Uchaguzi 2020 David Kafulila amjibu Tundu Lissu

Uchaguzi 2020 David Kafulila amjibu Tundu Lissu

Wabunge wa CCM wapo wengi Bungeni na sasa wanekuja na style mpya ya kishetani na haramu ya kupita bila kupingwa watakuwa wengi zaidi lakini wameshindwa kutunga Sheria kali za kuzuia ushoga na uvaaji hovyo hovyo suruali chini ya makalio kata k mlegezo, wamebakia kugonga meza kusema ndiyooo ndiyoo kwa vile vitu visivyo na Tija kwa Taifa kama kuwaundia kinga viongozi wa CCM pindi wakistaafu.
 
Pumba tupu hivi ya maisha tuliyonayo hapa Tz hali ya duni ya uchumi inajionesha wazi haina hata haja ya hao wadau hadi waseme,yaani huyo kafulila anaingea as if anaishi rwanda hayupo Tanzania.

hivi hii hali ya uchumi wa watu na biashara ndogo hadi kubwa kuanguka tunaziona kwa macho yetu mnadanganya danganya ili iweje,ni muda wa kumwambia magufuli atatue changamoto za kiuchumi.

hata rate ya watu kufa imeongozeka kutokana na chumi mbovu za watu.
DK unataka teuzi kwa nguvu[emoji23][emoji23]
 
Hoja za kafulila ni zilezile za kisiasa miaka yote, lin bunge lilipitisha bajeti ya ununuzi wa ndege? Kafulila haeleweki anasimamia nini
 
Umewahi kuambiwa nani alimtoa roho Wangwe?

Aliyeshindwa kutwambia wakati tumempa kazi ya kutulinda sisi na mali zetu anafahamika na kwa hakika hatufai maana katu hatuko salama!

Serikali ya chama kilichopo madarakani haitufai na ndiyo maana tnayo maswali mengi. Wako wapi kina Sanane, Azory na wengine ambao wameendelea kupotea.

Jitihada zote zielekezwe kwenye kuwapumzisha manyang'au wauwaji wakubwa hawa wenye kujificha kwenye vichaka vya imani za dini ati kuwa ni wacha Mungu.
 
Pumba tupu hivi ya maisha tuliyonayo hapa Tz hali ya duni ya uchumi inajionesha wazi haina hata haja ya hao wadau hadi waseme,yaani huyo kafulila anaingea as if anaishi rwanda hayupo Tanzania.

hivi hii hali ya uchumi wa watu na biashara ndogo hadi kubwa kuanguka tunaziona kwa macho yetu mnadanganya danganya ili iweje,ni muda wa kumwambia magufuli atatue changamoto za kiuchumi.

hata rate ya watu kufa imeongozeka kutokana na chumi mbovu za watu.
Pangua hoja zake Kwa hoja na takwimu.
 
Aliyeshindwa kutwambia wakati tumempa kazi ya kutulinda sisi na mali zetu anafahamika na kwa hakika hatufai maana katu hatuko salama!

Serikali ya chama kilichopo madarakani haitufai na ndiyo maana tnayo maswali mengi. Wako wapi kina Sanane, Azory na wengine ambao wameendelea kupotea.

Jitihada zote zielekezwe kwenye kuwapumzisha manyang'au wauwaji wakubwa hawa wenye kujificha kwenye vichaka vya imani za dini ati kuwa ni wacha Mungu.
Hujui Wangwe aliuwawa wakati wa utawala gani; unaongea kwa emotions zaidi (kama Lissu) kuliko kuwa objective, na hiyo ndiyo failure kubwa waliyonayo wachangiaji wengi hapa.Ndiyo maana watu wa aina yako wasipopata walichokuwa wanategemea, hachukui hata dakika kujiuliza kwa nini wamepoteza, bali wanakimbilia kumlumu mtu yeyote hata siyehusika na failrues zao
 
Hoja pekee ya kiuchumi zenye mashiko na kuweza kueleweka na Watanzania ni unafuu ktk kuendesha maisha ya kila siku kupitia vipato vyao, unafuu wa kodi na maduhuli yalipwayo serikalini, fursa zaidi za kiuchumi za mzawa kuweza kuwekeza na pua za kupata ajira ya uhakika nchini.

