David Kafulila: Huyu Tundu Lissu ni muongo

David Kafulila: Huyu Tundu Lissu ni muongo

Jabali la Siasa

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2020
Posts
2,823
Reaction score
2,466

===
Kwa mtizamo wangu Mtu pekee toka Chama Cha Mapinduzi CCM anayeweza kumnyoosha sawasawa Tundu Lissu kwa hoja mujarabu tena kwa data ni huyu Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila,

Kwa utafiti wangu mdogo nilioufanya mitandaoni na mitaani ni wazi Watanzania walio wengi hasa wanaCCM wanatamani sana katika Uchaguzi Mkuu Ujao Kafulila awe ndio kampeni meneja wa Rais Samia ili kama chama tuweze kumnyoosha vizuri huyu Tundu Lissu na CHADEMA yake kwa hoja, Kali Kali na data za Kafulila.

Kila mmoja anafahamu tangu Bungeni Lissu ni mtu mwenye akili na hoja sana mbaya zaidi wakati huu anasaidiana kwa karibu na John Heche Pamoja Godbless Lemma hawa wote ni watu wenye hoja Kali, Kali.

Kwa sababu hiyo, Chama Cha Mapinduzi CCM lazima kijipange kuvurumushiwa hoja kali kali toka kwa hawa vinara wa Upinzani kuanzia sasa ndio maana watu kama akina David Kafulila, Hampfrey Polepole, Dkt Bashiru Ally Kakurwa wanahitajika Sana kwa Sasa.

Sijatumwa na Mtu ni kihere here changu tu katika kutafuta ushindi wa Chama.

Kidumu chama Cha Mapinduzi.
 
Lissu ni mtu mwenye akili sana na Leo anasaidiana kwa karibu na John Heche Pamoja Godbless Lemma hawa watu wote ni watu hatari sana kwenye hoja hivyo CCM lazima ijipange kuvulumushiwa hoja Kali kali kuanzia sasa hivyo watu kama akina Kafulila, Polepole, Dkt Bashiru wanahitaji Sasa.


Kidumu chama Cha Mapinduzi.
Polepole na Bashiru nao wawe chawa wa samia? Labda huyo tumbili.
 
View attachment 3212307
===
Kwa Mtazamo wangu Mtu pekee toka CCM anayeweza kumnyoosha vema Tundu Lissu kwa hoja mujarabu ni huyu Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila,

Kwa utafiti mdogo nilioufanya mitandaoni ni wazi Watanzania walio wengi wanatamani katika Uchaguzi Mkuu Ujao Kafulila awe kampeni meneja wa Rais Samia ili tumnyooshe vizuri huyu Tundu Lissu na CHADEMA yake kwa hoja,

Lissu ni mtu mwenye akili sana na Leo anasaidiana kwa karibu na John Heche Pamoja Godbless Lemma hawa watu wote ni watu hatari sana kwenye hoja hivyo CCM lazima ijipange kuvulumushiwa hoja Kali kali kuanzia sasa hivyo watu kama akina Kafulila, Polepole, Dkt Bashiru wanahitaji Sasa.


Kidumu chama Cha Mapinduzi.
Mumeishiwa mnaokoteza toka majalalani
 
View attachment 3212307
===
Kwa Mtazamo wangu Mtu pekee toka CCM anayeweza kumnyoosha vema Tundu Lissu kwa hoja mujarabu ni huyu Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila,

Kwa utafiti mdogo nilioufanya mitandaoni ni wazi Watanzania walio wengi wanatamani katika Uchaguzi Mkuu Ujao Kafulila awe kampeni meneja wa Rais Samia ili tumnyooshe vizuri huyu Tundu Lissu na CHADEMA yake kwa hoja,

Lissu ni mtu mwenye akili sana na Leo anasaidiana kwa karibu na John Heche Pamoja Godbless Lemma hawa watu wote ni watu hatari sana kwenye hoja hivyo CCM lazima ijipange kuvulumushiwa hoja Kali kali kuanzia sasa hivyo watu kama akina Kafulila, Polepole, Dkt Bashiru wanahitaji Sasa.


Kidumu chama Cha Mapinduzi.
Huyu Kafu hata ukimuuliza kijana aliyemaliza degree akutajie mchango wake utacheka
 
Back
Top Bottom