Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
- #101
Roho zinawauma sana CHADEMA kwa kuona kichwa hiki hakipo kwenu na ninyi kubakia na vichwa visivyoweza kuwaza wala kuwa na mipango hata ya siku moja tu mbele.mmebakia watu wa kurukia na kudandia matukio tu.Anabubujikwa na machozi muda huu.Luca ni hopeless material fulani hivi.