Wew ndo usome maana mambo yapo wazi ,wewe unahisi historia inampa mtu haki ya kuua watoto na wazee na wanawake ? hv mnakuwaga mmevuta bangi gan ? Ukraine ilipaswa ipongezwe maana imeepusha vita tangu mwaka 2013 ila Urusi amekuwa analazimisha vita na walimwachia hadi Crimea bado Urusi akaitaka na Ukraine nzima , mijitu inayosapoti Urusu mingi ni mipumbav na inapenda kusema soma HISTORIA wkt historia yenyewe haijuiSoma kwanza historia ya hilo eneo ili ufahamu sababu hada za Urusi kuivamia hiyo Ukraine. Acha uvivu.
Nawe si waweza kufuata ushauri wangu vile vile?Fuata ushauri wangu. Huwa sipendi watu wenye gubu.
Hapana wewe unajuaunajuwa wanachopigania Hamas na Wapalestina?
Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
Majibu yako ni dhihilisho tosha kuwa hukupata malezi ya wazazi na umejaa laana.Pumbafu kabisa; leta post yangu moja inayohusu Palestina ili uonekane kweli kuwa unaandika mantiki. Achikilia mbali kushinda hapa, wewe leta post moja tu.
Watu wa kufuata mkumbo wa propaganda kama wewe mna tabia ya kujitungia ukweli wenu kufurahisha mioyo yenu japokuwa siyo kweli.
... atazipitishia wapi? ... Mombasa au Dar?kaenda chota maujuzi kwa mwamba wa vita kagame.
I really do not trust this motherfvckerTunaomba utulivu, huyu wakala wa mabeberu yuko na Kagame
President Kagame met with President Volodymyr Zelensky and discussed the ongoing situation in Ukraine and efforts to resolve the conflict
Laiti ungefahamu walichojadili hapo, ungejiuliza mara mbilimbili.Aishie hukohuko asikanyage hapa kwetu.
Haya niambie sasa nijiulize mara mbilimbili...Laiti ungefahamu walichojadili hapo, ungejiuliza mara mbilimbili.
I see!Hapo Kagame anatumia hizo picha kuwahadaa Wanyarwanda kuwa yeye anakubalika kimataifa kumbe no vimikutano vya nje ya kikao tu
Si business 😃😃😃😃anachukua banyamulenge afu tatu anapokea kitika kutoka kwa dona kantri anakuja kuvimba ist africa kwa kuipendezesha kigali...simpo 😂😂😂Anatafuta askari wa kwenda kufia vitani, Kagame huwa anajikuta superpower .
Kudhania kwamba kuingia mtu madarakani kila baada ya miaka kadhaa ndio hawezi kua kibaraka nalo tatizoHujui unaloandika; wewe ni mfuata propaganda tu. Huwezi kusema mwenzio ambaye ni kiongozi wa nchi iliyovamiwa na anajitahid kupigania nchi yake ukasema eti ni kibaraka. Unajua aliingiaje madarakani mpaka kuwa rais wa Ukraine? Ukraine siyo Urusi ambayeo Rais wake ni mtu mmoja tu, Ukraine kila baada ya miaka mitano inafanya uchaguzi na rais anaweza kuwa mtu yeyote yule.
Kwani kuna sehemu Russia alisema anataka kuipinduia kivu? [emoji848]Jiulize swali dogo tu, vita sasa ina muda gani, je Russia wameweza kuipindua Kyiv?
Wazayuni acha wafutwe tu kama inawezekanaunapigana kwa kuteka raia wa mataifa mengine ? hv hujui wao wapalestina ndo walikataa uhuru wao mwaka 1948 ? pia wakakataaa uhuru wao mwaka 2000 , wapalestina wanatumiwa kuwafuta wayaudi na sio kupigania uhuru
Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
Sukari mbaya kwa afya,unaililia ya nini!?..binafsi mwaka wa sita sijanywa chai
Kwanza PK ni special guest katika mikutano ya Davos.Haya niambie sasa nijiulize mara mbilimbili...
Whatever, na pia mimi sikujali kuhusu PK bali Zelensky.Kwanza PK ni special guest katika mikutano ya Davos.
Pili, jana hakukutana na Zelensky pekee bali pia alikutana na Antony Blinken.
Isitoshe PK alikutana na bwana Jacob Stausholm ambae ni boss wa Rio Tinto, waifahamu Rio Tinto weye? Hii ni kampuni kubwa ya uchimbaji madini duniani. Hivyo hapo patafutwa ushirikiano (partnership) na uwekezaji na hawa wote wauliza masuala kama usalama na stability.
PK pia kakutana na bwana Jean Todt ambae ni mwakilishi wa umoja wa mataifa aneshughulikia masuala ya usalama barabarani hivyo hapo suala la barabara safi na mikeka ya uhakika kurahisisha usafiri murua wa barabara yaani "mobility" yaangaliwa.
Mkutano na Blinken ni mwendelezo wa mazungumzo ya Rwanda na mabeberu kuhusu mgogoro wake na Congo DRC.
Kama hufahamu mwezi Novemba mwaka jana mkurugenzi wa Usalama wa taifa wa Marekani (DNI) bi Avril Haines alizuru Rwanda kuzungumza na PK na suala ni stability.
Hivyo PK na Ndyashimiye walikutanishwa ili kujadili tensions zilizopo sasa hivi kwamba Congo DRC walalamika kwamba PJ atumia Proxy groups za M23 na kundi jingine ni Matabala au something kusababisha issues.
Hivyo PK huwa haendi bure kwenye hivi vikao vya DAVOS ambavyo hukutanisha maglobalists.
Umenipata hapo?
Rwanda ya sasa ina uwezo wa kutumia teknolojia zaidi kwenye migogoro kuliko kutia vikosi ardhini.Kwa hiyo kaja kuomba msaada wa wakapigane Frontline sio