David Kafulila: Huyu Tundu Lissu ni muongo

David Kafulila: Huyu Tundu Lissu ni muongo

View attachment 3212307
===
Kwa mtizamo wangu Mtu pekee toka Chama Cha Mapinduzi CCM anayeweza kumnyoosha sawasawa Tundu Lissu kwa hoja mujarabu tena kwa data ni huyu Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila,

Kwa utafiti wangu mdogo nilioufanya mitandaoni ni wazi Watanzania walio wengi hasa wanaCCM wanatamani katika Uchaguzi Mkuu Ujao Kafulila awe kampeni meneja wa Rais Samia ili tuweze kumnyoosha vizuri huyu Tundu Lissu na CHADEMA yake kwa hoja,

Kila mmoja anafahamu Lissu ni mtu mwenye akili na hoja sana mbaya zaidi anasaidiana kwa karibu na John Heche Pamoja Godbless Lemma hawa wote ni watu wenye hoja Kali,

Kwa sababu hiyo, CCM lazima ijipange kuvulumushiwa hoja kali kali kuanzia sasa ndio maana watu kama akina David Kafulila, Hampfrey Polepole, Dkt Bashiru Ally wanahitaji Sana Kwa Sasa.

Sijatumwa ni kihere here changu tu

Kidumu chama Cha Mapinduzi.
Daaah😭😭😭
 
View attachment 3212307
===
Kwa mtizamo wangu Mtu pekee toka Chama Cha Mapinduzi CCM anayeweza kumnyoosha sawasawa Tundu Lissu kwa hoja mujarabu tena kwa data ni huyu Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila,

Kwa utafiti wangu mdogo nilioufanya mitandaoni ni wazi Watanzania walio wengi hasa wanaCCM wanatamani katika Uchaguzi Mkuu Ujao Kafulila awe kampeni meneja wa Rais Samia ili tuweze kumnyoosha vizuri huyu Tundu Lissu na CHADEMA yake kwa hoja,

Kila mmoja anafahamu Lissu ni mtu mwenye akili na hoja sana mbaya zaidi anasaidiana kwa karibu na John Heche Pamoja Godbless Lemma hawa wote ni watu wenye hoja Kali,

Kwa sababu hiyo, CCM lazima ijipange kuvulumushiwa hoja kali kali kuanzia sasa ndio maana watu kama akina David Kafulila, Hampfrey Polepole, Dkt Bashiru Ally wanahitaji Sana Kwa Sasa.

Sijatumwa ni kihere here changu tu

Kidumu chama Cha Mapinduzi.
Ni kweli kwa Kafulila Upinzani tulipoteza mtu muhimu sana
 
View attachment 3212307
===
Kwa mtizamo wangu Mtu pekee toka Chama Cha Mapinduzi CCM anayeweza kumnyoosha sawasawa Tundu Lissu kwa hoja mujarabu tena kwa data ni huyu Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila,

Kwa utafiti wangu mdogo nilioufanya mitandaoni ni wazi Watanzania walio wengi hasa wanaCCM wanatamani katika Uchaguzi Mkuu Ujao Kafulila awe kampeni meneja wa Rais Samia ili tuweze kumnyoosha vizuri huyu Tundu Lissu na CHADEMA yake kwa hoja,

Kila mmoja anafahamu Lissu ni mtu mwenye akili na hoja sana mbaya zaidi anasaidiana kwa karibu na John Heche Pamoja Godbless Lemma hawa wote ni watu wenye hoja Kali,

Kwa sababu hiyo, CCM lazima ijipange kuvulumushiwa hoja kali kali kuanzia sasa ndio maana watu kama akina David Kafulila, Hampfrey Polepole, Dkt Bashiru Ally wanahitaji Sana Kwa Sasa.

