Dawa ya Umaskini, madeni, ukata, mifuko kutoboka, uhitaji, kufilisika hii hapa!

Dawa ya Umaskini, madeni, ukata, mifuko kutoboka, uhitaji, kufilisika hii hapa!

Maskini wapo tangu enzi na enzi.

Mungu ameagiza tuwape msaada maskini.

Asema, amhurumiaye maskini......

Ubarikiwe. Amen
Uko sahihi
Ila sio kwa ombaomba Hawa tulio nao barabarani now days🙌
Labda uwe na macho ya rohoni kujua huyu ndiye na huyu siye
Bora nitafute hao wahitaji wengine km yatima,wajane nk


Sasa wafundishe aina za sadaka na namna ya kuzitoa,itawasaidia zaidi!
Wengine wanapitia Hali ngumu kwasababu tu hawajafuata kanuni, wamemuibia MUNGU ,nk

Mfano ,mtu analalamika mshahara haukutani lkn hajawahi toa zaka(fungu la kumi)
Na ukisoma mslaki pale Kila kitu kipo wazi....
 
Uko sahihi
Ila sio kwa ombaomba Hawa tulio nao barabarani now days🙌
Labda uwe na macho ya rohoni kujua huyu ndiye na huyu siye
Bora nitafute hao wahitaji wengine km yatima,wajane nk
Uko sawa.

Mungu akuongoze. Majirani wanaotuzunguka Wana Hali ngumu sana, tuanze na hao,

Mfano unakula vizuri kwako unatupa Hadi chakula jalalani na hujui Jirani Yako analala njaa.

Mungu atusaidie.
 
Sijasoma yote ila nahisi ni chai bila Shaka...hakuna kukaa na hela NI haki yako ya msingi kufilisika
 
(Yakobo 4:3).

Hata mwaomba Wala hampati,Kwa Sababu mwaomba vibaya, Ili mvitumie Kwa tamaa zenu.


NB: Nenda kafanye nilichokuagiza, Mungu asipokujibu Rudi kuniita mwongo.
Wewe acha kutudanganya hapa kawadanganye wapumbafu wenzio

Bandiko lako limenikera sana sababu sister wangu kwa ujinga wake kama wako wewe alipeleka sadaka milioni 8 pamoja na kumpa mchingaji nissan patrol

Mpaka hv ninapoongea kawa maskini wa kutupa na watoto okabid wakamnyang'anye lile gar baba mchungaj

Usishaur watu wafanye huo upumbafu
 
Uko sawa.

Mungu akuongoze. Majirani wanaotuzunguka Wana Hali ngumu sana, tuanze na hao,

Mfano unakula vizuri kwako unatupa Hadi chakula jalalani na hujui Jirani Yako analala njaa.

Mungu atusaidie.
Ni sahihi kabisa!
Hebu rudia comment
Nime edit!
 
Wewe acha kutudanganya hapa kawadanganye wapumbafu wenzio

Bandiko lako limenikera sana sababu sister wangu kwa ujinga wake kama wako wewe alipeleka sadaka milioni 8 pamoja na kumpa mchingaji nissan patrol

Mpaka hv ninapoongea kawa maskini wa kutupa na watoto okabid wakamnyang'anye lile gar baba mchungaj

Usishaur watu wafanye huo upumbafu
Ukipeleka sadaka Yako Kwa manabii wa uongo imekula kwako,

Peleka sadaka pale muhimbili Kuna wazazi hawana pesa watoto wao wafanyiwe operation,

Peleka sadaka Kwa wajane, au somesha yatima.

Mungu atakubariki sana.

Amen
 
Uko sahihi
Ila sio kwa ombaomba Hawa tulio nao barabarani now days🙌
Labda uwe na macho ya rohoni kujua huyu ndiye na huyu siye
Bora nitafute hao wahitaji wengine km yatima,wajane nk


Sasa wafundishe aina za sadaka na namna ya kuzitoa,itawasaidia zaidi!
Sbb wengine wanapitia Hali ngumu sbb tu hawajafuata kanuni, wanemuibia MUNGU ,nk

Mfano ,mtu analalamika mshahara haukutani lkn hajawahi toa zaka(fungu la kumi)
Na ukisoma mslaki pale Kila kitu kipo wazi....
Ubarikiwe.

Mzee Kulola enzi ya uhai wake, aliwahi shuhudia kuwa,

Siku moja akiwa kazini kabla ya kuanza huduma alisemeshwa na Roho mtakatifu kumpelekea mtumishi mmoja mshahara wake wote ndugu huyo,

Alipofika, na kugonga mlango wa Mchungaji yule, alimpa kiasi kile kikubwa Cha pesa.

