Dawa ya Umaskini, madeni, ukata, mifuko kutoboka, uhitaji, kufilisika hii hapa!

Dawa ya Umaskini, madeni, ukata, mifuko kutoboka, uhitaji, kufilisika hii hapa!

Mtumishi wa Mungu na story za kusadikika
Nayokwambia ni Amini na Kweli.

Mfumo wa maisha ya mwanadamu imeunganishwa na sadaka.

Kutoa sadaka ni kuhakikisha flow ya pesa haikatiki sababu pesa hurudi kuzibua source ya flow ya kipato.

Mjaribu Mungu Kwa matoleo hata sasa, mpelekee Jirani Yako mwenye uhitaji pesa sahizi,

Inenee sadaka Yako ukimwambia Mungu ninakujaribu Kwa matokeo haya.

Utajibiwa HAKIKA.

Ikiwa uko kazini hupandi Cheo, Chukua sadaka Nena juu ya sadaka, toa Kwa Imani utaniambia.

Nimemaliza.
 
Ndio sina sasa
Hakuna ambaye Hana Dunia hii,

Ikiwa huna pesa, Chukua nguo zako unazopenda, nenda kawagawie maskini,

Uza simu unayoitumia sasa, nenda toa sadaka Kwa kuinenea nia umjaribu Mungu.

Usidharau nikuambiacho, ukifanya nikuambiayo itatoka hapo ulipokwama haraka sana.

Ubarikiwe.
 
Ubarikiwe.

Baraka za Mungu hazina majuto.

Mungu Mbinguni anatushangaa tunapolia ukata na wakati amekataza mwanadamu kumjaribu Mungu Kwa mengine isipokuwa katika matoleo, sadaka na ZAKA.

Amen
Mkuu nini maana ya kumjaribu Mungu? Asante.
 
Mkielewa sadaka mlete kwa mtumishi hapa.
Sijaweka namba kuomba sadaka popote.

Sadaka wapewe wajane, yatima, wagonjwa hospitalini wasio na uwezo, wahubiri mtaani au makanisani wasio na uwezo,

Amen.
 
Daaah hivi hapa wanaruhusiwa kutukana? Au niku dm kwa matusi makubwa sana
 
Sijaweka namba kuomba sadaka popote.

Sadaka wapewe wajane, yatima, wagonjwa hospitalini wasio na uwezo, wahubiri mtaani au makanisani wasio na uwezo,

Amen.
Nipewe mimi mtumishi. Hata wewe sio dhambi kupokea
 
Mkuu nini maana ya kumjaribu Mungu? Asante.
Kumjaribu Mungu ni kuchukua mshahara wako wote, au pesa yote ya mtaji uliyonayo na kumwambia Mungu hivi,

Leo hii ninakujaribu ewe Mwenyezi Mungu Kwa pesa hii kidogo yote uliyonijaalia, naitoa kwako kupitia wajane, maskini, yatima nk nk.

Nikifilisika, itajulikana wewe ni mwongo, maana umeruhusu nikujaribu kupitia Neno lako katika ( Malachi 3:10-12).

Fanya hayo haraka, utanambia.
 
Pesa zinazo tolewa kwa Mungu Mara nyingi si safi.

Mungu anapendezwa na sadaka iliyosafi kama vile shetani anapendweza na sadaka iliyonona.

Kanuni ya kupata lazima utoe vile unatoa pakubwa ndiyo unapata pakubwa.
 
Barikiwa sana,Uzi mzuri,umeinua kiwango Cha Imani yangu Kwa namna Fulani....hakika nitamjaribu Mungu
 
Uwaambie pia sio watoe sadaka halafu waende wakawaf.ire watoto wawatu..watasema kila siku wamerogwa..watende pia matendo mema.
 
Back
Top Bottom