Samiaagain2025
JF-Expert Member
- Dec 2, 2020
- 3,626
- 3,869
Wakati wanampiga risasi mwaka 2017 Kafulila alikuwa wapi?.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NikweliLissu hawezi Pambana na Kafulila kwa lolote,
nani alikuwa anawazuia kuwaurumisha CCM?John Heche Pamoja Godbless Lemma
Lisu sio size ya huyo tumbili.View attachment 3212307
===
Kwa Mtazamo wangu Mtu pekee toka CCM anayeweza kumnyoosha vema Tundu Lissu kwa hoja mujarabu ni huyu Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila,
Kwa utafiti mdogo nilioufanya mitandaoni ni wazi Watanzania walio wengi wanatamani katika Uchaguzi Mkuu Ujao Kafulila awe kampeni meneja wa Rais Samia ili tumnyooshe vizuri huyu Tundu Lissu na CHADEMA yake kwa hoja,
Lissu ni mtu mwenye akili sana na Leo anasaidiana kwa karibu na John Heche Pamoja Godbless Lemma hawa watu wote ni watu hatari sana kwenye hoja hivyo CCM lazima ijipange kuvulumushiwa hoja Kali kali kuanzia sasa hivyo watu kama akina Kafulila, Polepole, Dkt Bashiru wanahitaji Sasa.
Kidumu chama Cha Mapinduzi.
Kwa lipi hasa?Lisu sio size ya huyo tumbili.
Ccm itoe kwenye ushindani wa hoja, yenyewe inategemea vyombo vya dola tu, na ikilogwa ikiangia kwenye ushindani wa haki itapoteza pakubwa.View attachment 3212307
===
Kwa Mtazamo wangu Mtu pekee toka CCM anayeweza kumnyoosha vema Tundu Lissu kwa hoja mujarabu ni huyu Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila,
Kwa utafiti mdogo nilioufanya mitandaoni ni wazi Watanzania walio wengi wanatamani katika Uchaguzi Mkuu Ujao Kafulila awe kampeni meneja wa Rais Samia ili tumnyooshe vizuri huyu Tundu Lissu na CHADEMA yake kwa hoja,
Lissu ni mtu mwenye akili sana na Leo anasaidiana kwa karibu na John Heche Pamoja Godbless Lemma hawa watu wote ni watu hatari sana kwenye hoja hivyo CCM lazima ijipange kuvulumushiwa hoja Kali kali kuanzia sasa hivyo watu kama akina Kafulila, Polepole, Dkt Bashiru wanahitaji Sasa.
Kidumu chama Cha Mapinduzi.
Sawa Mr. Kafulila tumekupataView attachment 3212307
===
Kwa Mtazamo wangu Mtu pekee toka CCM anayeweza kumnyoosha vema Tundu Lissu kwa hoja mujarabu ni huyu Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila,
Kwa utafiti mdogo nilioufanya mitandaoni ni wazi Watanzania walio wengi wanatamani katika Uchaguzi Mkuu Ujao Kafulila awe kampeni meneja wa Rais Samia ili tumnyooshe vizuri huyu Tundu Lissu na CHADEMA yake kwa hoja,
Lissu ni mtu mwenye akili sana na Leo anasaidiana kwa karibu na John Heche Pamoja Godbless Lemma hawa watu wote ni watu hatari sana kwenye hoja hivyo CCM lazima ijipange kuvulumushiwa hoja Kali kali kuanzia sasa hivyo watu kama akina Kafulila, Polepole, Dkt Bashiru wanahitaji Sasa.
Kidumu chama Cha Mapinduzi.
Mtu wa PPP anatumikia wakina kundi Roma mkatolikiLisu hawezi kusumbuliwa na huyo mlamba asali hata siku moja
Hata Kafulila anajua hilo, kuanzia elimu mpaka familia, Lissu yuko juu.Lissu hawezi Pambana na Kafulila kwa lolote,
Kwani Lissu ana Nini cha ziada?Nimejilaum click video?? sasa kafulila ndy waku mpambanisha na lissu kwell kwa sas ccm wajuwe watu washapata elimu kuhusu siasa ni biashara kama biashara nyingine kwass kwa maoni yangu Kam TAl hakigombea CDM na Sa100 uchaguzi huu labda policcm,(chawa wa bosi time huru )wahingilie Kati kumtetea bosi
Kafulila labda hoja kidogo za uchumi, kwingine lissu atamtoa nock out.View attachment 3212307
===
Kwa Mtazamo wangu Mtu pekee toka CCM anayeweza kumnyoosha vema Tundu Lissu kwa hoja mujarabu ni huyu Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila,
Kwa utafiti mdogo nilioufanya mitandaoni ni wazi Watanzania walio wengi wanatamani katika Uchaguzi Mkuu Ujao Kafulila awe kampeni meneja wa Rais Samia ili tumnyooshe vizuri huyu Tundu Lissu na CHADEMA yake kwa hoja,
Lissu ni mtu mwenye akili sana na Leo anasaidiana kwa karibu na John Heche Pamoja Godbless Lemma hawa watu wote ni watu hatari sana kwenye hoja hivyo CCM lazima ijipange kuvulumushiwa hoja Kali kali kuanzia sasa hivyo watu kama akina Kafulila, Polepole, Dkt Bashiru wanahitaji Sasa.
Kidumu chama Cha Mapinduzi.
Kafulila ana nn Cha kumzidi lissu?Kwani Lissu ana Nini cha ziada?
Haahaa unaota weweAtamnyooaha Lissu huyu jamaa
Uadilifu wa Kafulila Lissu hagusiKafulila ana nn Cha kumzidi lissu?