Songaleli
JF-Expert Member
- Aug 6, 2022
- 572
- 637
Umekula?Hivyohivyo
Nimekuona juzi unamuunga mkono Mbowe kapigwa umerudi tena CCM,
WEWE NI MALAYA LA KISIASA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umekula?Hivyohivyo
Mdude Nyagali.Sasa unataka kumfananisha Kafulila na nani hapo CHADEMA?
Pamoja na za JHuyo tumbili ana vimeo kibao vya Adani
Kafulila Kwenye hii nchi ana alama isiyofutikaHuyu Kafu hata ukimuuliza kijana aliyemaliza degree akutajie mchango wake utacheka
BAshiru hana aibu mpaka ajitokeze kumshambulia Lissu?kifupi kinachohitajika ni katiba mpya mbona mnayachukulia simpo sana maisha ya watu kwa ajili ya matumbo yenu?CCM imechokwa na watanzania hata wewe mleta mada unaongea na watu na hilo unalijua ni ulafi na uroho tu ndio unawafanya mnajiropokesha mambo ya kipuuzi Time will tellView attachment 3212307
===
Kwa Mtazamo wangu Mtu pekee toka CCM anayeweza kumnyoosha vema Tundu Lissu kwa hoja mujarabu ni huyu Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila,
Kwa utafiti mdogo nilioufanya mitandaoni ni wazi Watanzania walio wengi wanatamani katika Uchaguzi Mkuu Ujao Kafulila awe kampeni meneja wa Rais Samia ili tumnyooshe vizuri huyu Tundu Lissu na CHADEMA yake kwa hoja,
Lissu ni mtu mwenye akili sana na Leo anasaidiana kwa karibu na John Heche Pamoja Godbless Lemma hawa watu wote ni watu hatari sana kwenye hoja hivyo CCM lazima ijipange kuvulumushiwa hoja Kali kali kuanzia sasa hivyo watu kama akina Kafulila, Polepole, Dkt Bashiru wanahitaji Sasa.
Kidumu chama Cha Mapinduzi.
Lissu uongo kwake ni jadiView attachment 3212307
===
Kwa Mtazamo wangu Mtu pekee toka CCM anayeweza kumnyoosha vema Tundu Lissu kwa hoja mujarabu ni huyu Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila,
Kwa utafiti mdogo nilioufanya mitandaoni ni wazi Watanzania walio wengi wanatamani katika Uchaguzi Mkuu Ujao Kafulila awe kampeni meneja wa Rais Samia ili tumnyooshe vizuri huyu Tundu Lissu na CHADEMA yake kwa hoja,
Lissu ni mtu mwenye akili sana na Leo anasaidiana kwa karibu na John Heche Pamoja Godbless Lemma hawa watu wote ni watu hatari sana kwenye hoja hivyo CCM lazima ijipange kuvulumushiwa hoja Kali kali kuanzia sasa hivyo watu kama akina Kafulila, Polepole, Dkt Bashiru wanahitaji Sasa.
Kidumu chama Cha Mapinduzi.
Katiba hata CCM tunataka shida Iko wapi?BAshiru hana aibu mpaka ajitokeze kumshambulia Lissu?kifupi kinachohitajika ni katiba mpya mbona mnayachukulia simpo sana maisha ya watu kwa ajili ya matumbo yenu?CCM imechokwa na watanzania hata wewe mleta mada unaongea na watu na hilo unalijua ni ulafi na uroho tu ndio unawafanya mnajiropokesha mambo ya kipuuzi Time will tell
Km unamwona huyo mropkojaji, aliyejaa matusi, mzushi, mwongo basi we ni mwehu unahitaji matibabu.View attachment 3212307
===
Kwa Mtazamo wangu Mtu pekee toka CCM anayeweza kumnyoosha vema Tundu Lissu kwa hoja mujarabu ni huyu Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila,
Kwa utafiti mdogo nilioufanya mitandaoni ni wazi Watanzania walio wengi wanatamani katika Uchaguzi Mkuu Ujao Kafulila awe kampeni meneja wa Rais Samia ili tumnyooshe vizuri huyu Tundu Lissu na CHADEMA yake kwa hoja,
Lissu ni mtu mwenye akili sana na Leo anasaidiana kwa karibu na John Heche Pamoja Godbless Lemma hawa watu wote ni watu hatari sana kwenye hoja hivyo CCM lazima ijipange kuvulumushiwa hoja Kali kali kuanzia sasa hivyo watu kama akina Kafulila, Polepole, Dkt Bashiru wanahitaji Sasa.
Kidumu chama Cha Mapinduzi.
22Lissu hawezi Pambana na Kafulila kwa lolote,
Ngoja tusubiri hiyo OctoberKm unamwona huyo mropkojaji, aliyejaa matusi, mzushi, mwongo basi we ni mwehu unahitaji matibabu.
Kafulila ni noma, naomba tuone majibu ya LissuView attachment 3212307
===
Kwa Mtazamo wangu Mtu pekee toka CCM anayeweza kumnyoosha vema Tundu Lissu kwa hoja mujarabu ni huyu Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila,
Kwa utafiti mdogo nilioufanya mitandaoni ni wazi Watanzania walio wengi wanatamani katika Uchaguzi Mkuu Ujao Kafulila awe kampeni meneja wa Rais Samia ili tumnyooshe vizuri huyu Tundu Lissu na CHADEMA yake kwa hoja,
Lissu ni mtu mwenye akili sana na Leo anasaidiana kwa karibu na John Heche Pamoja Godbless Lemma hawa watu wote ni watu hatari sana kwenye hoja hivyo CCM lazima ijipange kuvulumushiwa hoja Kali kali kuanzia sasa hivyo watu kama akina Kafulila, Polepole, Dkt Bashiru wanahitaji Sasa.
Kidumu chama Cha Mapinduzi.
Sasa kwanini musimpe Kafulila uwenyekiti?au juzi kwanini musimpe u Mwenza,au Uwasira?Lissu kwa Kafulila kwa hoja akasome
Kwamba kafulila ni mtu kutoka sayari nyingine au what is so special kiasi hichoLissu hawezi Pambana na Kafulila kwa lolote,
Lisu hawezi kusumbuliwa na huyo mlamba asali hata siku moja
💯👌Lisu hawezi kusumbuliwa na huyo mlamba asali hata siku moja
Utakapenda tu kahojasikapendi aka kamtu ka kigoma[emoji34], anaaibisha sana waha, yeye na wapuuzi wenzake mwijaku na baba revo[emoji34]