Acha kudharau Kilimo wewe mbulukenge hakuna kazi nzuri kama KilimoNa kwa nini utoetoe sifa tu kama punguani?Hakuna bustani mlime?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kudharau Kilimo wewe mbulukenge hakuna kazi nzuri kama KilimoNa kwa nini utoetoe sifa tu kama punguani?Hakuna bustani mlime?
Msaliti ni msaliti hata awe malaika hafai.Ndugu zangu Watanzania,
Nimeendelea kumfuatilia na kufuatilia mahojiano mbalimbali ambayo amekuwa akifanya na ambayo amefanya kupitia vyombo vya habari kuelezea mambo mbalimbali kuanzia uchumi,uwekezaji,biashara na mengine mengi. kila mtu pasipo kujali itikadi yake ya Kiasia au chama chake anakili kuwa Mheshimiwa David Kafulila Ni Hazina kubwa kwa Taifa letu na anapaswa kutumiwa vyema kwa maslahi mapana kwa Taifa letu.
Nimeona namna anavyoitetea na kuisemea vyema serikali yetu chini ya Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan kwa ufasaha ,hoja ,takwimu na ushahidi wa kiutafiti na wa ukweli. Anaeleza kwa lugha nyepesi ambayo watu wanamuelewa vyema sana huku mitaani na kuielewa vyema sana serikali yetu kupitia ufafanuzi wake anao utoa.
Anaeleza kwa utulivu,upole na unyenyekevu mkubwa sana. Angalia namna alivyoelezea juu ya Deni la Taifa,ongezeko la watalii hapa nchini ,suala la ajira na ukuaji wa uchumi wetu. Akaeleza kuwa pamoja na kwamba watu wanasema Deni limekuwa lakini uchumi wetu umekuwa zaidi ndani ya Muda mfupi wa Rais Samia kutoka Dolla Billioni 66 mpaka Dolla Billion 85. Akaeleza pia kuwa kukopa siyo dhambi bali inategemea unakopa kwa ajili ya nini.akasema kama unakopa kwa ajili ya kulipa mishahara hapo ndio inakuwa tatizo.
Mheshimiwa Kafulila amekuwa mtetezi mkubwa sana wa Rais Samia na serikali yake kupitia vyombo vya habari na mitandao. Anaifanya kazi hiyo kwa weledi na uzalendo mkubwa sana.anawafumbua macho watu wengi sana ambao wengi walikuwa wamepofushwa akili na macho na upotoshaji wa baadhi ya watu wenye nia mbaya na chuki binafsi na Mheshimiwa Rais na Serikali yake.
Mheshimiwa David Kafulila amefanikiwa kwa hoja nzito na kwa lugha rahisi na kwa takwimu kuzizima na kuzisambaratisha kabisa kama mvuke hoja za upinzani walizokuwa wanazitumia kupotosha wananchi hususan wale wasio na uelewa wa baadhi ya mambo hususani ya kiuchumi.
Mheshimiwa David Kafulila mbali na usomi wake mkubwa lakini unamuona ni mtu mnyenyekevu na mzalendo wa kweli kwa Taifa letu. Ni mtu na kiongozi aliye nyooka kama rula. Hanaga kupinda pinda. Ni mtu ambaye kwake nyeupe ni nyeupe na nyeusi ni nyeusi. Hata umshambulie kwa lugha kali utaona yeye amebakia katika utulivu na kujibu kwa hoja. Katika hili mnaweza kurejea mapambano ya hoja bungeni wakati wa sakata la Escrow namna alivyokuwa mtulivu katika kutoa hoja na kutetea hoja zake.
Mheshimiwa David Kafulila Ni chuma na kiongoz anayekubalika kwa hoja zake na watu wa vyama vyote iwe upinzani na ndani ya chama chetu cha CCM.kwa sababu yeye wakati wote husimama katika hoja na kuitetea hoja kwa takwimu.
Mheshimiwa Rais Aendelea kumtumia Mheshimiwa Kafulila kwa sababu ana mapenzi mema na Taifa letu na ni mzalendo na amekuwa mtetezi wake kwa yote ayafanyayo. wakati unakuta wengine wamejikausha tu pale serikali inaposhambuliwa kwa hoja za upotoshaji. Mheshimiwa Kafulila amekataa kabisa kivitendo kukaa kimya pale anapoona kuna watu wanapotosha mambo kwa lengo la kuichongaisha serikali na wananchi au kuifanya serikali ichukiwe na wananchi.amekuwa akitoka hadharani na kujibu mapigo kwa hoja na takwimu na kusambaratisha kabisa mijadala ya kiuopotoshaji.
Mheshimiwa David Kafulila Ni Hazina kwa Taifa letu tunayepaswa kumtumia kwa maslahi mapana ya Taifa letu. Ni mtu safi, mzalendo na mchapa kazi kwelikweli. Ndio maana huwezi ukamkuta na doa la rushwa au ufisadi au matumizi mabaya ya madaraka katika maeneo mbalimbali aliyoitumikia Taifa letu. Zaidi utakuta alama njema za kiutendaji alizoziacha katika maeneo aliyopita na kukumbukwa kwa uchapakazi wake ulioleta matokeo chanya.
