Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
- #41
Hiki chuma kinakubalika na watu wote bila kujali vyama vyao na itikadi zao za kisiasa.Mimi ni CHADEMA ila Kafulila namkubali sana huyu Mwamba Aishi sana tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiki chuma kinakubalika na watu wote bila kujali vyama vyao na itikadi zao za kisiasa.Mimi ni CHADEMA ila Kafulila namkubali sana huyu Mwamba Aishi sana tu
Kafulila ni baba wa uzalendo na kila mpenda Taifa letu ni lazima ajiunge mkono Mheshimiwa Kafulila. Najuwa hata wewe hapo ulipo unamkubali sana Mwamba kwa uzalendo na uchapa kazi wake.Oya sa si awe baba Yako mzazi tu kwani shingapi!!?
Jamaa anachukia sana wizi hicho tu ndio kinanifanya nimkubali,Hiki chuma kinakubalika na watu wote bila kujali vyama vyao na itikadi zao za kisiasa.
🤣🤣🤣Hii habari ni kweli?wale wa china wa Kampuni ya CHICCO wakimuona jamaa wanakuwaga wekunduu hawataki ata kumsikia aliwapaga kurudia barabara ya Mwigumbi Maswa 🤣🤣🤣
Kwani ilikuwaje?🤣🤣🤣Hii habari ni kweli?
Ndio maana wana Simiyu wanaendelea kumkumbuka na kumkubali sana kuwa kuna chuma kilipita hapa Simiyu na kuipaisha Pamba kufikia 2200 kwa kilo moja bei iliyoweka historia. Angalia alivyosimamia matumizi sahihi ya pesa za umma kwa kuhakikisha kuwa miradi inajengwa kwa ubora kulingana na thamani ya pesa.ndio maana arimrejesha mkandarasi kurudia kutengeneza barabara zaidi ya kilomita 20 zenye thamani ya takribani Billion 40 baada ya kuwa ametengeneza chini ya kiwango na kinyume cha mkataba.Jamaa anachukia sana wizi hicho tu ndio kinanifanya nimkubali,
Kule SIMIYU aliwanyoosha wachuuzi wa PAMBA mpaka wakauza PAMBA kwa 2,000 Bei haijawahi kutokea tangu uhuru.
MIMI NI CHADEMA KWELI ILA KAFULILA NAMKUBALI
Ulikuwa mchongo tu watu wakavuta pesa kwa wachina bahati mbaya Mzee wa Escrow akawasali😆😆Kwani ilikuwaje?
Jamaa ni jembe na jasiri kwelikweli maana bila kuchukua hatua hiyo serikali ilikuwa inapata hasara ya kurudia ujenzi wa barabara hiyo kwa gharama zake za Billion 40. Lakini kwa ujasiri wake Mh Kafulila aliwarudisha mna kumuamuru mkandarasi arudie barabara kwa gharama zake mwenyewe.wale wa china wa Kampuni ya CHICCO wakimuona jamaa wanakuwaga wekunduu hawataki ata kumsikia aliwapaga kurudia barabara ya Mwigumbi Maswa 🤣🤣🤣
Inamaana Kafulila hagusi kabisa madili huyu jamaa?Ulikuwa mchongo tu watu wakavuta pesa kwa wachina bahati mbaya Mzee wa Escrow akawasali😆😆
Mheshimiwa Kafulila hajawahi kupinda wala kumuogopa mtu katika kutetea maslahi ya Taifa letu. Yeye wakati wote yupo upande wa Taifa na wananchi ndio maana hufanya kazi kwa bidii sanaUlikuwa mchongo tu watu wakavuta pesa kwa wachina bahati mbaya Mzee wa Escrow akawasali😆😆
Kiukweli sijawahi kusikia kabisa Kafulila anatuhumiwa kapiga dili la pesa sehemuInamaana Kafulila hagusi kabisa madili huyu jamaa?
Yes sahihi kabisa mkuu.Mheshimiwa Kafulila hajawahi kupinda wala kumuogopa mtu katika kutetea maslahi ya Taifa letu. Yeye wakati wote yupo upande wa Taifa na wananchi ndio maana hufanya kazi kwa bidii sana
Nasikia wazee wa Escrow walimletea zaidi 2.8bl dogo akachomoa 😀Ulikuwa mchongo tu watu wakavuta pesa kwa wachina bahati mbaya Mzee wa Escrow akawasali😆😆
Huyu ni msafi na mzalendo aliyenyooka kama rula. Nazani inafahamu sifa ya rula.rula huwa haipindi zaidi ya kukatika.kwanhiyo Mheshimiwa Kafulila huwezi ukampindisha kwa kutaka kumuhonga vipesa vyako ili aihujumu nchi yake anayoipenda kwa dhati. Yeye kwake ni Taifa kwanza.Inamaana Kafulila hagusi kabisa madili huyu jamaa?
Ivi jamaa kwao ni Matajiri sana?Nasikia wazee wa Escrow walimletea zaidi 2.8bl dogo akachomoa 😀
Na bado akaendelea kuuwasha moto kupita maelezo ambao kila fisadi na mla rushwa akashindwa kuuzima moto huo.Nasikia wazee wa Escrow walimletea zaidi 2.8bl dogo akachomoa 😀
Kwakweli sijui historia yake huko kwaoIvi jamaa kwao ni Matajiri sana?
Ila wangemdedisha aisee ni Mungu alimwokoa naona😆😆Na bado akaendelea kuuwasha moto kupita maelezo ambao kila fisadi na mla rushwa akashindwa kuuzima moto huo.