DAVOS, Switzerland: Rais wa Ukraine Zelensky akutana na kufanya mazungumzo na Rais Kagame wa Rwanda

Ww sindo unadhinda humu ukiwananga wapalestina wanao pigania taifa lao kuwa ni magaidi?
Acha unonko.
 
Ww sindo unadhinda humu ukiwananga wapalestina wanao pigania taifa lao kuwa ni magaidi?
Acha unonko.
Pumbafu kabisa; leta post yangu moja inayohusu Palestina ili uonekane kweli kuwa unaandika mantiki. Achikilia mbali kushinda hapa, wewe leta post moja tu.

Watu wa kufuata mkumbo wa propaganda kama wewe mna tabia ya kujitungia ukweli wenu kufurahisha mioyo yenu japokuwa siyo kweli.
 
Hakika
 
Hamas kuwapiga Israel na kuipigania Palestine ni sahihi ?
 
Una akili ndogo sana bila shaka. Ungekuwa na uelewa mkubwa juu ya huo mgogoro, usingeandika haya matapishi yako hapa.
 
Unatumia mfano wa mke kutaka kujustify usichokijua...? Tafuta maarifa kwanza sio stories za vijiweni
Watu wenye akili fupi ni rahisi sana kuwagundua. Eti analeta habari ya mke, sijui umekaa sebuleni! Huku akiwa hajui chochote kuhusu historia ya hilo eneo na pia chokochoko zisizoisha za Marekani dhidi ya Urusi.
 
Jiulize swali dogo tu, vita sasa ina muda gani, je Russia wameweza kuipindua Kyiv?
 
Tunaomba utulivu, huyu wakala wa mabeberu yuko na Kagame

President Kagame met with President Volodymyr Zelensky and discussed the ongoing situation in Ukraine and efforts to resolve the conflict
Zelensky ni kiboko sana, nchi yake haikuwa maarufu kwenye medani za kivita lakini kafanikiwa kumtuliza mrusi ambaye tukiambiwa ni superpower wa dunia ukitoa US., hadi kesho Mrusi anaishia kuangusha nyumba za raia tu kwa kutumia long range missiles lakini ameshindwa kutia kwato zake Kyiv, sasa mwaka wa pili umeisha.
 
Urusi anavyoangaika ni sawa ila Zele ndo hatakiw kutafuta marafiki , umaskin wenu huu mnataka muwekee kila mtu kichwan mwake , wenzenu wanaamka nyie mnang'ang'ania mashuka

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
 
Atafilisi dunia kwa vita yake na Mrusi, kazi yake ni kuranda na njia kuomba tu misaada, kama misaada ya Wazungu haijatosha itatosha ya Mwafrika?
hv kichwan upo timamu ? unahisi huyo ni Sa100 sukar kilo 5000 na hampigani na mtu ila akili yako ipo busy kumnanga anaewapambania wananchi wake

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
 
Urusi anavyoangaika ni sawa ila Zele ndo hatakiw kutafuta marafiki , umaskin wenu huu mnataka muwekee kila mtu kichwan mwake , wenzenu wanaamka nyie mnang'ang'ania mashuka

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
Ulivyoandika hapa, kuna mtu anaweza kufikiri sisi wote humu wanaishi kwa wazazi kama ulivyo wewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…