Kusini, ikitokea kuna chanzo,cha umeme karibu na Arusha(Kenya kwa mfano), umeme wake ukawekwa, kwenye grid yetu kupitia miundombinu yetu pale Arusha, kitakachotokea, hivi vyanzo viwili, vitasaidiana kubeba mzigo wa Arusha, kwahiyo, chanzo chetu cha Kusini, kitasukuma umeme kidogo, na hivyo kupunguza upotevu wa umeme. :hii ni sawa kabisa,
Lakini hizi story, kuwa tunapeleka umeme kwenye pool, busbar ya East Afrika, ili tuuze Kenya, lakini umeme huo huo, kuupeleka Arusha inakuwa shida, tunaambiwa itabidi tununue kule kule tunapouza! Hapa maelezo yanahitajika!
1) tunauza kupitia wapi, tunanunua kupitia wapi?
2) mpaka, lini?
3) tunauza, kiasi, gani?
Kama, tunanunua umeme wa, billion in 10,harafu tunauzza wa bilioni 50 sawa!
Ccm ni majizi yanatafuta justficstion ya, kupiga za, uchaguzi, huyu karibu mkuu wizarani, mramba, ni fisadi, jizi, alikuwa, CEO wa, Tanesco,pale aliiba Sana,
 
Serikali yetu ya sasa haiko tayari kuachana na dhana ya kuwa tegemezi. Mawazo ya JPM na mwelekeo wa kujenga nchi isiyotegemea sana misaada imejithibitisha hapa kuwa na kundi linaloona ni bora kuendelea kupokea misaada sio kwenye umeme tu, lakini pia kwenye bajeti zetu za nchi.
Swali ni :
Je pesa zinazokusanywa kama kodi zinafanya kazi gani kama tunategemea wahisani kutoka nje?
Je umeme wa ziada tunaozalisha tutautumia wapi wakati hatuna miundombinu ya usafirishaji ulio bora kiasi cha kulazimika kununua kwa jirani ambapo ni bei rahisi ?

View: https://x.com/dr_dash250/status/1899544053043073071?t=C-HOd-vz8f4WNDGrAybDYg&s=19
 
Back
Top Bottom