Watanzania tunapaswa kuwatia moyo na kuwaunga mkono wazalendo aina ya Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan na David Kafulila. Tukikaa kimya tukaacha wakashambuliwa na wenye maslahi yao binafsi tutakuwa tunawakatisha tamaa na kuwapa ushindi mafisadi na wenye kulinyonya Taifa letu kwa mirija.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kawaambie wabunge na mawaziri wako wakalime kama kilimo ni kizuri.Unajisifia shida?Uliwahi kuona mtu analima kwa madaha au kwa kuringa na hatokwi jasho?Acha kudharau Kilimo wewe mbulukenge hakuna kazi nzuri kama Kilimo
Msaliti ni yule aliyeweka kwenye Katiba kwamba mwanachama anaweza kuhama toka CHAMA A kwenda CHAMA B.Msaliti ni msaliti hata awe malaika hafai.
Anafika bei!
Kazi kusifia wanaume wa watu amekupa nani!! Haya kapike na kupakua kwakeKafulila ni baba wa uzalendo na kila mpenda Taifa letu ni lazima ajiunge mkono Mheshimiwa Kafulila. Najuwa hata wewe hapo ulipo unamkubali sana Mwamba kwa uzalendo na uchapa kazi wake.
Hizo tsh.2bln uliziona anavyotaka kupewa?Au mnaanzisha tu vistori vya kuchomea mihogo?Msaliti ni yule aliyeweka kwenye Katiba kwamba mwanachama anaweza kuhama toka CHAMA A kwenda CHAMA B.
Niujinga tu wa wanachadema kuwa na uadui na mtu aliyekihama chama chao.
Yaani Tusioni Uzalendo wa mtu kukataa zaidi ya 2bl tuone eti shida kuhama chama tena kikatiba,
Taifa hili limeanza kupevuka mambo ya vyama Peleka kwa Msajili sisi tunataka watete wa Taifa tuwajue kwa majina na sura zao.
Ova.
Usiojua ni wewe peke yako.Hizo tsh.2bln uliziona anavyotaka kupewa?Au mnaanzisha tu vistori vya kuchomea mihogo?
Atakwambia yeye ni mama yake.Wewe unamjua kuliko anavyomjua aliyekua mke wake?
Kwa hiyo mkamshauri asipokee?Usiojua ni wewe peke yako.
Mbona hata Mayele anasema YANGA wanamajini tumwamini?Wewe unamjua kuliko anavyomjua aliyekua mke wake?
Mimi ata Kafulila simjui kwa maana ya mawasiliano ila nilikuwa nafuatilia mtanange ule na magazeti yaliandika dau lilotolewa kumnyamazishaKwa hiyo mkamshauri asipokee?
Na ukaamini.Bado sana.Mimi ata Kafulila simjui kwa maana ya mawasiliano ila nilikuwa nafuatilia mtanange ule na magazeti yaliandika dau lilotolewa kumnyamazisha
Ndugu zangu Watanzania,
Nimeendelea kumfuatilia na kufuatilia mahojiano mbalimbali ambayo amekuwa akifanya na ambayo amefanya kupitia vyombo vya habari kuelezea mambo mbalimbali kuanzia uchumi,uwekezaji,biashara na mengine mengi. kila mtu pasipo kujali itikadi yake ya Kiasia au chama chake anakili kuwa Mheshimiwa David Kafulila Ni Hazina kubwa kwa Taifa letu na anapaswa kutumiwa vyema kwa maslahi mapana kwa Taifa letu.
Nimeona namna anavyoitetea na kuisemea vyema serikali yetu chini ya Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan kwa ufasaha ,hoja ,takwimu na ushahidi wa kiutafiti na wa ukweli. Anaeleza kwa lugha nyepesi ambayo watu wanamuelewa vyema sana huku mitaani na kuielewa vyema sana serikali yetu kupitia ufafanuzi wake anao utoa.
Anaeleza kwa utulivu,upole na unyenyekevu mkubwa sana. Angalia namna alivyoelezea juu ya Deni la Taifa,ongezeko la watalii hapa nchini ,suala la ajira na ukuaji wa uchumi wetu. Akaeleza kuwa pamoja na kwamba watu wanasema Deni limekuwa lakini uchumi wetu umekuwa zaidi ndani ya Muda mfupi wa Rais Samia kutoka Dolla Billioni 66 mpaka Dolla Billion 85. Akaeleza pia kuwa kukopa siyo dhambi bali inategemea unakopa kwa ajili ya nini.akasema kama unakopa kwa ajili ya kulipa mishahara hapo ndio inakuwa tatizo.
Mheshimiwa Kafulila amekuwa mtetezi mkubwa sana wa Rais Samia na serikali yake kupitia vyombo vya habari na mitandao. Anaifanya kazi hiyo kwa weledi na uzalendo mkubwa sana.anawafumbua macho watu wengi sana ambao wengi walikuwa wamepofushwa akili na macho na upotoshaji wa baadhi ya watu wenye nia mbaya na chuki binafsi na Mheshimiwa Rais na Serikali yake.