Mchungaji alipoona pesa Ile alianza kulia kama mtoto mdogo.

Mr Kulola akamuuliza kwanini unalia, alisema Wana siku tatu mchana na usiku hawajala chakula sababu hawana pesa.

Mungu atusaidie.

Amen.
 
Mungu ameruhusu kujaribiwa kupitia matoleo pekee.

So Mbingu zinatushangaa kuwa wahitaji ilhali IPO KANUNI ya kumjaribu Mungu na hatuitumii kupata pesa.
Mungu hajaribiwi kwa namna yeyote ile.
 
Mungu hajaribiwi kwa namna yeyote ile.
Mungu anajaribiwa Kwa sadaka, matoleo na ZAKA.

Ikiwa ameruhusu kujaribiwa ktk Hilo, basi kuwa maskini ni kujitakia.

Soma( Malachi 3:10-12).

Ubarikiwe.
 
Mwaka 2010 nikiwa chuo Kuna mwanafunz wa primary alinipita njian alikuwa amechafuka saana,nikamuuliza shida n nn akasema Hana sabun.nikampa elfu 2 na ndo nilikua nayo nikamkumbatia nikamuaga,kesho yake nikapata muamala wa elfu 40000.
 
Mwaka 2010 nikiwa chuo Kuna mwanafunz wa primary alinipita njian alikuwa amechafuka saana,nikamuuliza shida n nn akasema Hana sabun.nikampa elfu 2 na ndo nilikua nayo nikamkumbatia nikamuaga,kesho yake nikapata muamala wa elfu 40000.
 
Mwaka 2010 nikiwa chuo Kuna mwanafunz wa primary alinipita njian alikuwa amechafuka saana,nikamuuliza shida n nn akasema Hana sabun.nikampa elfu 2 na ndo nilikua nayo nikamkumbatia nikamuaga,kesho yake nikapata muamala wa elfu 40000.
Ubarikiwe!!

Maskini asiye na pesa nyingi ni Rahisi kumjaribu Mungu na kujinasia Kutoka lindi la Umaskini kuliko tajiri.

Wengi Walio wahitaji hukosea Kwa kutomjaribu Mungu na kukaa kusubiri kusaidiwa.

Ukisaidiwa, ukipewa msaada, unahamishwa baraka na utajiri ulionao uende Kwa aliyekusaidia.

Ndomana familia nyingi zenye Upendo kupokea wageni na kusaidia watu haziishiwi pesa, ila maskini mchoyo asiyetoa huzidi kuwa maskini.

Mungu aisaidie Nchi yetu pia ianze Kutoa msaada Kwa mataifa mengine kufungua mlango wa baraka.

Amen
 
Hivi hapo,
Mfano nimepata laki moja,

Napaswa kutoa Kiasi gani hapo?

Na wapi sehemu sahihi hasa ya kutoa ,
Kanisan au wahitaji moja kwa moja,

Mfano hapa nna ndg yangu yupo mbali ananililia shida,
VP nimpe yeye hicho kiasi au nipeleke kanisan?
 
Mwaka 2010 nikiwa chuo Kuna mwanafunz wa primary alinipita njian alikuwa amechafuka saana,nikamuuliza shida n nn akasema Hana sabun.nikampa elfu 2 na ndo nilikua nayo nikamkumbatia nikamuaga,kesho yake nikapata muamala wa elfu 40000.
Na ulipata 2000*20=40,000

Yaani Mungu aliizidisha 2000 mara ishirini na kukurudishia 40,000 ulipotoa 2000.

Mimi nawashauri vijana wanaopoteza Muda kufanya betting wahamie kutumia njia ya kumjaribu Mungu kupitia matoleo,sadaka na ZAKA watatoboa haraka zaidi.

Amen
 
INTRODUCTON.

Leo naongea na wote wenye uhitaji wa pesa, Kila mpango wako kupata pesa umekwama,

Naongea na wote wenye ukata wa pesa, walioajiriwa na Wana mishahara lakini wanadaiwa Kila Kona, mshahara hautoshi.

Naongea na wenye biashara ndogo na za kati ambao wanafanya juhudi zote kujitoa walipo kiuchumi lakini wanazidi kudidimia kwenye dimbwi la Umaskini.

Naongea na wote wenye madeni Sugu Kila Kona, wangependa kulipa madeni hayo Ili wawe huru lakini hawaoni njia ya Kupata kipato kulipia, ndo wanawaza kukopa tena.

MY LIFE EXPERIENCE.

