Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Lengo kuu ni kuifanya kizimkazi kuwa kama NyuyokuNa nani analipa certificates, nani anakagua kazi nani ana audit discrepancies za malipo; kama mkandarasi ana deal na donors,
How is that is even possible in practice.
Kiwango chako cha ujinga kinakutosha wewe mwenyewe, please spare us your nonsense.
Huo wasifu ni kwa hilo jibu tu alilolitoa hapo? Hayo maneno si hata Musukuma anaweza kutamka.Mwigullu PhD na Prof Kitila wamezidiwa uwezo na Kafulila π
Nani anaingia mkataba na mkandarasi?Nani kasema Wizara haijui wewe box ???!!
Rudia kusoma hayo majibu ya Kafulila utaelewa ,
Hoja hapa ni TZS 7T haziku-hit kwenye akaunti ya hazina ila zimefanya matumizi kama kawaida
Shida hajui hata DMO ni kitu gani na majukumu yake, inabidi uende nae taratibu.Huo ndio utaratibu?
Ni Mkopo ila haujapitia hazina ila imepita kwa Mkandarasi moja kwa moja
Majibu ya kafulila hΓ yafanyi mwenye Γ kili awe hana akili. Kama huna akili huna tuu, huyu ni chawa wa mΓ ma na huwa mara nyingi Γ najifanya ndo msemΓ ji mkuu wa serikali.Kitu kimoja napenda toka kwa Kafulila anaweza akakukibu mpaka ukajiona huna akili kabisa,
Wapi jamaa ni matajiri wa kutupa, hawa chawa hawaelewi tu; udhalimu wa watu wanaowatetea. Na hapa wala simzungumzii Kafulila.Lengo kuu ni kuifanya kizimkazi kuwa kama Nyuyoku
Nimecheka hiyo video mpaka machozi, hapa kweli tumepigwa kama huyo ndio waziri wetu wa fedha.
Hivi Kafulila ni msemaji wa serikali? Maana kila siku Kafulila hivi, Kafulila vile.View attachment 3218277
===
Kafulila akijibu tuhuma ya Mbunge wa Kisesa CCM Mhe Luhaga Mpina kwamba Waziri wa Fedha ametumia zaidi ya Trilioni Saba (TZS7T) bila fedha hizo kupita katika mfuko mkuu wa Serikali hazina,
Haya ndio majibu ya Kafulila kwa Luhaga.
" Cde Mpina lazima uelewe Kuna baadhi ya wakopeshaji wanapeleka pesa zao moja kwa moja kwenye miradi husika bila kupitisha pesa zao hazina. Hivyo hazina wanapewa taarifa tu kwa sababu wao wanamlipa mkandarasi wenyewe wakiamini hiyo huenda ikaepusha pesa yao kutumiwa kwa matumizi yasiyo kusudiwa au nje ya malengo ya mkopo"
Pia soma Luhaga Mpina: Waziri wa Fedha amekopa na kutumia Zaidi ya Tsh. Trilioni 7 Bila kuingizwa kwenye Mfuko Mkuu wa Serikali
Atutajie hao wahisani
Miradi waliyofadhili na kiasi cha pesa walichotoa
wewe ndio utakuwa Kilaza maana una mahaba na Tumbili mpaka unakunwa kwani Luhanga Mpina katika maongezi yake ya hizo Trilioni alikuambia kuwa baadhi ya hizo fedha alizoziorodhesha ni zawakopeshaji ambao wanapeleka pesa zao moja kwa moja kwenye miradi husika bila kupitisha pesa zao hazina ?Kitu kimoja napenda toka kwa Kafulila anaweza akakukibu mpaka ukajiona huna akili kabisa,
Nimewaambia mara nyingi kwamba Mpina ni mzushi na ndio sababu hakuna mission yake yeyote iliyowahi faulu Toka aanze uzushi.View attachment 3218277
===
Kafulila akijibu tuhuma ya Mbunge wa Kisesa CCM Mhe Luhaga Mpina kwamba Waziri wa Fedha ametumia zaidi ya Trilioni Saba (TZS7T) bila fedha hizo kupita katika mfuko mkuu wa Serikali hazina,
Haya ndio majibu ya Kafulila kwa Luhaga.
" Cde Mpina lazima uelewe Kuna baadhi ya wakopeshaji wanapeleka pesa zao moja kwa moja kwenye miradi husika bila kupitisha pesa zao hazina. Hivyo hazina wanapewa taarifa tu kwa sababu wao wanamlipa mkandarasi wenyewe wakiamini hiyo huenda ikaepusha pesa yao kutumiwa kwa matumizi yasiyo kusudiwa au nje ya malengo ya mkopo"
Pia soma Luhaga Mpina: Waziri wa Fedha amekopa na kutumia Zaidi ya Tsh. Trilioni 7 Bila kuingizwa kwenye Mfuko Mkuu wa Serikali
"Akakukibu" maana yake nini ndugu!!??Kitu kimoja napenda toka kwa Kafulila anaweza akakukibu mpaka ukajiona huna akili kabisa,
Ila Mpina anaelewa kila kitu sema naona kama amesaliti kambi hiviJibu jepesi sana kwa magnitude ya figure;
Nilidhani alitakiwa aje na analysis ya Donor, miradi iliyochangiwa, Amount of fund disbursed, Beneficiaries Account...maana hapa kutupa jibu la Jumla Jumla haiko sawa!!
Anajibu Kafulila ??!View attachment 3218277
===
Kafulila akijibu tuhuma ya Mbunge wa Kisesa CCM Mhe Luhaga Mpina kwamba Waziri wa Fedha ametumia zaidi ya Trilioni Saba (TZS7T) bila fedha hizo kupita katika mfuko mkuu wa Serikali hazina,
Haya ndio majibu ya Kafulila kwa Luhaga.
" Cde Mpina lazima uelewe Kuna baadhi ya wakopeshaji wanapeleka pesa zao moja kwa moja kwenye miradi husika bila kupitisha pesa zao hazina. Hivyo hazina wanapewa taarifa tu kwa sababu wao wanamlipa mkandarasi wenyewe wakiamini hiyo huenda ikaepusha pesa yao kutumiwa kwa matumizi yasiyo kusudiwa au nje ya malengo ya mkopo"
Pia soma Luhaga Mpina: Waziri wa Fedha amekopa na kutumia Zaidi ya Tsh. Trilioni 7 Bila kuingizwa kwenye Mfuko Mkuu wa Serikali
Siku zote na mara zote humu Nchini wasema kweli huwa wanaonekana ni wasaliti Chamani !Ila Mpina anaelewa kila kitu sema naona kama amesaliti kambi hivi
Kafulila kamsahihi Mpina kwenye TZS 7T tu mengine hajatetea popoteAnajibu Kafulila ??!
π³π!
WanaCCM kusema uongo ni mwikoSiku zote na mara zote humu Nchini wasema kweli huwa wanaonekana ni wasaliti Chamani !
Wenyewe Wanasemaga dawa ni kuwashughulikia tu !