David Kafulila ni hazina kwa Taifa letu, anapaswa kutumiwa vyema kwa maslahi mapana ya nchi

David Kafulila ni hazina kwa Taifa letu, anapaswa kutumiwa vyema kwa maslahi mapana ya nchi

Mara nyingi huwa nakueleza Luca,uwe unaacha ujingaujinga. Huko mjini ndiyo mnakuwa wapuuzi hivyo?Kafulila hana tofauti na golddigger,opportunist fulani hivi.Anasaka maisha yake.Eti hazina!Hazina ya kijinga?
Angekuwa anasaka maisha basi angekuwa ni bilionea kwa sasa kwa pesa za Escrow na madili mengine makubwa makubwa ya kifisadi. Lakini kwa kuwa kanyooja kama rula aliyakataa mapesa yote ya ufisadi na rushwa. Najuwa hata ninyi ma CHADEMA mnamkubali na kumuogopa sana Chuma kwa misimamo yake thabiti ya uzalendo kwa Taifa letu na mnatamani sana angekuwa huko CHADEMA kwa kuwa ndani ya CHADEMA nzima hamna mtu mwenye uwezo wa kiakili kama Chuma Kafulila.
 
Mheshimiwa Kafulila hajawahi kutafuta vyeo wala kuwa na uchu wa madaraka na hajawahi kuwa na dhamira hiyo .Kiu yake kubwa ni kuona taifa letu likistawi na kusonga mbele kimaendeleo. Anastahili kupewa nafasi zaidi ya kutumika kwa Taifa letu.
Kweli wee ni zaidi ya pipa la sokoni
 
[emoji2][emoji2][emoji2]Acha dharau zako mzee Johnthebaptist . WAZALENDO aina ya Mheshimiwa Kafulila wanapaswa kupewa nguvu na kuungwa mkono kwa nguvu zote kutumikia Taifa letu.
Utaishia kuramba miguu ya wana siasa tu lkn kamwe hutopata teuzi
 
Angekuwa anasaka maisha basi angekuwa ni bilionea kwa sasa kwa pesa za Escrow na madili mengine makubwa makubwa ya kifisadi. Lakini kwa kuwa kanyooja kama rula aliyakataa mapesa yote ya ufisadi na rushwa. Najuwa hata ninyi ma CHADEMA mnamkubali na kumuogopa sana Chuma kwa misimamo yake thabiti ya uzalendo kwa Taifa letu na mnatamani sana angekuwa huko CHADEMA kwa kuwa ndani ya CHADEMA nzima hamna mtu mwenye uwezo wa kiakili kama Chuma Kafulila.
Nani alikudanganya walitaka kumpa hela?Hivi,ukikaa kwenye kijiwe chenu cha wachoma mkaa mnaamua tu kuanzisha uongouongo ili muda uende?Hela?Hela za ugoko wa paka?
 
Mimi sisifii bali naongea ukweli japo unaweza ukawa ni mchungu kwa msiopenda kuambiwa UKWELI. Tujenge utamaduni wa kuwatia moyo na kuwaunga mkono wazalendo Badala ya kuwakatisha tamaa na kuwapa ushindi mafisadi
Huna ukweli wowote maana akili huna
 
Utaishia kuramba miguu ya wana siasa tu lkn kamwe hutopata teuzi
Wala huwezi ukanikatisha tamaa katikakuwasemea na kuwaunga mkono WAZALENDO wa kweli wa Taifa letu aina ya Chuma David Kafulila.
 
Anapambana sana na anatakiwa kupewa nguvu ,kutiwa moyo na kuungwa mkono. Ikumbukwe siyo wote wanaofurahia kazi nzuri na ya kizalendo anayoifanya kuisemea serikali ya Rais Samia. Wengine wanapenda sana kuona serikali yetu na Rais wetu wakishambuliwa kwa nguvu bila kupata watetezi. Kwa hiyo wanapojitokeza watetezi aina ya David Kafulila wanakuwa wanaonekana kama maadui na wakwamishaji wa ajenda mbaya za siri Kwa Rais Samia na Serikali yake.
Mkuu hivi kweli wewe na Kafulila ndumila kuwili kiongozi mnaweza kumtetea Rais na serikali yake, na unaamini kabisa kuwa unao uwezo huo!!! Haya buana Lukasi! 🤣 🤣 🤣
 
Kwani kwa mfano ukawa mtendaji wa kijiji .je unakuwa haupo serikalini? Je mchango wako unaweza kufika wapi kwa nafasi hiyo ya utendaji wa kijiji?
Ndiyo hapo unajinyesha kuwa wewe ni mweupe kichwani
 
Back
Top Bottom