David Kafulila: Huyu Tundu Lissu ni muongo

David Kafulila: Huyu Tundu Lissu ni muongo

CCM bado ni kuchafu! Mpaka kumpata mtu anayeweza kuisafisha CCM mbele ya wananchi ni vigumu! Pambaneni kwanza na mwenzenu MP Mpina anayewahenyesha ndiyo muwaze kumtumia Kafulila kupambana na Lussu.
Kama CCM inajiamini iruhusu Tume Huru ya Uchaguzi,Vyombo vya Ulinzi na Usalama visiingilie uchaguzi,nadhani kitakachotokea mnakijua.
Labda na Mimi Rai yangu Msaidieni Mama kumpata timu au mtu bora atakayemsaidia pindi kampeni zitakapoanza!
Mama hawezi kupambana na Lissu jukwaani.
 
MWAKA 1961 TANGANYIKA IKIPATA UHURU.

BABA WA TAIFA ALIWATAJA MAADUI WAKUU WA TATU WA TAIFA.
1. UMASIKINI.
2. UJINGA.
3. MARADHI.

AKAMALIZA KWA KUSEMA "MAADUI HAWA NI MAADUI KWELI KWELI NA SI MAADUI WA DHIHAKA"
JK NYERERE
 
View attachment 3212307
===
Kwa Mtazamo wangu Mtu pekee toka CCM anayeweza kumnyoosha vema Tundu Lissu kwa hoja mujarabu ni huyu Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila,

Kwa utafiti mdogo nilioufanya mitandaoni ni wazi Watanzania walio wengi wanatamani katika Uchaguzi Mkuu Ujao Kafulila awe kampeni meneja wa Rais Samia ili tumnyooshe vizuri huyu Tundu Lissu na CHADEMA yake kwa hoja,

Lissu ni mtu mwenye akili sana na Leo anasaidiana kwa karibu na John Heche Pamoja Godbless Lemma hawa watu wote ni watu hatari sana kwenye hoja hivyo CCM lazima ijipange kuvulumushiwa hoja Kali kali kuanzia sasa hivyo watu kama akina Kafulila, Polepole, Dkt Bashiru wanahitaji Sasa.


Kidumu chama Cha Mapinduzi.
BAshiru hana aibu mpaka ajitokeze kumshambulia Lissu?kifupi kinachohitajika ni katiba mpya mbona mnayachukulia simpo sana maisha ya watu kwa ajili ya matumbo yenu?CCM imechokwa na watanzania hata wewe mleta mada unaongea na watu na hilo unalijua ni ulafi na uroho tu ndio unawafanya mnajiropokesha mambo ya kipuuzi Time will tell
 
View attachment 3212307
===
Kwa Mtazamo wangu Mtu pekee toka CCM anayeweza kumnyoosha vema Tundu Lissu kwa hoja mujarabu ni huyu Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila,

Kwa utafiti mdogo nilioufanya mitandaoni ni wazi Watanzania walio wengi wanatamani katika Uchaguzi Mkuu Ujao Kafulila awe kampeni meneja wa Rais Samia ili tumnyooshe vizuri huyu Tundu Lissu na CHADEMA yake kwa hoja,

Lissu ni mtu mwenye akili sana na Leo anasaidiana kwa karibu na John Heche Pamoja Godbless Lemma hawa watu wote ni watu hatari sana kwenye hoja hivyo CCM lazima ijipange kuvulumushiwa hoja Kali kali kuanzia sasa hivyo watu kama akina Kafulila, Polepole, Dkt Bashiru wanahitaji Sasa.


Kidumu chama Cha Mapinduzi.
Lissu uongo kwake ni jadi
 
BAshiru hana aibu mpaka ajitokeze kumshambulia Lissu?kifupi kinachohitajika ni katiba mpya mbona mnayachukulia simpo sana maisha ya watu kwa ajili ya matumbo yenu?CCM imechokwa na watanzania hata wewe mleta mada unaongea na watu na hilo unalijua ni ulafi na uroho tu ndio unawafanya mnajiropokesha mambo ya kipuuzi Time will tell
Katiba hata CCM tunataka shida Iko wapi?
 
View attachment 3212307
===
Kwa Mtazamo wangu Mtu pekee toka CCM anayeweza kumnyoosha vema Tundu Lissu kwa hoja mujarabu ni huyu Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila,

Kwa utafiti mdogo nilioufanya mitandaoni ni wazi Watanzania walio wengi wanatamani katika Uchaguzi Mkuu Ujao Kafulila awe kampeni meneja wa Rais Samia ili tumnyooshe vizuri huyu Tundu Lissu na CHADEMA yake kwa hoja,

Lissu ni mtu mwenye akili sana na Leo anasaidiana kwa karibu na John Heche Pamoja Godbless Lemma hawa watu wote ni watu hatari sana kwenye hoja hivyo CCM lazima ijipange kuvulumushiwa hoja Kali kali kuanzia sasa hivyo watu kama akina Kafulila, Polepole, Dkt Bashiru wanahitaji Sasa.


Kidumu chama Cha Mapinduzi.
Km unamwona huyo mropkojaji, aliyejaa matusi, mzushi, mwongo basi we ni mwehu unahitaji matibabu.
 
View attachment 3212307
===
Kwa Mtazamo wangu Mtu pekee toka CCM anayeweza kumnyoosha vema Tundu Lissu kwa hoja mujarabu ni huyu Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila,

Kwa utafiti mdogo nilioufanya mitandaoni ni wazi Watanzania walio wengi wanatamani katika Uchaguzi Mkuu Ujao Kafulila awe kampeni meneja wa Rais Samia ili tumnyooshe vizuri huyu Tundu Lissu na CHADEMA yake kwa hoja,

Lissu ni mtu mwenye akili sana na Leo anasaidiana kwa karibu na John Heche Pamoja Godbless Lemma hawa watu wote ni watu hatari sana kwenye hoja hivyo CCM lazima ijipange kuvulumushiwa hoja Kali kali kuanzia sasa hivyo watu kama akina Kafulila, Polepole, Dkt Bashiru wanahitaji Sasa.


Kidumu chama Cha Mapinduzi.
Kafulila ni noma, naomba tuone majibu ya Lissu
 
Back
Top Bottom