Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
-
- #101
Roho zinawauma sana CHADEMA kwa kuona kichwa hiki hakipo kwenu na ninyi kubakia na vichwa visivyoweza kuwaza wala kuwa na mipango hata ya siku moja tu mbele.mmebakia watu wa kurukia na kudandia matukio tu.Anabubujikwa na machozi muda huu.Luca ni hopeless material fulani hivi.
Mzalendo wa tumboMimi ni mzalendo na nilishasema wazi kuwa nawaunga watu wote wenye moyo wa uzalendo , Uchapa kazi na ujasiri wa kulitumikia Taifa letu. Mheshimiwa David Kafulila Ni Kiongozi mchapa kazi, mzalendo na jasiri. Hapa unaweza kurejea sakata la Escrow namna alivyolisismamia mpaka mwisho.
Wewe na mleta uzi wote ni chawaAtajuta nini? Uchawa utawaua, Yeye anatetea sera za Serikali
Pipa na funikoKafulila ni zaidi ya hazina,
Ukimwangalia Kafulila unamwona Mkapa na Jakaya ndani yake,
Ukimwangalia vizuri unamwona Mama Samia ndani yake,
Hakika kijana huyu atazamwe na Kila mpenda ustawi wa nchi yetu kama Msaada kwa Taifa.
Kama kwenye nafasi ndogo kama hii anafanyi hivi what if akipewa nafasi za kimamlaka?
Tuendelee kumwombea ndg yetu Kafulila hasa kuelekea Uchaguzi huu wa 2025 kama atakuwa na nia ya Ubunge basi Mungu ampe Hilo hitaji lake.
Viva Samia Viva Kafulila Viva.
===
Mpigaji balaa yule jamaa ila ukimwona anajifanya so smart na kuita watu mafalaJasili haachi asili Mtakatifu ni Polisi haachi kitu dadeki
Itapendeza akiwa ni mke wa pili wa KafulilaOya sa si awe baba Yako mzazi tu kwani shingapi!!?
Hapa hakuna uchama.Huyo unayesema ni hazina,hamna kitu.Snitch fulani mnayetaka kufanana tu.Mambo ya chama peleka kijijini kwenu.Roho zinawauma sana CHADEMA kwa kuona kichwa hiki hakipo kwenu na ninyi kubakia na vichwa visivyoweza kuwaza wala kuwa na mipango hata ya siku moja tu mbele.mmebakia watu wa kurukia na kudandia matukio tu.
Kwahiyo tumekubaliana kuwa ile jina la Tumbili wana ccm mmeliondoa na sasa ni binadamu?Huyu ni zaidi ya hazina,
Jamaa ni mpole na mnyenyekevu sana wa moyo.
Ila anachukia wizi na Ufisadi haijawahi kutokea duniani.
StupidNi lazima tukakikishe Mheshimiwa Kafulila anaingia Bungeni
Unaonaje ukawa mkewe wa pili?Mheshimiwa Kafulila ni jembe kwelikweli. Ni mtu aliyenyooka kama rula kwa uzalendo na usafi
Bora Mbowe na wale wanaovuta pesa za Abdul kimyakimya ndio mnawaona majemedari?Hapa hakuna uchama.Huyo unayesema ni hazina,hamna kitu.Snitch fulani mnayetaka kufanana tu.Mambo ya chama peleka kijijini kwenu.
Bahati mbaya Kafulila ana mkeKigoma lazima waelewe hii ni hazina kwa Taifa sio Kigoma pekee.
Hizo ndio akili zenu za CHADEMA na zilizojaa ndani ya CHADEMA na ndio maana chama kinaendelea kuserereka kuelekea shimoni kila uchwao na kuendelea kupuuzwa na watanzania.Unaonaje ukawa mkewe wa pili?
Huyo Mbowe kanywe naye mtori.Unaelezwa hili unaleta hadithi za Mbowe.Bora Mbowe na wale wanaovuta pesa za Abdul kimyakimya ndio mnawaona majemedari?
Lakini,yeye ni roboti Eunice!Bahati mbaya Kafulila ana mke
Makasiriko ya nini Kafulila hawezi kukaa chama Cha wapiga dili Kila siku.Kwahiyo tumekubaliana kuwa ile jina la Tumbili wana ccm mmeliondoa na sasa ni binadamu?
Kazi ya matusi ndio kazi pekee mnayoiweza kwa ufasaha. Hamuwezagi kujenga hoja.Stupid
Mnaumia sana CHADEMA .ninyi endeleeni kupambana na hali zenu na akili mgando mlizonazo huko huko.zisizo weza kukipeleka chama popote pale zaidi ya kukitumbukiza shimoni.Hapa hakuna uchama.Huyo unayesema ni hazina,hamna kitu.Snitch fulani mnayetaka kufanana tu.Mambo ya chama peleka kijijini kwenu.
Anataka awe Mbunge akaliamshe Bunge na kuwadhiniti CHADEMA kisawasawa.Kwani hivi Sasa hayupo serikali? Au atumikeje labda?