David Kafulila: Huyu Tundu Lissu ni muongo

David Kafulila: Huyu Tundu Lissu ni muongo

Ndio mtu pekee anaweza kumnyoosha
Ndugai alisema mataifa mengine duniani hutafuta watu wa juu kiakili katika kuingia mikataba mbali mbali kati ya nchi na na nchi , na yupo sahii nileteni Kafulila, ndio amekua Mbunge ila kwenye mdaharo nitamkamua mpaka aseme Yesu ni Bwana
 
Kama nimekuelewa vizuri ni kwamba, mama hana jeuri ya kupambana na Lissu kwenye hoja na sio mama tu, huko ccm hakuna mwenye uwezo wa kumfikia Lissu kihoja na kiushawishi na ndio sasa umekuja na pendekezo la kampeni meneja awe Kafulila. Swali langu kwako, why unaona bora Kafulila awe kampeni meneja na haukufikiria kwamba yeye ndio awe mgombea urais kwa tiketi ccm mwaka hu? Kwa kufanya hivo, Lissu atakua anajibiwa na mgombea mwenzie badala ya mtu kati
Ukifuatilia Bunge la 2010-15 utaelewa kwanini Kafulila na Lissu wanaweza kutoshana nguvu kwenye majukwaa ya kampeni
 
Ndugai alisema mataifa mengine duniani hutafuta watu wa juu kiakili katika kuingia mikataba mbali mbali kati ya nchi na na nchi , na yupo sahii nileteni Kafulila, ndio amekua Mbunge ila kwenye mdaharo nitamkamua mpaka aseme Yesu ni Bwana
Kweli Yesu ni Bwana ila Lissu hamuwezi Kafulila kwa hoja hata kidogo
 
Ukifuatilia Bunge la 2010-15 utaelewa kwanini Kafulila na Lissu wanaweza kutoshana nguvu kwenye majukwaa ya kampeni
Una humwa , nimesema Prof kabudi kwa mbali , na shida inakuja dr Nshala tiyari ni mjumbe wa kamati kuu ,ccm jipange kabidhi madaraka mwaka huu, vinginevyo ICC inawaita kwa kasi sana Asema Bwana
 
CCM Sasa Hivi Jahazi Imezama
YULE DC Wa Kisarawe Anayesema Mpeche Mpeche
 
Tumbili kama tumbili.
image-insert-your-face-monkey-baby-animal-34515.jpg
 
View attachment 3212307
===
Kwa Mtazamo wangu Mtu pekee toka CCM anayeweza kumnyoosha vema Tundu Lissu kwa hoja mujarabu ni huyu Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila,

Kwa utafiti mdogo nilioufanya mitandaoni ni wazi Watanzania walio wengi wanatamani katika Uchaguzi Mkuu Ujao Kafulila awe kampeni meneja wa Rais Samia ili tumnyooshe vizuri huyu Tundu Lissu na CHADEMA yake kwa hoja,

Lissu ni mtu mwenye akili sana na Leo anasaidiana kwa karibu na John Heche Pamoja Godbless Lemma hawa watu wote ni watu hatari sana kwenye hoja hivyo CCM lazima ijipange kuvulumushiwa hoja Kali kali kuanzia sasa hivyo watu kama akina Kafulila, Polepole, Dkt Bashiru wanahitaji Sasa.


Kidumu chama Cha Mapinduzi.
Kumaanisha
 
Mbona hata kwa data za sasa za World Bank Tanzania inapitwa vibaya sana hata na jirani zetu Kenya tu?

Katika kipimo ambacho 1 ni "most business friendly" Kenya wana 56 na Tanzania wana 141.

In fact Rwanda imewaangusha hata Kenya kwa kuwa na score ya 38.

Hii nayo anaibishia bado?

 
View attachment 3212307
===
Kwa Mtazamo wangu Mtu pekee toka CCM anayeweza kumnyoosha vema Tundu Lissu kwa hoja mujarabu ni huyu Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila,

Kwa utafiti mdogo nilioufanya mitandaoni ni wazi Watanzania walio wengi wanatamani katika Uchaguzi Mkuu Ujao Kafulila awe kampeni meneja wa Rais Samia ili tumnyooshe vizuri huyu Tundu Lissu na CHADEMA yake kwa hoja,

Lissu ni mtu mwenye akili sana na Leo anasaidiana kwa karibu na John Heche Pamoja Godbless Lemma hawa watu wote ni watu hatari sana kwenye hoja hivyo CCM lazima ijipange kuvulumushiwa hoja Kali kali kuanzia sasa hivyo watu kama akina Kafulila, Polepole, Dkt Bashiru wanahitaji Sasa.