Zaidi ya hapo itakuwa ni kutuletea porojo tupu ili kujipendekeza kwa mtu fulani. Kafulila tafuta kazi nyingine ya kufanya, simamia kweli na uungane na vijana wengine ambao wanapigika kutokana na sera mbovu za CCM.
Hoja hujibiwa Kwa hoja pangua hoja na data zake.
 
Hujui Wangwe aliuwawa wakati wa utawala gani; unaongea kwa emotions zaidi (kama Lissu) kuliko kuwa objective, na hiyo ndiyo failure kubwa waliyonayo wachangiaji wengi hapa.Ndiyo maana watu wa aina yako wasipopata walichokuwa wanategemea, hachukui hata dakika kujiuliza kwa nini wamepoteza, bali wanakimbilia kumlumu mtu yeyote hata siyehusika na failrues zao

Uko nje ya mada ukijaribu kuukimbia ukweli!

Tangia uhuru hii nchi iko chini ya CCM na babu yake.

Umesoma nilichoandika kuelewa? Au unaruka ruka tu na ile tabia yenu ya buku 7 ya ku dilute hoja? Hatudanganyiki!

Kwamba kafulila hata kulaani tu jaribio la mauaji ya Lissu au yoyote chini ya CCM kama unavyotaka kupanua uwanja, kwa kuendekeza njaa tu, hakuna? Ni wazi kuwa ni mpuuzi.

Haishii kwake tu bali hata wewe kwa kushindwa kuona nani anawajibika kwa usalama wa raia. Si wewe na kafulila tu, bali hata jiwe na wengine wote wa namna hiyo ni wale wale! Matumbo yenu!

Hamkuambiwa mpatiwe usaidizi hata kutoka nje kuwabaini majahili hao?

Wauaji wakubwa nyie? Mko na maslahi ya moja kwa moja na vifo, majaribio na potea potea hizi.

Mengine haya ni machozi ya mamba tu.
 
Uko nje ya mada ukijaribu kuukimbia ukweli!

Tangia uhuru hii nchi iko chini ya CCM na babu yake.

Umesoma nilichoandika kuelewa? Au unaruka ruka tu na ile tabia yenu ya buku 7 ya ku dilute hoja? Hatudanganyiki!

Kwamba kafulila hata kulaani tu jaribio la mauaji ya Lissu au yoyote chini ya CCM kama unavyotaka kupanua uwanja, kwa kuendekeza njaa tu, hakuna? Ni wazi kuwa ni mpuuzi.

Haishii kwake tu bali hata wewe kwa kushindwa kuona nani anawajibika kwa usalama wa raia. Si wewe na kafulila tu, bali hata jiwe na wengine wote wa namna hiyo ni wale wale! Matumbo yenu!

Hamkuambiwa mpatiwe usaidizi hata kutoka nje kuwabaini majahili hao?

Wauaji wakubwa nyie? Mko na maslahi ya moja kwa moja na vifo, majaribio na potea potea hizi.

Mengine haya ni machozi ya mamba tu.
Dunia yote iko vile; leo hii Marekani wanauana kama vile sio binadamu, na wala hawakuanza leo. Walimwua rais wao JFK, na walijaribu pia kumwua rais wao Reagan. Ila waliuwa watu ambao hawakukukubaliana nao wengi tu, ingawa tunamfahamu sana MLK na RFK lakini wapo wengi sana. India walimuua mama Indira Gandhi, Pakistani walimua Bhuto na mtoto wake, Nigeria na Ghana waliuwana sana. Kwa hiyo hayo siyo mambo ya chama bali ni mambo ya mfumo; ndiyo maana Nyerere alihimiza mshikamano sana ndani ya jamii. Katika jamii ya leo ambapo tunavyoosheana vidole bila hata kuwa na ushahdi ni hatari sana kwa sababu tunapoteza kabisa mshikamano ule.

