TensorFlow
JF-Expert Member
- Feb 11, 2020
- 993
- 1,286
Naona mtu anataka kutembelea nyota ya TAL!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenda wapi?Naona mtu anataka kutembelea nyota ya TAL!
Huyu mke wa Kafulila tunamjua anaishi kwa ujanja ujanja kama mume wakeNaona mtu anataka kutembelea nyota ya TAL!
Daaah😭😭😭View attachment 3212307
===
Kwa mtizamo wangu Mtu pekee toka Chama Cha Mapinduzi CCM anayeweza kumnyoosha sawasawa Tundu Lissu kwa hoja mujarabu tena kwa data ni huyu Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila,
Kwa utafiti wangu mdogo nilioufanya mitandaoni ni wazi Watanzania walio wengi hasa wanaCCM wanatamani katika Uchaguzi Mkuu Ujao Kafulila awe kampeni meneja wa Rais Samia ili tuweze kumnyoosha vizuri huyu Tundu Lissu na CHADEMA yake kwa hoja,
Kila mmoja anafahamu Lissu ni mtu mwenye akili na hoja sana mbaya zaidi anasaidiana kwa karibu na John Heche Pamoja Godbless Lemma hawa wote ni watu wenye hoja Kali,
Kwa sababu hiyo, CCM lazima ijipange kuvulumushiwa hoja kali kali kuanzia sasa ndio maana watu kama akina David Kafulila, Hampfrey Polepole, Dkt Bashiru Ally wanahitaji Sana Kwa Sasa.
Sijatumwa ni kihere here changu tu
Kidumu chama Cha Mapinduzi.
Ni kweli kwa Kafulila Upinzani tulipoteza mtu muhimu sanaView attachment 3212307
===
Kwa mtizamo wangu Mtu pekee toka Chama Cha Mapinduzi CCM anayeweza kumnyoosha sawasawa Tundu Lissu kwa hoja mujarabu tena kwa data ni huyu Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila,
Kwa utafiti wangu mdogo nilioufanya mitandaoni ni wazi Watanzania walio wengi hasa wanaCCM wanatamani katika Uchaguzi Mkuu Ujao Kafulila awe kampeni meneja wa Rais Samia ili tuweze kumnyoosha vizuri huyu Tundu Lissu na CHADEMA yake kwa hoja,
Kila mmoja anafahamu Lissu ni mtu mwenye akili na hoja sana mbaya zaidi anasaidiana kwa karibu na John Heche Pamoja Godbless Lemma hawa wote ni watu wenye hoja Kali,
Kwa sababu hiyo, CCM lazima ijipange kuvulumushiwa hoja kali kali kuanzia sasa ndio maana watu kama akina David Kafulila, Hampfrey Polepole, Dkt Bashiru Ally wanahitaji Sana Kwa Sasa.
Sijatumwa ni kihere here changu tu
Kidumu chama Cha Mapinduzi.
Muongo sanaView attachment 3212307
===
Kwa mtizamo wangu Mtu pekee toka Chama Cha Mapinduzi CCM anayeweza kumnyoosha sawasawa Tundu Lissu kwa hoja mujarabu tena kwa data ni huyu Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila,
Kwa utafiti wangu mdogo nilioufanya mitandaoni ni wazi Watanzania walio wengi hasa wanaCCM wanatamani katika Uchaguzi Mkuu Ujao Kafulila awe kampeni meneja wa Rais Samia ili tuweze kumnyoosha vizuri huyu Tundu Lissu na CHADEMA yake kwa hoja,
Kila mmoja anafahamu Lissu ni mtu mwenye akili na hoja sana mbaya zaidi anasaidiana kwa karibu na John Heche Pamoja Godbless Lemma hawa wote ni watu wenye hoja Kali,
Kwa sababu hiyo, CCM lazima ijipange kuvulumushiwa hoja kali kali kuanzia sasa ndio maana watu kama akina David Kafulila, Hampfrey Polepole, Dkt Bashiru Ally wanahitaji Sana Kwa Sasa.
Sijatumwa ni kihere here changu tu
Kidumu chama Cha Mapinduzi.
Maswali gani haya?Umekula?