Kidumu chama Cha Mapinduzi.
Mhhh
 
Mbona hata kwa data za sasa za World Bank Tanzania inapitwa vibaya sana hata na jirani zetu Kenya tu?

Katika kipimo ambacho 1 ni "most business friendly" Kenya wana 56 na Tanzania wana 141.

In fact Rwanda imewaangusha hata Kenya kwa kuwa na score ya 38.

Hii nayo anaibishia bado?

Ya lini hii?
 
View attachment 3212307
===
Kwa Mtazamo wangu Mtu pekee toka CCM anayeweza kumnyoosha vema Tundu Lissu kwa hoja mujarabu ni huyu Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila,

Kwa utafiti mdogo nilioufanya mitandaoni ni wazi Watanzania walio wengi wanatamani katika Uchaguzi Mkuu Ujao Kafulila awe kampeni meneja wa Rais Samia ili tumnyooshe vizuri huyu Tundu Lissu na CHADEMA yake kwa hoja,

Lissu ni mtu mwenye akili sana na Leo anasaidiana kwa karibu na John Heche Pamoja Godbless Lemma hawa watu wote ni watu hatari sana kwenye hoja hivyo CCM lazima ijipange kuvulumushiwa hoja Kali kali kuanzia sasa hivyo watu kama akina Kafulila, Polepole, Dkt Bashiru wanahitaji Sasa.


Kidumu chama Cha Mapinduzi.
Kafulila ni sawa kabisa, Siasa za Sasa sio za maguvu ni hoja kwa hoja
 
View attachment 3212307
===
Kwa Mtazamo wangu Mtu pekee toka CCM anayeweza kumnyoosha vema Tundu Lissu kwa hoja mujarabu ni huyu Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila,

Kwa utafiti mdogo nilioufanya mitandaoni ni wazi Watanzania walio wengi wanatamani katika Uchaguzi Mkuu Ujao Kafulila awe kampeni meneja wa Rais Samia ili tumnyooshe vizuri huyu Tundu Lissu na CHADEMA yake kwa hoja,

Lissu ni mtu mwenye akili sana na Leo anasaidiana kwa karibu na John Heche Pamoja Godbless Lemma hawa watu wote ni watu hatari sana kwenye hoja hivyo CCM lazima ijipange kuvulumushiwa hoja Kali kali kuanzia sasa hivyo watu kama akina Kafulila, Polepole, Dkt Bashiru wanahitaji Sasa.


Kidumu chama Cha Mapinduzi.
Huyo ni Dalali/3rd part/Middle man wa Adani Group.
 
Ya lini hii?
Wameacha kuchapisha hizi lakini data za mwisho ni za 9/16/2021.

Hata tukiacha data za World Bank, na kuangalia sehemu nyingine, Tanzania inapitwa vibaya sana na Kenya na Rwanda, by any objective measure, which is the main point, a point which Kafulila is not addressing.
 
View attachment 3212307
===
Kwa Mtazamo wangu Mtu pekee toka CCM anayeweza kumnyoosha vema Tundu Lissu kwa hoja mujarabu ni huyu Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila,

Kwa utafiti mdogo nilioufanya mitandaoni ni wazi Watanzania walio wengi wanatamani katika Uchaguzi Mkuu Ujao Kafulila awe kampeni meneja wa Rais Samia ili tumnyooshe vizuri huyu Tundu Lissu na CHADEMA yake kwa hoja,

Lissu ni mtu mwenye akili sana na Leo anasaidiana kwa karibu na John Heche Pamoja Godbless Lemma hawa watu wote ni watu hatari sana kwenye hoja hivyo CCM lazima ijipange kuvulumushiwa hoja Kali kali kuanzia sasa hivyo watu kama akina Kafulila, Polepole, Dkt Bashiru wanahitaji Sasa.


Kidumu chama Cha Mapinduzi.
Naona kila kada anashambulia kwa zam, ndio option iliyobaki
 
Back
Top Bottom