Nilipokuwa kidato Cha SITA, jobless, wakati nikisubiri mchakato wa kujiunga na chuo kikuu, nilirudi nyumbani kwetu.

Nikiwa nyumbani, nilipata shida sana kuishi nyumbani bila KAZI yoyote Kwa kipindi kile.

Siku moja, nilipewa pocket money na Mzee ya Tshs 20,000, nilikuwa na mahitaji mengi zaidi ya pesa niliyopokea, nilishukuru kupokea pesa hiyo kidogo na kuondoka kwenda kununua mahitaji yangu binafsi,

Nilinunua mahitaji machache na nilibakiwa na 2,000 tu.

Jumatano siku iliyofuata ilikuwa siku ya maombi Kanisani kwetu, niliondoka nyumbani mdogo mdogo nikielekea Kanisani, njiani nilinunua vitu vingine vidogo vidogo na kubakia na shs 600.

Nilianza kupata mawazo sababu pesa imeisha na mahitaji yangu hayajaisha na sijui lini tena ntabahatisha kupata pesa ingine.

Nikiwa njiani kuelekea Kanisani, niliwaza nisitoe sadaka niitunze hiyo 600 Ili ilinde mfuko wangu maana sikujua lini tena ntapata pesa,

Nikiwa katika kuwaza huko, ndipo lilinijia wazo la kumjaribu Mungu kupitia matoleo.

Niliwahi soma BIBLIA (Malachi 3:10-12). Nikakutana na andiko linaloongelea jinsi ya kumjaribu Mungu Kwa matoleo.

Niliwaza kuwa, sh 600 niliyonayo ni ndogo, isingenifikisha popote, kwanini nisiitumie hiyo kumjaribu Mungu?

Niliongea na Mungu ndani ya NAFSI yangu na kumwambia Mungu, Ewe mwenyezi Mungu, umesema katika neno lako kuwa nikujaribu Kwa matoleo na ZAKA Ili nisipungukiwe, Nami Leo hii naitoa pesa hii yote,akiba pekee niliyonayo Ili nione ikiwa utanibariki au la, nililenga kumjaribu Mungu kupitia neno lake.

Nilitoa sadaka Ile na kuondoka kurudi nyumbani, wakati natoa sadaka Ile ilikuwa saa tisa jioni,

Ilipofikia saa mbili usiku, nilipigiwa simu na Rafiki yangu ambaye Yeye baada ya kumalisha masomo, alipata ajira ya mkataba Mahali Fulani. Aliniambia kuwa anajisikia kunitumia pesa kidogo Kwa ajili ya matumizi madogo muda huu nikiwa Sina KAZI.

Haukupita muda, message mbili za mpesa ziliingia Kwa kufuatana, Nilipoangalia, alikuwa amenitimia 30,000/=

Tangu hapo, maisha yangu ya utoaji yalibadilika, Kila kipato nilichokipata nilitenga sadaka kwanza na kuinenea nilichotaka sadaka hiyo ifanye.

Hadi sasa navyoongea nawe, ninaishi maisha yangu vizuri sana, sio tajiri sana, lakini sipingukiwi na chochote ninachohitaji.

Nikiona naeekea kuishiwa, huchukua akiba kidogo niliyonayo huenda kuitoa nikinuia mahitaji ambayo ningependa Mungu anisaidie kuyatimiza na hujibiwa Kwa haraka sana.

USHUHUDA WA MWL MWAKASEGE.

Akiwa kwenye semina mahala Fulani, alitoa ushuhuda akisema:

Alipokuwa nje ya nchi Mungu alimsemesha apeleke sadaka Kwa mama mjane aliyeko Arusha. Baada ya kurudi nchini, alisahau kupeleka sadaka hiyo, baada ya muda kupita, alikumbushwa kwenda Kutoa sadaka Ile.

Alipofika Kwa mama yule mjane, alimkuta na alipomweleza alichoambiwa na Mungu kufanya, mama yule alijibu akisema, ameugua Kwa muda mrefu, na alikuwa akiuza nyanya na mboga sokoni, alipougua akashindwa kulipa ada ya wajukuu wanaomtegemea na Hali ikazidi kuwa ngumu.

USHUHUDA huu utupe kujua kuwa IPO haja ya kupendana na kusaidia majirani na watu wenye uhitaji na hatutapungukiwa



SOLUTION.

-Kwa wenye Madeni.
Chukua pesa yote kidogo uliyonayo, tafuta mtumishi wa Mungu anayeishi maisha magumu, mpe sadaka hiyo, inenee sadaka Yako Yale Mungu ungependa akutendee.

-Kwa wanaopokea mshahara na haufiki mwisho wa mwezi.

