Uelekeo555
Senior Member
- Jun 1, 2024
- 160
- 112
Hata Mimi huwa simfahamu jamaa ni chama ganiUmekula?
Nimekuona juzi unamuunga mkono Mbowe kapigwa umerudi tena CCM,
WEWE NI MALAYA LA KISIASA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Mimi huwa simfahamu jamaa ni chama ganiUmekula?
Nimekuona juzi unamuunga mkono Mbowe kapigwa umerudi tena CCM,
WEWE NI MALAYA LA KISIASA
Easy to do business nadhani Kafulila ndio alimaanishaMbona hata kwa data za sasa za World Bank Tanzania inapitwa vibaya sana hata na jirani zetu Kenya tu?
Katika kipimo ambacho 1 ni "most business friendly" Kenya wana 56 na Tanzania wana 141.
In fact Rwanda imewaangusha hata Kenya kwa kuwa na score ya 38.
Hii nayo anaibishia bado?
![]()
Lissu is so smart anahitaji watu Smart kumkabiliNaona kila kada anashambulia kwa zam, ndio option iliyobaki
Huna ushahidiUnamlinganisha tumbili na mbarikiwa Tundulissu muulize JPM kwanini aligiza apigwe risasi 38.
Easy to do business nadhani Kafulila ndio alimaanisha
View attachment 3212307
===
Kwa Mtazamo wangu Mtu pekee toka CCM anayeweza kumnyoosha vema Tundu Lissu kwa hoja mujarabu ni huyu Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila,
Kwa utafiti mdogo nilioufanya mitandaoni ni wazi Watanzania walio wengi wanatamani katika Uchaguzi Mkuu Ujao Kafulila awe kampeni meneja wa Rais Samia ili tumnyooshe vizuri huyu Tundu Lissu na CHADEMA yake kwa hoja,
Lissu ni mtu mwenye akili sana na Leo anasaidiana kwa karibu na John Heche Pamoja Godbless Lemma hawa watu wote ni watu hatari sana kwenye hoja hivyo CCM lazima ijipange kuvulumushiwa hoja Kali kali kuanzia sasa hivyo watu kama akina Kafulila, Polepole, Dkt Bashiru wanahitaji Sasa.
Kidumu chama Cha Mapinduzi.
Kaihuisha PPPHivi hijo akili ya TUMBILI anayosifiwa nayo ni kwa kitu gani alichokifanya?
Ndio Nini?Mdude Nyagali.
Kafulila kwa sasa ni mtumishi wa serikali, si mtumishi wa CCM. Kafulila anapojibishana na wanasiasa anakiuka kanuni za ajira ya watumishi wa serikali.View attachment 3212307
===
Kwa Mtazamo wangu Mtu pekee toka CCM anayeweza kumnyoosha vema Tundu Lissu kwa hoja mujarabu ni huyu Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila,
Kwa utafiti mdogo nilioufanya mitandaoni ni wazi Watanzania walio wengi wanatamani katika Uchaguzi Mkuu Ujao Kafulila awe kampeni meneja wa Rais Samia ili tumnyooshe vizuri huyu Tundu Lissu na CHADEMA yake kwa hoja,
Lissu ni mtu mwenye akili sana na Leo anasaidiana kwa karibu na John Heche Pamoja Godbless Lemma hawa watu wote ni watu hatari sana kwenye hoja hivyo CCM lazima ijipange kuvulumushiwa hoja Kali kali kuanzia sasa hivyo watu kama akina Kafulila, Polepole, Dkt Bashiru wanahitaji Sasa.
Kidumu chama Cha Mapinduzi.
Kafulila alikua NCCRDr. Slaa na Lissu walimfukuza huyu jamaa CDM. Dr. Slaa akamwita dogo sisimizi.
Hatujasahau bado.
Alitoka CDM lakiniKafulila alikua NCCR
Kafulila ni Mwana CCM lazima aitetee CCM yake wakati woteKafulila kwa sasa ni mtumishi wa serikali, si mtumishi wa CCM. Kafulila anapojibishana na wanasiasa anakiuka kanuni za ajira ya watumishi wa serikali.
Your correct, ipo haja yakupeleka shauri tume ya maadili ya watumishi wa umma, hatakama alitaka kukanusha hakupaswa kumtaja kwa jinaKafulila kwa sasa ni mtumishi wa serikali, si mtumishi wa CCM. Kafulila anapojibishana na wanasiasa anakiuka kanuni za ajira ya watumishi wa serikali.
Mkuu, kweni huyo Kafulila si amepevukia hukuhku upinzani; Je alikuwa na cheo gani kikubwa? CHADEMA ndicho kinacho tengeneza vijana na hatimae kuvinufaisha vyama vingine.Sasa unataka kumfananisha Kafulila na nani hapo CHADEMA?
Ni Kweli na Kafulila ni levels za hao akina LissuMkuu, kweni huyo Kafulila si amepevukia hukuhku upinzani; Je alikuwa na cheo gani kikubwa? CHADEMA ndicho kinacho tengeneza vijana na hatimae kuvinufaisha vyama vingine.
Hayuko informedKwahiyo ilikuwepo ikafutwa sasa uongo wa lisu uko wapi?
yaani lissu asumbuliwe na tumbili,utakuwa umebanwa na haja kubwa weweView attachment 3212307
===
Kwa mtizamo wangu Mtu pekee toka Chama Cha Mapinduzi CCM anayeweza kumnyoosha sawasawa Tundu Lissu kwa hoja mujarabu tena kwa data ni huyu Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila,
Kwa utafiti wangu mdogo nilioufanya mitandaoni ni wazi Watanzania walio wengi hasa wanaCCM wanatamani katika Uchaguzi Mkuu Ujao Kafulila awe kampeni meneja wa Rais Samia ili tuweze kumnyoosha vizuri huyu Tundu Lissu na CHADEMA yake kwa hoja,
Kila mmoja anafahamu Lissu ni mtu mwenye akili sana na Leo anasaidiana kwa karibu na John Heche Pamoja Godbless Lemma hawa watu wote ni watu hatari sana kwenye hoja hivyo CCM lazima ijipange kuvulumushiwa hoja Kali kali kuanzia sasa hivyo watu kama akina Kafulila, Polepole, Dkt Bashiru wanahitaji Sasa Kwa Sasa.
Sijatumwa ni kihere here changu tu
Kidumu chama Cha Mapinduzi.
🤔🤔🤔Kiswaswadu mtu mbadi sana alimnyang'anya ngedere mke hivi hivi.
Nyie mleteni Sasa kwenye midahaloyaani lissu asumbuliwe na tumbili,utakuwa umebanwa na haja kubwa wewe