Sijatumwa ni kihere here changu tu

Kidumu chama Cha Mapinduzi.
Muongo sana
 
View attachment 3212307
===
Kwa mtizamo wangu Mtu pekee toka Chama Cha Mapinduzi CCM anayeweza kumnyoosha sawasawa Tundu Lissu kwa hoja mujarabu tena kwa data ni huyu Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila,

Kwa utafiti wangu mdogo nilioufanya mitandaoni ni wazi Watanzania walio wengi hasa wanaCCM wanatamani katika Uchaguzi Mkuu Ujao Kafulila awe kampeni meneja wa Rais Samia ili tuweze kumnyoosha vizuri huyu Tundu Lissu na CHADEMA yake kwa hoja,

Kila mmoja anafahamu Lissu ni mtu mwenye akili na hoja sana mbaya zaidi anasaidiana kwa karibu na John Heche Pamoja Godbless Lemma hawa wote ni watu wenye hoja Kali,

Kwa sababu hiyo, CCM lazima ijipange kuvulumushiwa hoja kali kali kuanzia sasa ndio maana watu kama akina David Kafulila, Hampfrey Polepole, Dkt Bashiru Ally wanahitaji Sana Kwa Sasa.

Sijatumwa ni kihere here changu tu

Kidumu chama Cha Mapinduzi.
Unajibuje hoja za cdm kaka bila bunduki hakuna wa kujibu hoja za cdm maana ni hoja zenye mantiki na zinaeleweka kwa wananchi to the inner parts of their hearts.
Ni aidha ccm wakubali kubadilika au la lazima tutajua uchafu mwingi zaidi utakaoifanya ccm ionekane ya hovyo zaidi
 
Kila mmoja anafahamu Lissu ni mtu mwenye akili na hoja sana mbaya zaidi anasaidiana kwa karibu na John Heche Pamoja Godbless Lemma hawa wote ni watu wenye hoja Kali,
Labda kidogo mno kwenye mambo ya kiuchumi.
Kwa hoja za Kikatiba tumbili hatoboi
 
Ni Kweli na Kafulila ni levels za hao akina Lissu
Sio kweli Mkuu, Kafulila maisha yake anayaendesha kwa kutegemea ajira ili apate ujira; wakati Lisu hujiajiri mwenyewe, hategemei ajira za Serikali na ndio maana ana uwezo wa kuwa upinzani.
Ni kweli kwa Kafulila Upinzani tulipoteza mtu muhimu sana
Ni mchumia turbo tu kama wengine ndio maana akachagua kuwa upinzani ili atoboe na hatimaye kupata ajira. Angekuwa upo humo humo ndani ya Chama, angendelea na mapambio ya zidumu! Aidha nampongeza kwa kuchanga karate zake vizuri; bali asitukane Mkunga wakati uzazi ungalipo.
 
Sio kweli Mkuu, Kafulila maisha yake anayaendesha kwa kutegemea ajira ili apate ujira; wakati Lisu hujiajiri mwenyewe, hategemei ajira za Serikali na ndio maana ana uwezo wa kuwa upinzani.

Ni mchumia turbo tu kama wengine ndio maana akachagua kuwa upinzani ili atoboe na hatimaye kupata ajira. Angekuwa upo humo humo ndani ya Chama, angendelea na mapambio ya zidumu! Aidha nampongeza kwa kuchanga karate zake vizuri; bali asitukane Mkunga wakati uzazi ungalipo.
Acha kuhangaika Kafulila ana mambo mengi mazuri kuliko Lissu
 
View attachment 3212307
===
Kwa mtizamo wangu Mtu pekee toka Chama Cha Mapinduzi CCM anayeweza kumnyoosha sawasawa Tundu Lissu kwa hoja mujarabu tena kwa data ni huyu Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila,

Kwa utafiti wangu mdogo nilioufanya mitandaoni ni wazi Watanzania walio wengi hasa wanaCCM wanatamani katika Uchaguzi Mkuu Ujao Kafulila awe kampeni meneja wa Rais Samia ili tuweze kumnyoosha vizuri huyu Tundu Lissu na CHADEMA yake kwa hoja,

Kila mmoja anafahamu Lissu ni mtu mwenye akili na hoja sana mbaya zaidi anasaidiana kwa karibu na John Heche Pamoja Godbless Lemma hawa wote ni watu wenye hoja Kali,

Kwa sababu hiyo, CCM lazima ijipange kuvulumushiwa hoja kali kali kuanzia sasa ndio maana watu kama akina David Kafulila, Hampfrey Polepole, Dkt Bashiru Ally wanahitaji Sana Kwa Sasa.

Sijatumwa ni kihere here changu tu

Kidumu chama Cha Mapinduzi.
kingedele kinajitutumua manina
 
Back
Top Bottom