Kama hujui Wangwe ni mdogo wa rafiki yangu tuliyekuwa naye UDSM kwa muda mrefu sana miaka ya 80 na 90 na nilimjua kabla hajaingia kwenye siasa; kifo chake na funika kombe iliyotokea a kuhusu yule derava wake Deus ilisababisha viongozi wa Chadema wasipokelewe vizuri kwenye mazishi yakekule Tarime. Ukimnyooneshea mwenzio kidole, jua kuwa na vingine vinne vinakunyooshea wewe mwenyewe!

Kila linapotokea tatizo; watu wanakimbilia kusema Magufuli kaigiza serikali ifanye hivyo. Huyo jamaa siyo computer kuwa anajua kila linalotokea kwenye jamii na limo kwenye kichwa chake kuwa kila mara huwa anaenda kuwapangia watendaji wafanye nini kuhusu wapinzani.
 
Dunia yote iko vile; leo hii Marekani wanauana kama vile sio binadamau, na wala hawakuanza leo. Walimwua rais wao JFK, na walijaribu pia kumwua rais wao Reagan. Ila waliuwa watu ambao hawakukukubaliana nao wengi tu, ingawa tunamfahamu sana MLK na RFK lakini wapo wengi sana. India walimoua mama Indira Gandhi, Pakistani walimua Bhuto na mtoto wake, Nigeria na Ghana waliuwana sana. Kwa hiyo hayo siyo mambo ya chama bali ni mambo ya mfumo; ndiyo maana Nyerere alihimiza mshikamano sana ndani ya jamii. Katoika jamii ya leo ambapo tunavyoosheana vidole bila hata kuwa na ushahdi ni hatari sana.

Kama hujui wangwe ni ndogo wa rafiki yangu tuliyekuwa naye UDSM kwa muda mrefu sana miaka ya 80 na 90 na nilimjua kabla hajaingia kwenye siasa; kifo chake na funika kombe iliyotokea a kuhusu yule derava wake Deus ilisababisha viongozi wa Chadema wasipokelewe vizuri kwenye mazishi yake. Ukimnyooneshea mwenzio kidole, jua kuwa na vingine vinne vinakuoonsheea wewe mwenyewe!

Kila linapotokea tatizo; watu wanakimbilia kusema Magufuli kaigiza serilkali ifanye hivyo. Huyo jamaa siyo computer kuwa anajua kila linalotokea kwenye jamii na kima chake;kila mara huwa anaenda kuwapanga watendaji ewafanye nini kuhusu wapinzani.

Nimekuhadharisha mapema kubakia kwenye mada. Tabia ya kuruka ruka ku dilute mada huwa ni ploy ambayo wengine huwa hatunasi.

Unaweza kudhani unawajua kina Wangwe na wengi wengine. Lakini hujui nami najua kiasi gani na hata kwa nini ninaandika kiasi hiki. Jambo la kheri kabisa na fake IDs. Ni salama kusema tusitishane wala kufokeana.

Mada ni hii Kafulila kwa hata kutolaani tu jaribio la mauaji ya Lissu, wala kutowalaani wenye mamlaka kwa kutofanya ya kutosha kuwabaini wauwaji wale, mabandiko yake haya ni katika kuendekeza njaa ya tumbo lake tu. Siyo siri. Hana utu. Yuko ki-teuzi zaidi.

Hana tofauti na wale wapendwa wa buku 7. Kimsingi yeye na wao, baba mmoja na mama mmoja.
 
Wakina kafulila ndo wanapaswa kumjibu Lissu,JPM anahadhi kubwa sana,atakiwi kukaa na kuanza kujibu hoja za zezeta mropokaji ambae dishi limeyumba.

Ana hadhi ni rais wa US?
 