Chukua mshahara wako Tenga sadaka kabla ya kufanya matumizi yoyote, peleka sadaka Yako Kwa maskini au wahitaji maskini, au hospitalini Kwa walioshindwa kulipa gharama za matibabu, au peleka Kwa mtumishi wa Mungu inenee sadaka Yako na utanipa majibu.

-Wazee wa betting.

Chukua pesa ambayo umepanga kupeleka betting, nenda tafuta familia maskini, wanunulie chakula na mahitaji, inenee sadaka Yako ukimwambia Mungu, nakujaribu Kwa sadaka hii, utaniambia majibu.

- Kwa Wafanyabiashara.

Chukua pesa kwenye mtaji wako, usitoe mabaki, Chukua sadaka kubwa itakayokuuma, ichukue peleka Kwa wahitaji mahispitalini, wapewe ombaomba barabarani, au toa Kwa wahubiri INJILI mabarabarani Kisha mwambie Mungu kuwa unamjaribu Kwa kupitia neno lake mwenyewe na asipolitimiza ni Yeye sasa.

HAKIKA Mungu hawezi vumilia jaribu Hilo, atakujibu haraka iwezekanavyo, Mimi nakushuhudia maisha ninayoishi halisi Hadi Leo.

NB: Wanaokwenda Kwa Waganga na wachawi kutafuta utajiri ni "WAPUMBAVU" Kwa maana Mungu ameruhusu ajaribiwe kupitia matoleo na hawezi shindwa kuwajibu sawasawa na NENO lake.

Amen.

Karibuni Kwa maswali na shuhuda Kwa watakaochukua ushauri huu na kuufanyia KAZI🙏
Yesu akajibu akamwambia, Imenenwa, Usimjaribu Bwana Mungu wako.
 
Huu upumbavu upo Afrika tu [emoji3]
 
Hivi hapo,
Mfano nimepata laki moja,

Napaswa kutoa Kiasi gani hapo?

Na wapi sehemu sahihi hasa ya kutoa ,
Kanisan au wahitaji moja kwa moja,

Mfano hapa nna ndg yangu yupo mbali ananililia shida,
VP nimpe yeye hicho kiasi au nipeleke kanisan?
Kwenye lak Moja 10% yake ni 10,000hiyo ni ya Mungu, ukiila unakula mtaji.

Ndugu Yako msaidie kiasi utakachoona kinafaa kwenye 90 ilobaki.

Kumjaribu Mungu ni zaidi ya hapo.

Kumjaribu Mungu ni kuchukua mshahara mzima 100,000 na kwenda kuwagawia maskini Kisha wewe ukarudi nyumbani mikono mitupu na kumjaribu Mungu ukimwambia nimekujaribu Leo nione ikiwa utakubali nice njaa au la, sadaka ya namna hiyo ndiyo inayoweza kukutoa kwenye Umaskini Si kumpa Mungu change zilizobaki kwenye nauli ya daladala.

Ukitoa sadaka sarafu zilizobaki, Mungu atakurudishia sarafu hizo hizo,

SHERIA ya utoaji inasema, kile ukitoacho ndicho hukurudia Kwa kuzidishwa.

Kuna matajiri wengi duniani wamefika hapo walipo Kwa Kutoa ZAKA 5/10 ,7/10 Badala ya ZAKA ya 1/10.

Mungu ni mwaminifu sana.

Ubarikiwe.
 
Kwenye lak Moja 10% yake ni 10,000hiyo ni ya Mungu, ukiila unakula mtaji.

Ndugu Yako msaidie kiasi utakachoona kinafaa kwenye 90 ilobaki.

Kumjaribu Mungu ni zaidi ya hapo.

Kumjaribu Mungu ni kuchukua mshahara mzima 100,000 na kwenda kuwagawia maskini Kisha wewe ukarudi nyumbani mikono mitupu na kumjaribu Mungu ukimwambia nimekujaribu Leo nione ikiwa utakubali nice njaa au la, sadaka ya namna hiyo ndiyo inayoweza kukutoa kwenye Umaskini Si kumpa Mungu change zilizobaki kwenye nauli ya daladala.

Ukitoa sadaka sarafu zilizobaki, Mungu atakurudishia sarafu hizo hizo,

SHERIA ya utoaji inasema, kile ukitoacho ndicho hukurudia Kwa kuzidishwa.

Kuna matajiri wengi duniani wamefika hapo walipo Kwa Kutoa ZAKA 5/10 ,7/10 Badala ya ZAKA ya 1/10.

Mungu ni mwaminifu sana.

Ubarikiwe.
Pmj Mkuu,
 
Back
Top Bottom