Nimekuona juzi unamuunga mkono Mbowe kapigwa umerudi tena CCM,
WEWE NI MALAYA LA KISIASA
huyo tumbili saizi yake ni wasira.Nyie mleteni Sasa kwenye midahalo
Unajibuje hoja za cdm kaka bila bunduki hakuna wa kujibu hoja za cdm maana ni hoja zenye mantiki na zinaeleweka kwa wananchi to the inner parts of their hearts.View attachment 3212307
===
Kwa mtizamo wangu Mtu pekee toka Chama Cha Mapinduzi CCM anayeweza kumnyoosha sawasawa Tundu Lissu kwa hoja mujarabu tena kwa data ni huyu Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila,
Kwa utafiti wangu mdogo nilioufanya mitandaoni ni wazi Watanzania walio wengi hasa wanaCCM wanatamani katika Uchaguzi Mkuu Ujao Kafulila awe kampeni meneja wa Rais Samia ili tuweze kumnyoosha vizuri huyu Tundu Lissu na CHADEMA yake kwa hoja,
Kila mmoja anafahamu Lissu ni mtu mwenye akili na hoja sana mbaya zaidi anasaidiana kwa karibu na John Heche Pamoja Godbless Lemma hawa wote ni watu wenye hoja Kali,
Kwa sababu hiyo, CCM lazima ijipange kuvulumushiwa hoja kali kali kuanzia sasa ndio maana watu kama akina David Kafulila, Hampfrey Polepole, Dkt Bashiru Ally wanahitaji Sana Kwa Sasa.
Sijatumwa ni kihere here changu tu
Kidumu chama Cha Mapinduzi.
Labda kidogo mno kwenye mambo ya kiuchumi.Kila mmoja anafahamu Lissu ni mtu mwenye akili na hoja sana mbaya zaidi anasaidiana kwa karibu na John Heche Pamoja Godbless Lemma hawa wote ni watu wenye hoja Kali,
CCM ndio SerikaliKafulila kwa sasa ni mtumishi wa serikali, si mtumishi wa CCM. Kafulila anapojibishana na wanasiasa anakiuka kanuni za ajira ya watumishi wa serikali.
Sio kweli Mkuu, Kafulila maisha yake anayaendesha kwa kutegemea ajira ili apate ujira; wakati Lisu hujiajiri mwenyewe, hategemei ajira za Serikali na ndio maana ana uwezo wa kuwa upinzani.Ni Kweli na Kafulila ni levels za hao akina Lissu
Ni mchumia turbo tu kama wengine ndio maana akachagua kuwa upinzani ili atoboe na hatimaye kupata ajira. Angekuwa upo humo humo ndani ya Chama, angendelea na mapambio ya zidumu! Aidha nampongeza kwa kuchanga karate zake vizuri; bali asitukane Mkunga wakati uzazi ungalipo.Ni kweli kwa Kafulila Upinzani tulipoteza mtu muhimu sana
Kwani umpende ni mume wako?sikapendi aka kamtu ka kigoma[emoji34], anaaibisha sana waha, yeye na wapuuzi wenzake mwijaku na baba revo[emoji34]
Polepole pia anahoja Kali KaliLissu dawa yake ni Kafulila na Mwigulu tu
Acha kuhangaika Kafulila ana mambo mengi mazuri kuliko LissuSio kweli Mkuu, Kafulila maisha yake anayaendesha kwa kutegemea ajira ili apate ujira; wakati Lisu hujiajiri mwenyewe, hategemei ajira za Serikali na ndio maana ana uwezo wa kuwa upinzani.
Ni mchumia turbo tu kama wengine ndio maana akachagua kuwa upinzani ili atoboe na hatimaye kupata ajira. Angekuwa upo humo humo ndani ya Chama, angendelea na mapambio ya zidumu! Aidha nampongeza kwa kuchanga karate zake vizuri; bali asitukane Mkunga wakati uzazi ungalipo.
Yaah! Nakubalia nawe kwamba ana mambo mazuri, kwa maana ya "fikra za kimaendeleo", lakini sio kwa mfananisho huo.Acha kuhangaika Kafulila ana mambo mengi mazuri kuliko Kafulila
kingedele kinajitutumua maninaView attachment 3212307
===
Kwa mtizamo wangu Mtu pekee toka Chama Cha Mapinduzi CCM anayeweza kumnyoosha sawasawa Tundu Lissu kwa hoja mujarabu tena kwa data ni huyu Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila,
Kwa utafiti wangu mdogo nilioufanya mitandaoni ni wazi Watanzania walio wengi hasa wanaCCM wanatamani katika Uchaguzi Mkuu Ujao Kafulila awe kampeni meneja wa Rais Samia ili tuweze kumnyoosha vizuri huyu Tundu Lissu na CHADEMA yake kwa hoja,
Kila mmoja anafahamu Lissu ni mtu mwenye akili na hoja sana mbaya zaidi anasaidiana kwa karibu na John Heche Pamoja Godbless Lemma hawa wote ni watu wenye hoja Kali,
Kwa sababu hiyo, CCM lazima ijipange kuvulumushiwa hoja kali kali kuanzia sasa ndio maana watu kama akina David Kafulila, Hampfrey Polepole, Dkt Bashiru Ally wanahitaji Sana Kwa Sasa.
Sijatumwa ni kihere here changu tu
Kidumu chama Cha Mapinduzi.