VIJANA WENZANGU HAKUNA MAISHA RAHISI KWENYE NCHI ZINAZOENDELEA NI WAPUUZII PEKEE WANAOFIKILI KUBADALISHA VIONGOZI WA KISIASA KUTABADILISHA MAISHA YAO KATIKA UTAWALA HUU HUU WA MAGU VIJANA TUMEJIAJILI KWENYE UFUGAJI KILIMO NA BIASHARA NDOGONDOGO TUNAISHI MAISHA MAZURI KWANINI SISI TUWEZE NYINYI MSHINDWE SABABU NI UVIVU NA AKILI TEGEMEZE NA KUSUBILI SERIKALI IWAFANYIE KILA KITU VIJANA AMKENI MJITUME MAISHA NI HATUA WACHA KABISA

Mkuu umejiajiri wapi tuje tuone ulipojiajiri? Na ukijiajiajiri ndio unakuwa na kiburi mpaka unaandika kwa herufi kubwa tu, bila kuweka koma na nukta?
 
Nimekuhadharisha mapema kubakia kwenye mada. Tabia ya kuruka ruka ku dilute mada huwa ni ploy ambayo wengine huwa hatunasi.

Unaweza kudhani unawajua kina Wangwe na wengi wengine. Lakini hujui nami najua kiasi gani na hata kwa nini ninaandika kiasi hiki. Jambo la kheri kabisa na fake IDs. Ni salama kusema tusitishane wala kufokeana.

Mada ni hii Kafulila kwa hata kutolaani tu jaribio la mauaji ya Lissu, wala kutowalaani wenye mamlaka kwa kutofanya ya kutosha kuwabaini wauwaji wale, mabandiko yake haya ni katika kuendekeza njaa ya tumbo lake tu. Siyo siri. Hana utu. Yuko ki-teuzi zaidi.

Hana tofauti na wale wapendwa wa buku 7. Kimsingi yeye na wao, baba mmoja na mama mmoja.
Mada ya kafulila na Lissu ilihusu mambo ya sera, yaani kafulila alikuwa anatoa majibu kuhusu madai ya Lisu kisera. Watu wengine wanakuja hapa na maswali ya nani alitaka kuondoa kuondoa uhai wa Lissu. Ingawa tabia ya kuondoa uhai kweli siyo ya kuchukulia kirahisi, lakini pia inabidi ijadiliwa vizuri kuwa isiwe ndiyo sera tena. Tunajua kuwa kuondoana uhai siyo mambo mazuri natabia hiyo inatakiwa ipigwe vita sana kwani tayari imo ndani jamii yetu pia lakini tukumbushane pia kuwa haina mmiliki kwani inafanyika duniani kote na mara kadhaa wanaoifanya huwa hawana madaraka yoyote; waliomrushia risassa JFK, MLK, RFK na reagan hawakuwa na madaraka yoyote.

generalizatio hii ya kuwa kila aliyeuwawa bila kujulikana ilikuwa ni amri ya rais ni upupu wa juu ambao siyo busara kuuacha upite bila kuchambuliwa. Kwa hiyo nilitegemea kuelewashwa kuwa kuuwawa kwa Wangwe ilikuwa ni amri ya rais pia; na hivyo basi kuuwawa kwa Sokoine, Dr Mvungi, na Profesa Mwaikusa wote zilikuwa i amri za rais.

Kukiwa na baseless generalizations basi tegemea kupata majibu ya beseless generalization pia; kama unataka mada iende vizuri basi maswali ya nani alitaka kumwua nani yaondolewa hapa. Endeleeni na mada kwenye majibu ya kafulila kwa Lissu kuhusu sera kusiwe na diversion yoyote kuhusu jaribio la kuuwawa kwa Lissu kwani hakuna anayejua ni nani alipanga kuondoa uhai wa Lissu. Hizo conspiracy theories, zinazaa theories nyingine nyingi ambazo huenda hutazifurahia.

Kuhusu Wangwe umenambia ninatoa machozi ya mamba wakati hunijui nina uhusiano gani na familia ya Wangwe; ndiyo nikakushauri weka baadhi ya maneno kwenye akiba yako.
 
