David Kafulila: Huyu Tundu Lissu ni muongo

David Kafulila: Huyu Tundu Lissu ni muongo

View attachment 3212307
===
Kwa Mtazamo wangu Mtu pekee toka CCM anayeweza kumnyoosha vema Tundu Lissu kwa hoja mujarabu ni huyu Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila,

Kwa utafiti mdogo nilioufanya mitandaoni ni wazi Watanzania walio wengi wanatamani katika Uchaguzi Mkuu Ujao Kafulila awe kampeni meneja wa Rais Samia ili tumnyooshe vizuri huyu Tundu Lissu na CHADEMA yake kwa hoja,

Lissu ni mtu mwenye akili sana na Leo anasaidiana kwa karibu na John Heche Pamoja Godbless Lemma hawa watu wote ni watu hatari sana kwenye hoja hivyo CCM lazima ijipange kuvulumushiwa hoja Kali kali kuanzia sasa hivyo watu kama akina Kafulila, Polepole, Dkt Bashiru wanahitaji Sasa.


Kidumu chama Cha Mapinduzi.
Hana uwezo huo, acha fananisha Mwenyekiti Lissu na watu wepesi, ungemtaja Prof Kabudi ,ningekuelewa kwa mbali
 
Kabudi kwenye data sio mzuri sana
So kafulila ana lipi la ajabu kama sio kupika data kumfurahisha mteule wake?

Hana jipya , kama ana jipya basi nataka mdahalo naye.

Ikumbukwe kwenye cheo chake kuna watu wanao chakata data na kumpa , asipewe sifa ambazo hazistahili
 
So kafulila ana lipi la ajabu kama sio kupika data kumfurahisha mteule wake?

Hana jipya , kama ana jipya basi nataka mdahalo naye.

Ikumbukwe kwenye cheo chake kuna watu wanao chakata data na kumpa , asipewe sifa ambazo hazistahili
Mtafute Odemba Kafulila sio Mbowe wa kukimbia midahalo
 
View attachment 3212307
===
Kwa Mtazamo wangu Mtu pekee toka CCM anayeweza kumnyoosha vema Tundu Lissu kwa hoja mujarabu ni huyu Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila,

Kwa utafiti mdogo nilioufanya mitandaoni ni wazi Watanzania walio wengi wanatamani katika Uchaguzi Mkuu Ujao Kafulila awe kampeni meneja wa Rais Samia ili tumnyooshe vizuri huyu Tundu Lissu na CHADEMA yake kwa hoja,

Lissu ni mtu mwenye akili sana na Leo anasaidiana kwa karibu na John Heche Pamoja Godbless Lemma hawa watu wote ni watu hatari sana kwenye hoja hivyo CCM lazima ijipange kuvulumushiwa hoja Kali kali kuanzia sasa hivyo watu kama akina Kafulila, Polepole, Dkt Bashiru wanahitaji Sasa.


Kidumu chama Cha Mapinduzi.
2mbili ndio amsumbue lisu?
 
Unamsikiliza huyu Dalali ?; Tunahangaika kujadili Matukio wakati in really sense mambo hayaendi.

Yaani kwa Resources za Tanzania ni mambo yanavyokwenda ni aibu; alijisemea Nester Marley, In abundance of Water a Fool is Thirsty...

Case in point tunamuita Adani ili aje awekeze (Tanesco) tukijua kwa kufanya hivyo bei itaongezeka wakati huo huo tunapigia udalali gesi LPG wakati ni gharama zaidi ya mara mbili kuliko watu wakipikia umeme (Kijijini) Sasa hao watu kama vitu simple kama hivi wanawadangaya wananchi itakuja kuwa vitu tusivyoviona ?
 
View attachment 3212307
===
Kwa Mtazamo wangu Mtu pekee toka CCM anayeweza kumnyoosha vema Tundu Lissu kwa hoja mujarabu ni huyu Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila,

Kwa utafiti mdogo nilioufanya mitandaoni ni wazi Watanzania walio wengi wanatamani katika Uchaguzi Mkuu Ujao Kafulila awe kampeni meneja wa Rais Samia ili tumnyooshe vizuri huyu Tundu Lissu na CHADEMA yake kwa hoja,

Lissu ni mtu mwenye akili sana na Leo anasaidiana kwa karibu na John Heche Pamoja Godbless Lemma hawa watu wote ni watu hatari sana kwenye hoja hivyo CCM lazima ijipange kuvulumushiwa hoja Kali kali kuanzia sasa hivyo watu kama akina Kafulila, Polepole, Dkt Bashiru wanahitaji Sasa.


Kidumu chama Cha Mapinduzi.
Kumbuka huyu bwana mdogo kafulila ana gpa ya 2.2 BBA pale mlimani. Lisu ana gpa 4.9 LLB. Hivyo ni maji na mbingu
 
Kama nimekuelewa vizuri ni kwamba, mama hana jeuri ya kupambana na Lissu kwenye hoja na sio mama tu, huko ccm hakuna mwenye uwezo wa kumfikia Lissu kihoja na kiushawishi na ndio sasa umekuja na pendekezo la kampeni meneja awe Kafulila. Swali langu kwako, why unaona bora Kafulila awe kampeni meneja na haukufikiria kwamba yeye ndio awe mgombea urais kwa tiketi ccm mwaka hu? Kwa kufanya hivo, Lissu atakua anajibiwa na mgombea mwenzie badala ya mtu kati
 
Back
Top Bottom