Mheshimiwa David Kafulila amefanikiwa kwa hoja nzito na kwa lugha rahisi na kwa takwimu kuzizima na kuzisambaratisha kabisa kama mvuke hoja za upinzani walizokuwa wanazitumia kupotosha wananchi hususan wale wasio na uelewa wa baadhi ya mambo hususani ya kiuchumi.
Mheshimiwa David Kafulila mbali na usomi wake mkubwa lakini unamuona ni mtu mnyenyekevu na mzalendo wa kweli kwa Taifa letu. Ni mtu na kiongozi aliye nyooka kama rula. Hanaga kupinda pinda. Ni mtu ambaye kwake nyeupe ni nyeupe na nyeusi ni nyeusi. Hata umshambulie kwa lugha kali utaona yeye amebakia katika utulivu na kujibu kwa hoja. Katika hili mnaweza kurejea mapambano ya hoja bungeni wakati wa sakata la Escrow namna alivyokuwa mtulivu katika kutoa hoja na kutetea hoja zake.
Mheshimiwa David Kafulila Ni chuma na kiongoz anayekubalika kwa hoja zake na watu wa vyama vyote iwe upinzani na ndani ya chama chetu cha CCM.kwa sababu yeye wakati wote husimama katika hoja na kuitetea hoja kwa takwimu.
Mheshimiwa Rais Aendelea kumtumia Mheshimiwa Kafulila kwa sababu ana mapenzi mema na Taifa letu na ni mzalendo na amekuwa mtetezi wake kwa yote ayafanyayo. wakati unakuta wengine wamejikausha tu pale serikali inaposhambuliwa kwa hoja za upotoshaji. Mheshimiwa Kafulila amekataa kabisa kivitendo kukaa kimya pale anapoona kuna watu wanapotosha mambo kwa lengo la kuichongaisha serikali na wananchi au kuifanya serikali ichukiwe na wananchi.amekuwa akitoka hadharani na kujibu mapigo kwa hoja na takwimu na kusambaratisha kabisa mijadala ya kiuopotoshaji.
Mheshimiwa David Kafulila Ni Hazina kwa Taifa letu tunayepaswa kumtumia kwa maslahi mapana ya Taifa letu. Ni mtu safi, mzalendo na mchapa kazi kwelikweli. Ndio maana huwezi ukamkuta na doa la rushwa au ufisadi au matumizi mabaya ya madaraka katika maeneo mbalimbali aliyoitumikia Taifa letu. Zaidi utakuta alama njema za kiutendaji alizoziacha katika maeneo aliyopita na kukumbukwa kwa uchapakazi wake ulioleta matokeo chanya.
Watanzania tunapaswa kuwatia moyo na kuwaunga mkono wazalendo aina ya Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan na David Kafulila. Tukikaa kimya tukaacha wakashambuliwa na wenye maslahi yao binafsi tutakuwa tunawakatisha tamaa na kuwapa ushindi mafisadi na wenye kulinyonya Taifa letu kwa mirija.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Sasa kama Mawaziri na Viongozi wa dini kibao walitajwa wametafuna kwanini aliyewataja tusiamini kagoma kutafuna, Ushahidi wa Mazingira tuNa ukaamini.Bado sana.
Kuna watu bado hawamwelewi Kafulila kabisaIla Kuna kaukweli kidogo.
Sisi SIMIYU wakati Kafulila yupo Pamba tuliuza kwa tsh 2,000
Leo Tunauza kwa tsh 1,000,
Sijui Sasa nyie mnaosema Kafulila ni mbaya.
Kafulila ni jembe kwelikweli na mwenye uchungu na maisha ya watu.Ila Kuna kaukweli kidogo.
Sisi SIMIYU wakati Kafulila yupo Pamba tuliuza kwa tsh 2,000
Leo Tunauza kwa tsh 1,000,
Sijui Sasa nyie mnaosema Kafulila ni mbaya.
Ipo siku wataelewa kuwa Mheshimiwa Kafulila ni hazina kubwa kwa Taifa letu.Kuna watu bado hawamwelewi Kafulila kabisa
Jamaa ni mzalendo sana na alikataa pesa ndefu sana ambayo kama angekubali kuichukua basi angekuwa tajiri mpaka kesho.lakini kwa uzalendo wake alikataa kabisa kuchukua na kupokea pesa chafu kwa ajili ya kuwauza watanzania walipa kodi.Mimi ata Kafulila simjui kwa maana ya mawasiliano ila nilikuwa nafuatilia mtanange ule na magazeti yaliandika dau lilotolewa kumnyamazisha
Yes halafu wale wanaotupiga ndio watu wanawapongeza kwa kuwa wapigaji Mataji,Jamaa ni mzalendo sana na alikataa pesa ndefu sana ambayo kama angekubali kuichukua basi angekuwa tajiri mpaka kesho.lakini kwa uzalendo wake alikataa kabisa kuchukua na kupokea pesa chafu kwa ajili ya kuwauza watanzania walipa kodi.