Mada ya kafulila na Lissu ilihusu mambo ya sera, yaani kafulila alikuwa anatoa majibu kuhusu madai ya Lisu kisera. Watu wengine wanakuja hapa na maswali ya nani alitaka kuondoa kuondoa uhai wa Lissu. Ingawa tabia ya kuondoa uhai kweli siyo ya kuchukulia kirahisi, lakini pia inabidi ijadiliwa vizuri kuwa isiwe ndiyo sera tena. Tunajua kuwa kuondoana uhai siyo mambo mazuri natabia hiyo inatakiwa ipigwe vita sana kwani tayari imo ndani jamii yetu pia lakini tukumbushane pia kuwa haina mmiliki kwani inafanyika duniani kote na mara kadhaa wanaoifanya huwa hawana madaraka yoyote; waliomrushia risassa JFK, MLK, RFK na reagan hawakuwa na madaraka yoyote.

generalizatio hii ya kuwa kila aliyeuwawa bila kujulikana ilikuwa ni amri ya rais ni upupu wa juu ambao siyo busara kuuacha upite bila kuchambuliwa. Kwa hiyo nilitegemea kuelewashwa kuwa kuuwawa kwa Wangwe ilikuwa ni amri ya rais pia; na hivyo basi kuuwawa kwa Sokoine, Dr Mvungi, na Profesa Mwaikusa wote zilikuwa i amri za rais.

Kukiwa na baseless generalizations basi tegemea kupata majibu ya beseless generalization pia; kama unataka mada iende vizuri basi maswali ya nani alitaka kumwua nani yaondolewa hapa. Endeleeni na mada kwenye majibu ya kafulila kwa Lissu kuhusu sera kusiwe na diversion yoyote kuhusu jaribio la kuuwawa kwa Lissu kwani hakuna anayejua ni nani alipanga kuondoa uhai wa Lissu. Hizo conspiracy theories, zinazaa theories nyingine nyingi ambazo huenda hutazifurahia.

Kuhusu Wangwe umenambia ninatoa machozi ya mamba wakati hunijui nina uhusiano gani na familia ya Wangwe; ndiyo nikakushauri weka baadhi ya maneno kwenye akiba yako.

Mkuu uko nje ya mada bakia peke yako huko.

"Kafulila kama binadamu tu bila ya kulaani jaribio la mauaji ya Lissu wala kupotea kwa Azory, Sanane na wengine wala kulaani mamlaka zenye kutulinda raia na mali zetu, mabandiko yako yanabeba kujipendekeza kwako zaidi ukipalilia shibe ya tumbo lako."

Kwa mwendelezo huo kafulila na Lumumba buku 7 hamna tofauti. Ni nyani wale wale kwenye mapori tofauti tu.
 
Mkuu uko nje ya mada bakia peke yako huko.

"Kafulila kama binadamu tu bila ya kulaani jaribio la mauaji ya Lissu wala kupotea kwa Azory, Sanane na wengine wala kulaani mamlaka zenye kutulinda raia na mali zetu, mabandiko yako yanabeba kujipendekeza kwako zaidi ukipalilia shibe ya tumbo lako."

Kwa mwendelezo huo kafulila na Lumumba buku 7 hamna tofauti. Ni nyani wale wale kwenye mapori tofauti tu.
Umepata kombe mzee; walalamikaji huwa hawasikilizi mantiki hata siku moja mpaka wahakikishe wamepata kombe; basi umelipata. Umefurahi?

Kafulia aliongelea point saba tu ambazo zilikuwa ni rahisi sana kuzielewa kwa vile hazikuwa sophisticated, lakini ni za kweli tu; hilo la watu kutekwa halikuwamo. Nani aliyelilieta kwenye mada hii?
 
Pumba tupu hivi ya maisha tuliyonayo hapa Tz hali ya duni ya uchumi inajionesha wazi haina hata haja ya hao wadau hadi waseme,yaani huyo kafulila anaingea as if anaishi rwanda hayupo Tanzania.

hivi hii hali ya uchumi wa watu na biashara ndogo hadi kubwa kuanguka tunaziona kwa macho yetu mnadanganya danganya ili iweje,ni muda wa kumwambia magufuli atatue changamoto za kiuchumi.

hata rate ya watu kufa imeongozeka kutokana na chumi mbovu za watu.
Life expectancy ikoje?
 
Back
Top Bottom