Jabali la Siasa
JF-Expert Member
- Jul 10, 2020
- 2,823
- 2,466
- Thread starter
- #81
Ukweli ndio huoKafulila ana nn Cha kumzidi lissu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukweli ndio huoKafulila ana nn Cha kumzidi lissu?
Hana uwezo huo, acha fananisha Mwenyekiti Lissu na watu wepesi, ungemtaja Prof Kabudi ,ningekuelewa kwa mbaliView attachment 3212307
===
Kwa Mtazamo wangu Mtu pekee toka CCM anayeweza kumnyoosha vema Tundu Lissu kwa hoja mujarabu ni huyu Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila,
Kwa utafiti mdogo nilioufanya mitandaoni ni wazi Watanzania walio wengi wanatamani katika Uchaguzi Mkuu Ujao Kafulila awe kampeni meneja wa Rais Samia ili tumnyooshe vizuri huyu Tundu Lissu na CHADEMA yake kwa hoja,
Lissu ni mtu mwenye akili sana na Leo anasaidiana kwa karibu na John Heche Pamoja Godbless Lemma hawa watu wote ni watu hatari sana kwenye hoja hivyo CCM lazima ijipange kuvulumushiwa hoja Kali kali kuanzia sasa hivyo watu kama akina Kafulila, Polepole, Dkt Bashiru wanahitaji Sasa.
Kidumu chama Cha Mapinduzi.
Kabudi kwenye data sio mzuri sanaHana uwezo huo, acha fananisha Mwenyekiti Lissu na watu wepesi, ungemtaja Prof Kabudi ,ningekuelewa kwa mbali
So kafulila ana lipi la ajabu kama sio kupika data kumfurahisha mteule wake?Kabudi kwenye data sio mzuri sana
Mtafute Odemba Kafulila sio Mbowe wa kukimbia midahaloSo kafulila ana lipi la ajabu kama sio kupika data kumfurahisha mteule wake?
Hana jipya , kama ana jipya basi nataka mdahalo naye.
Ikumbukwe kwenye cheo chake kuna watu wanao chakata data na kumpa , asipewe sifa ambazo hazistahili
Wote hawa wachumia tumbo, mtu pekee nineyemuamini upande huu ni Mpina kichaa kama Mwendazakehivyo watu kama akina Kafulila, Polepole, Dkt Bashiru wanahitaji Sasa.
Nipe no ya Odemba tafadhali kama upo nayo , ili nimnyooshe Kafulila , nitamtoa nje ya ulingo mapema sana , nchi hii ipo na watu / viongozi janja , janja sanaMtafute Odemba Kafulila sio Mbowe wa kukimbia midahalo
Yupi toka ccm anaweza kabiliana nae sasaLissu anahitaji kukabiliwa kwa hoja Kali kali
Wewe una title gani kwenye hii nchi ili upambane na Kafulila au mkunja ngumu tu wa CHADEMA?Nipe no ya Odemba tafadhali kama upo nayo , ili nimnyooshe Kafulila , nitamtoa nje ya ulingo mapema sana , nchi hii ipo na watu / viongozi janja , janja sana
Jibu kwanza swali languYupi toka ccm anaweza kabiliana nae sasa
Mnae wa kumjibu?Jibu kwanza swali langu
Wewe unahadhi ya kupambana na Kafulila au ndio vihoja na vibweka Bonyeza 5Mnae wa kumjibu?
2mbili ndio amsumbue lisu?View attachment 3212307
===
Kwa Mtazamo wangu Mtu pekee toka CCM anayeweza kumnyoosha vema Tundu Lissu kwa hoja mujarabu ni huyu Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila,
Kwa utafiti mdogo nilioufanya mitandaoni ni wazi Watanzania walio wengi wanatamani katika Uchaguzi Mkuu Ujao Kafulila awe kampeni meneja wa Rais Samia ili tumnyooshe vizuri huyu Tundu Lissu na CHADEMA yake kwa hoja,
Lissu ni mtu mwenye akili sana na Leo anasaidiana kwa karibu na John Heche Pamoja Godbless Lemma hawa watu wote ni watu hatari sana kwenye hoja hivyo CCM lazima ijipange kuvulumushiwa hoja Kali kali kuanzia sasa hivyo watu kama akina Kafulila, Polepole, Dkt Bashiru wanahitaji Sasa.
Kidumu chama Cha Mapinduzi.
Nileteni Kafulila kwenye Mdahalo ,ili niwaoneshe Tz ina vichwa , nusu saa tu atakimbia Mdahalo, MR Odemba pitia hapa tafadhaliWewe unahadhi ya kupambana na Kafulila au ndio vihoja na vibweka Bonyeza 5
Ndio mtu pekee anaweza kumnyoosha2mbili ndio amsumbue lisu?
Kumbuka huyu bwana mdogo kafulila ana gpa ya 2.2 BBA pale mlimani. Lisu ana gpa 4.9 LLB. Hivyo ni maji na mbinguView attachment 3212307
===
Kwa Mtazamo wangu Mtu pekee toka CCM anayeweza kumnyoosha vema Tundu Lissu kwa hoja mujarabu ni huyu Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila,
Kwa utafiti mdogo nilioufanya mitandaoni ni wazi Watanzania walio wengi wanatamani katika Uchaguzi Mkuu Ujao Kafulila awe kampeni meneja wa Rais Samia ili tumnyooshe vizuri huyu Tundu Lissu na CHADEMA yake kwa hoja,
Lissu ni mtu mwenye akili sana na Leo anasaidiana kwa karibu na John Heche Pamoja Godbless Lemma hawa watu wote ni watu hatari sana kwenye hoja hivyo CCM lazima ijipange kuvulumushiwa hoja Kali kali kuanzia sasa hivyo watu kama akina Kafulila, Polepole, Dkt Bashiru wanahitaji Sasa.
Kidumu chama Cha Mapinduzi.
Lete Ushahidi kabla sijaendelea kukujibuKumbuka huyu bwana mdogo kafulila ana gpa ya 2.2 BBA pale mlimani. Lisu ana gpa 4.9 LLB. Hivyo ni maji na mbingu